November 1,2023
Given that in the times we live in, it is extremely difficult, not to say impossible, in terms of information, to establish the absolute truth about who committed a terrorist...
Jeshi la Israel limekiri kupoteza askari wake 15 katika masaa 24 yaliyopita.Idadi halisi ya waliokufa huenda ni zaidi ya wale 67 waliotangazwa na Hamas hapo jana.
Katika taarifa za leo vikosi vya...
Mfanyabiashara Henrietta Rushwaya, ambaye ni Mpwa wa Rais Emmerson Mnangagwa amekutwa na hatia ya kujaribu kusafirisha Dhahabu yenye thamani ya zaidi ya Tsh. Milioni 749 kinyume na Sheria...
Will replace bombers. Here's what we know about the new cruise missile for the Su-57
A squadron of fifth-generation Su-57 fighters received an ultra-long-range cruise missile, writes Military...
Habari,
Nchi nyingi zina utaratibu, mila na desturi za maisha. Kutokana na kuzunguka sehemu mbali mbali leo nmeonelea nikuambie yale yahusuyo Senegal (LAND OF TERANGA kama wanavyojiita yani ardhi...
Je Kuna Kuna double standard yeyote hapa kati ya Russia na Ukraine
Hamas delegation visits Moscow
A delegation from Hamas is currently visiting Russia’s capital.
State-run RIA news agency...
Wanakumbi.
Jeshi la Israel limetoa orodha yake ya wanajeshi ambao wamefariki katika vita vinavyoendelea na Hamas.
Idadi hiyo ya vifo sasa imefikia 326, wakiwemo wanajeshi 11 waliofariki huko...
Kambi yaJabaliya ambayo ipo kaskazini ya Gaza ni moja ya eneo lenye msongamano mkubwa zaidi katika Gaza na mitaa yake si rahisi kupita hata gari.Kambi hiyo ni matokeo ya kufukuzwa wapalestina...
■AHADI
Mungu alimbariki mzaliwa wa Ibrahim, Isaac, ambaye ndie mtoto halisi wa familia ya Ibrahim na Sarah iliotambulika kama ndio familia asilia ya agano la nchi ya ahadi dhidi ya mzaliwa wake wa...
Rais Joe Biden amesema Nchi hizo zitaondolewa katika Mpango wa Ukuaji na Fursa Afrika (AGOA) ulioanzishwa mwaka 2000 kutokana na ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binadamu pamoja na Kutopiga Hatua za...
Wakati USA na washirika wake wakiwa bize na kuhangaika na vita za Gaza na Ukraine, China inaendelea kupanua wigo wa kibiashara na kidiplomasia kupitia mpango wake aliouanzisha wa BRI (belt and...
Mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Mauritania amekamatwa kwa kuandika karatasi ya mtihani akimtusi Mtume Muhammad katika mitihani ya mwezi uliopita.
Vyombo vya habari vya ndani vimeripoti kuwa...
Nov 01, 2023 12:18 UTC
Eneo la Wapalestina la Ghaza limegeuka kuwa makaburi kwa watoto kwani maelfu wameuawa kufuatia mashambulizi yanayofanywa na utawala haramu wa Israel, huku zaidi ya watoto...
Tanguj vita vianze baina ya Ukraine na Urusi kumekuwepo na lawama kutoka Ukraine kuwa kutofanikiwa kwa zoezi la kurudisha mapigo ya Urusi kikamilifu ni kutokana na kutopatiwa silaha muhimu...
IMPORTANT: The RETURN of WAGNER GROUP [emoji635][emoji2526]
Many did not believe it was possible.
Those of us who stood loyal to the idea and reality of WAGNER have been vindicated:
• Wagner...
Wakati hali ya kiusalama ikiendelea kuzorota Mashariki ya Kati, Wanajeshi wa Urusi wapatao elfu moja wamewasili leo hii nchini Syria ili kuimarisha usalama nchini humo. Hivi Karibuni Israel...
Nimemsikia Netanyahu akisema Hamas wanacheza propaganda za saikolojia
Wanachosahau Hamas ni Ukweli kuwa Myahudi ni KATILI mara 100 ya Mwarabu
Niishie hapo
Mlale Unono
Habari Jf,
Leo katika pita pita zangu mitandaoni nmekutana na video moja mpaka nikashanga maana sikuwa kujua vitu vyote hivi kabla.
Naona watu wanaanza kuweka wazi ukweli wao.
Mda ni muhimu...
Jameni tusisahau Urusi bado inapokea kichapo....
Ukraine destroyed six Russian Su-25 fighter jets in the Tavriya sector of the front in October, the Tavriya Defense Forces’ spokesman, Colonel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.