Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Habari za leo ndugu zangu,najua humu Kuna madaktari au sio daktari lakini unaweza kunielekeza wapi kwa kupata msaada. Kama kichwa kinavyojieleza nimekuwa na tatizo la kuumwa ugonjwa wa ngozi mnoo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu nawasalimu wote. Bila kuwachosha niende kwenye mada iliyonifanya kuhitaji msaada wa mawazo yenu. Ni kwamba nimegundulika nina cancer ya ini iliyosababishwa na hepatitis B na hapa nilipo...
4 Reactions
151 Replies
23K Views
Kuwasiliana na daktari wako kwa ufanisi ni muhimu sana kwa afya yako. Hata hivyo, inaweza kuwa na changamoto kwa baadhi ya watu kuhisi hofu au kukosa uhakika jinsi ya kuzungumza na daktari wao...
0 Reactions
0 Replies
584 Views
Habar wakuu msaada wenu nikipima presha mapigo ya moyo huwa Yako chini yanachini yanakua 57 au Hadi 48 na huwa naskia upande wa moyo kwa nyuma ya mgongo kunauma..msaada wenu tafdhali presha husoma...
0 Reactions
2 Replies
638 Views
Hofu ya kuongea mbele za watu, kukutana na watu wapya na matukio kama hayo ni ugonjwa unaotibika. Zijue dalili na utafute matibabu. USITESEKE: - Kuogopa kukutana au kujichanganya na watu hasa...
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari Wana jukwaa nimekamatwa kweli kuna kitu kimeniingia jana jichoni Sasa kwa jana ile nikapotezea nikajua ni kilala nikaamka kitakuwa kishatoka maana ni Kawaida. Sasa hii hali sio ya kawaida...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
How many issues May you observe... Because the patient feels pains below the belly button left... chini ya kitovu kushoto nilijaribu kuminya minya akawa anahisi maumivu zaidi...nikamshauri aende...
1 Reactions
7 Replies
730 Views
Habari wanaJF, Msaada jamani, Mimi ni binti wa miaka 20. Mara nyingi sana chuchu huwa zinaniwasha. Je tatizo hili linasababishwa na nini? Natanguliza shukrani
6 Reactions
22 Replies
32K Views
Deception popote ulipo jitokeze utupe elimu
1 Reactions
0 Replies
402 Views
Habarini wanajamvi. Hosp. Gani nzuri kwa tohara za watoto kwa hapa dar. Ile ya kisasa ya kutumia vipira, sio ya kukata na kushona. If possible naomba na contacts/address. Aksante sana!
0 Reactions
1 Replies
390 Views
Doctors naombeni ushauri. Nimechanganyikiwa nahitaji msaada wenu. Kuna mwanamke mwaka jana nilirudiana muda mrefu baada ya kuachana nae, sasa alikuja kwangu tar 21 akiwa katika siku zake...
6 Reactions
88 Replies
5K Views
𝗛𝗼𝗿𝗺𝗼𝗻𝗲 𝘆𝗮 𝗧𝗘𝗦𝗧𝗢𝗦𝗧𝗘𝗥𝗢𝗡𝗘 Kichocheo hiki ndio silaha ya mwanaume kwani ndicho kichocheo ambacho kinakufanya uwe na sifa zote za kiume na ndicho kichocheo ambacho kinakufanya uwe imara katika tendo...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Watu wengi tumekua tukikimbia barabarani nyakati za asubuhi. Hizi hapa faida na masuala ya kuzingatia: 1. Unapata faida ya jua la asubuhi ambalo wengi tunalikosa tukiwa katika pilika za kawaida...
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Kumekuwa na malalamiko mara kwa mara kuwa Baby Diapers kuwa zinaathiri ukuaji wa uume kwa watoto. Wengi wamefika mbali na kusema sababu ya vijana wa zamani kuwa na maumbile makubwa ya uume ni...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimekuwa na tatizo hili kwa muda sasa kila nikiwa mahari nimekaa au nimelala, ghafla nakuwa nahisi kama mdudu ananitembea sehemu fulani ya mwili! nikitizama naona ni kwenye mshipa wa damu, kitu...
2 Reactions
79 Replies
23K Views
Habar za mida ndugu zangu. Mimi nahitaji msaada wenu kuna tatizo linanisumbua. 1. Katikati ya kifua na tumbo panavuta Sana kwa ndani mpaka nahisi kama nimeweka mzigo mkubwa maana nahisi uzito...
0 Reactions
4 Replies
998 Views
Naombeni msaada Sina haja ya kuongea Sana Ila ukweli uliopo ni kwamba mzigo hausimami kabisa pamoja na yeye kunivulia nguo zote na jitihada zote alizonifanyia Bado mzigo umelala fofofo. Sina...
25 Reactions
295 Replies
16K Views
Wanajamii mwenzenu nina tatizo nahitaji msaada either wa kiasili au kitabibu. Nikitaka kufanya tu mapenzi baada ya uume kusimama nashindwa kuendelea baada au kabla sijaingiza uume sehemu husika...
5 Reactions
109 Replies
25K Views
Mazoezi ya mwili ni muhimu kwa afya ya mwili wenyewe, kwa afya ya akili na afya ya nafsi. Mazoezi ya mwili ni muhimu kama ilivyo muhimu kula chakula kwa bindamu, hasa katika zama hizi. Lakini...
26 Reactions
71 Replies
8K Views
Back
Top Bottom