International Forum

News and Stories from rest of the World
Mwezi uliopita, rais Xi Jinping wa China alifanya ziara rasmi nchini Marekani, ambako pia alihudhuria mkutano wa Ushirikiano wa Kiuchumi wa Asia na Pasifiki (APEC) uliofanyika mjini San Fransisco...
0 Reactions
0 Replies
470 Views
Waziri mkuu wa Palestina katika serikali ya Mahmoud Abbas ameweka wazi kuwa Israel inajidanganya kusema inataka kuwamaliza Hamas. Hiyo haitatokea. Akizungumza na CNN, Mohammad Shtayyeh amesema...
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Kwa muda sasa kumekuwa na kashikashi kati ya Rais Trump na viongozi wa chama cha Democratic juu ya kutaka kujenga Ukuta katika mpaka wa Marekani na Mexico, Democratic ni wazi hawataki ukuta...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Inakadiriwa wahamiaji haramu takribani 60,000 kutoka nchi mbalimbali wapo katika mpaka wa Mexico na Marekani tayari kuzamia Marekani wiki hii pale sheria ngumu ya kuwaondoa wakimbizi ya Title 42...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
The number of unauthorized immigrants in the U.S. has stabilized in recent years after decades of rapid growth. But the origin countries of unauthorized immigrants have shifted, with the number...
1 Reactions
65 Replies
6K Views
Idara ya forodha na uhamiaji ya Marekani(ICE), imezindua ukaguzi wa kushtukiza unaowalenga wahamiaji 2,000 wasio na vibali nchini humo. Kwa mujibu wa Rais wa nchi hiyo Donald Trump, mpango huo...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
RAIS Donald Trump amekuwa akiongea kwa nguvu kuliko kawaida kutokana na tishio jipya dhidi ya utawala wake: afanye nini pale maelfu kadhaa ya wakimbizi kutoka nchi tatu au nne za Amerika ya Kusini...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Kwa nini kuna mgogoro mkubwa sana wa wahamiaji Marekani na Ulaya hadi unakuwa mjadala na ajenda muhimu za kisiasa huko za kuchagua viongozi katika chaguzi? Maelfu ya Waafrika kila mwaka wanafia...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Kwa kifupi ni kwamba Waarabu hawana Ushirikiano wowote na nadhani ni Watu wanaoombeana Njaa Wapalestina waliojazana mji wa Khan Younis wameamriwa kuondoka haraka waelekee usawa wa Bahari...
6 Reactions
30 Replies
3K Views
Utaratibu ni ule ule, lazima wavue nguo zote (kasoro boxer) kabla ya kuomba kujisalimisha, Ni hatua za kiusalama kwa tahadhari dhidi ya mabomu ya kujitoa muhanga yanayoshonwa kwenye nguo. They...
10 Reactions
55 Replies
5K Views
Hamna kinaacho achwa, Gaza itakua shamba.... The IDF says troops of the Combat Engineering Corps’ 749th Reserve Battalion destroyed buildings containing Hamas infrastructure at Gaza City’s...
4 Reactions
70 Replies
3K Views
Wanaukumbi. The Biden administration has used an emergency authority to allow the sale of about 14,000 tank shells to Israel without congressional review, the Pentagon said on Saturday. The state...
3 Reactions
14 Replies
793 Views
Ndio imekua sharti sasa, kama hautaki kuuawa wakati unajisalimisha, lazima uvue nguo kisha unyanyue bunduki yako..... An apparent Hamas member with his hands up hands over an assault rifle...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Mpaka kati ya Gaza na Israel ndio mpaka unaolindwa kwa nguvu zote kuliko mipaka yote duniani. Kuna camera na teknolojia za kisasa za ulinzi, kuna patrol za mara kwa mara za wanajeshi wenye vifaa...
10 Reactions
52 Replies
4K Views
Kama Yeye ni Super Power kwani asiende peke yake, au amwambie shoga yake Israel apigane na Yemen si kila kukicha Yemen anampiga Israel na kuteka Meli zake, kwanini anafata Gulf Country, Kwa nini...
2 Reactions
2 Replies
511 Views
Ile dilomasia ya kinafiki ya Marekani kuwazuga waarabu inazidi kukwama. Mawaziri wa nchi za nje wa jumuiya ya nchi za kiarabu wamemkatalia waziri wa masuala ya ulinzi wa Marekani kujadiliana nao...
2 Reactions
4 Replies
578 Views
Hali imekua mbaya, Wapelestina na magaidi ya HAMAS waanza kugombea chakula cha misaada, kwenye hii video jameni maskini Wapalestina wanatumia mawe kupambana na magaidi yaliyojihami kwa bunduki...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Ilikua kosa kubwa sana kuua Wayahudi, jamaa wameamua hamna kinachosalia... Damage to al-Omari Mosque in Gaza City from Israel-Hamas war, on December 8, 2023. (Screen capture/X) New footage shows...
4 Reactions
42 Replies
2K Views
Kama Tanzania tungekubali Mawazo ya Mzee Lowassa alipokuwa Waziri mkuu sasa hivi tungekuwa tunaongoza kwa Kilimo duniani Cha ajabu mh Bashe ndio sasa anayafanyia Kazi maono yale ya Mzee Wetu...
0 Reactions
1 Replies
275 Views
Katibu mkuu wa umoja wa mataifa na mashirika mengine ya misaada wamekuwa ni wenye huruma zaidi kwa kutoa tahadhari ya vifo vinavyoendelea Gaza kutokana na njaa na kiu. Huruma zao zimekuwa ni...
3 Reactions
8 Replies
660 Views
Back
Top Bottom