Habarini wanajamvi
Nina mtoto wangu ana umri wa 6 month, ila baada ya mwezi mmoja mtoto alianza kua kama na mafua na kupata shida ya kupumua (anakua kama anakoroma akiwa anapumua) hasa wakativwa...
Nimekuwa na watu kadhaa ambao walikua wakiuliza kuhusu kutokwa na majipu kwenye makalio na hata mimi hili tatizo limenipata.
Ninahitaji ufafanuzi wenu wakuu, suluhu ni nini? Maan ki ukweli hadi...
Nafikiri sasa wadau kushirikiana na serikali upo umuhimu zaidi kutoa elimu ya afya kuhusiana na homa ya ini.
Maana ili jambo kiukweli kwa sasa imekua ni hatari kubwa kwa afya za watu na takwimu...
Habari wanajamvi,
Ndugu yangu wa kike Ana Tabia ya kula mchele sana mpaka imekuwa kama ni lazima kula ili apate utulivu wa nafsi.
Ilianza miaka mingi karibia ishirini sasa kipindi dada yake...
Wakulungwa...Kwa Nia njema tu,
naombeni jinsi ya kukabililana na stress za mama kijacho maana naona Sasa kama kamtu kana maksudi.
Uzalendo unakuwa mgumu ndio kwanza mwezi wa tatu[emoji119]
Nawasilisha, bahati mbaya hana simu kubwa tungeweza kupata picha yake mwenyewe ila kwa maelezo aliyonipa moja kwa moja nika-google nikajua basi atakua na shida kama hii tu.
Anaomba msaada wa...
Hilo tatizo mhusika anapiga kelele usingizini na hata kujing'ata ndani ya mdomo kwa magego. Pia anaweza kujiumiza kwa kujigonga kitandani maana husumbuka.
Naomba mwenye ufahamu wa tiba atoe...
Kukosa furaha kabisa kwa muda mrefu sana bila sababu yoyote ya msingi huwa ni kiashiria cha tatizo sugu ambalo unakuwa upo nalo kwa muda mrefu sana bila kulipatia ufumbuzi.
Kuna tatizo la...
Wakuu habari za muda huu, kama kichwa kinavo someka hapo juu.
Siku hizi kumekuwa na matumizi makubwa sana ya hii bidhaa.
Ila kutokana na jinsi yanavyo zalishwa nimepata kigugumizi kidogo kuhusu...
Habari!
Kama mada inavyo jieleza hapo juu. Nitakilibani wiki ya nne sasa tangu nipatwe na maradhi haya.
Ambapo nimekuwa nikipata muwasho eneo la uume, ukiambatana na ngozi kukakamaa pamoja na...
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea sijui nakosea wapi. Nina mchumba wangu tumemaliza mwaka sasa nikimpanda ila hashiki mimba na anaingia period kama kawaida.
Nawaza labda naeza kwenda...
Wapendwa habari za asubuhi. Naomba nisaidie nitakuwa na shida gani jamn nina shida ya sikio langu la kulia kupiga kelel yani sio zile kelel za ziiiiii no hii nakuwa nasikia kama vile labda mishipa...
Salam wote Wana JF,
Niende Moja Kwa Moja kwenye mada. Nimegundua siku hizi uume wangu hausimami kabisa ninavyolala ukiwa umelala ndiyo ninavyoamka ukiwa umelala.
Nashindwa kuelewa tatizo ni...
Habari zenu
Wakuu last week nilikuwa na dalili za vidonda vya tumbo so kuna mzee mmoja mtaalam wa madawa ya mitishamba akanishauri kuwa nitumie bamia kwa wingi kwani huwa zinaleta utelezi tumboni...
Habari wakuu,
Naomba kueleimishwa naona kila mwanaume anasema alipata gono Toka kwa mdada flani baada ya kufanya nae mapenz.
Naomba kueleimishwa nin Chanzo Cha gono kwa mwanamke yaan inakuaje...
Utangulizi
Mada hii ina lengo la kuzungumzia tatizo la kuwa na hofu au wasiwasi uliopita kiasi au kwa kitaalamu Generalized anxiety disorder (GAD).
Kwa ajili ya kutofautisha kati ya hofu...
Habari yako wewe unayesoma uzi huu.
Nina umri wa miaka 27 pia nimejaaliwa kupata mtoto mmoja tu wa kike na kwa sasa ana miaka 4 ila sijabahatika kupata mtoto mwingine nimejitahidi sana kufanya...
Habari wakuu nahitaji msaada wenu,
Mtoto wangu wa miaka 2 na miezi kaangukiwa na fimbo ya pazia toka juu ya jirisha.
Fimbo imemuangukia kichwa katikati imemchana, msaada we wenu wa huduma ya...
Habari za jioni wakuu
Ninaandika hapa nikiwa sina amani kabisa. Mwanangu wa kike miaka 7 anaumwa ugonjwa unaotutisha. Usiku akiwa amelala kuna muda anakoroma sana tena kwa muda mrefu.
Yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.