1. Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi na vipele nk.
2. Kuwa na uzito wa kupindukia
3. Kutopata choo au kupata choo kigumu
4. Kukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza
5. Kichwa kuuma kila...
Wana Jf msaada wenu tafadhali.Kuna jirani yangu anasumbuliwa na vipele vinavyoota nyuma ya kiwiko cha mkono. na wakati mwingine anasema vinaota kwenye magoti. na vinamaumivu sana. ni kama vijipu...
Ndugu zangu naombeni msaada nina dada yangu ni mgonjwa.
Anasikia maumivu kwenye mguu na baada ya kupata maumivu anasikia ganzi kwenye mguu baada ya kupata ganzi hata ukimpiga kitu gani kwenye...
Wabantu wengi hatuna jadi ya kula matunda kufanya mazoezi kumeza dawa za minyoo kupima afya mara tuuguapo hadi tushauriwe na daktari ndio mtu anaanza kutafuta au kufanya mazoezi.
Mfano dawa za...
Hakuna ushahidi wa kisayansi unaosema kula nyama ya mbuzi inasababisha matatizo ya viungo.
Nyama ya mbuzi, kama aina nyingine za nyama ya mwili, ni chanzo kizuri cha protini, vitamini, na madini...
SABABU 15 ZINANIFANYA NITUMIE SIKI YA TUFAHA KILA SIKU
Apple cider vinegar is my new obsession. I recently began taking apple cider vinegar shots 2-3 times a day for a quick and effective energy...
Mzio au aleji (allergy) ni matokeo ya mpambano uliopitiliza kati ya kinga ya mwili na kitu chochote (ambacho kwa ujumla huwa hakina madhara kwa mwili) inapotokea kimeingia ndani ya mwili au...
Habari wadau,
Nimekuwa na tatizo la reflux kwa muda mrefu na nimetibiwa hospital nyingi bila mafanikio, hivi karibu imekuwa worse kwa kuwa napata sore throat(choking type) na persistence...
Habari za wakati huu,
Wakuu naomba angalau msaada wa mawazo najua humu kuna wajuvi na watalaam mbali mbali kuhusu maswala ya afya.
Mimi ni kijana na nimetimiza miaka 27, nina mke lakini...
Habari wana-JF! Hili ni jambo linalonishangaza kwenye Hospitali na vituo vya afya vingi hapa nchini. Pindi unapofanya kipimo cha damu, Phlebotomist huwa hafuati taratibu za kiafya kwa kuvaa gloves...
Wakuu.
Huko Instagram kumezagaa kurasa zinazotangaza kuuzwa kwa miwani ya matumizi mbalimbali lakini hasa kuna ile inayobainishwa kuwa inadhibiti miali itokanayo na vioo vya computer.
Je...
Wakuu habari za jioni.
Naomba munisaidie kujuwa duka wanapouza vifaa vya radiology vifuatavyo:
1. Utrasound gel
2. Barium salfate
3. Contrast medium (pamidol injection)
Natanguliza shukrani za that
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.