Kwa yeyote anayejua tiba mbadala ya typhoid please naomba msaada.Nikisema mbadala namaanisha matunda,mizizi,mimea ama vyakula.
Bwana Yesu asifiwe.
===============
Homa ya matumbo
Homa ya...
Kazi iendelee! Hodi JamiiHealth.
Mimi ni mweupe kimuonekano, shida yangu ni unjano wa nywele zangu hali inayonikosesha raha na kujikuta naona aibu mno.
Naonekana kama age go fulani kwa sababu...
Kusikilizwa kwa sauti za kifua (Chest auscultation) hutumika kubainisha sauti za pumzi na milio ya sauti ya upumuaji. Sauti za kawaida za kupumua huitwa 'vesicular', hufafanuliwa kuwa tulivu kama...
Wasalamu, watabibu.
Naomba kujuzwa haki ya mgonjwa na wajibu wa mtoa huduma. Hili jambo limetokea mara kadhaa ktk dispensary moja hivi na inaonekana ndio utaratibu wao, naomba mamlaka wenye kujua...
Habari wananzengo humu ndani?
Kuna jamaa yangu hapa kitaa kakutana kitu inaitwa gono few weeks ago. Karuka ruka leo imembana balaaa hadi anasema akipona harudii tena kula matunda ya kati kati...
Msaada wa tiba ya mba kichwaani au sabuni inayoweza kuwapunguza??
Natanguliza shukrani
Update 20.05.2023
Nashukuru kwa michango yenu kupitia mawazo yenu niliamua kununua mafuta ya mnyonyo castor...
Habari Madaktari na wanadau wengine huku ndani.
Kama wahenge wasemavyo "Mficha maradhi Kifo Humuumbua" nipo njiani narudi tena hospital kuonana na daktari kufanya uchunguzi na kupata matibabu...
Kufitika au kupungua kwa mlango wa uzazi (Cervical effacement) huwenda sambamba na kupanuka au kufunguka kwa njia ya uzazi (Cervical dilation):
Kupanuka kwa mlango wa uzazi ni wakati njia...
Habari wakuu,
Naomba msaada wa mawazo, Mungu ametujalia mimi na mke wangu tumepata mtoto. Ila ana siku mbili halali kabisa usiku. Analia tu na ana harisha kamba kamba kama makamasi. Hospital...
Kazi iendelee.!
Hivi madaktari na wadau wa afya, hili limekaaje? Kwa nini watu wengi HASA kwa Dar kipindi hiki wanalalamika maumivu ya kichwa, uchovu wa viungo na mwili, joto la mwili kupanda na...
Habari zenu wana Jamii Forum. Poleni kwa changamoto na mchaka mchaka wa utafutaji pesa na kadhalika.
Niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi mwenzenu katika hili jukwaa la Urembo, mitindo na...
Hiyo process inasemekana husababisha damu kuganda na moyo kusimama hapo hapo.
Kwani homa hii inaambukizwajwe?
Hayo maambukizi ya mfumo hewa yani mtu anaambukizwa vipi?
Nawezaje kutambua ninazo...
Ndugu zangu habarini za miamko?naomba niende kwenye hoja,mke wa jamaa yangu alikua mjamzito na wakati ameenda clinic alipimwa damu kama ilivyo utaratibu, baadae akagundulika ana Rh- wakati huo...
Nasalimia kwa jina la Muumba aletaye uzima na kifo.
Mhusika: miaka 17.
Kazi: mwanafunzi.
Jinsia: ke.
Tatizo: mcho hawezi kuangalia mwanga.
Hali yake: critical, hawez kusoma.
Ombi: wapi napata...
Wakuu salamu
Hivi kuna dawa gani ambayo inaweza saidia kupunguza au kuondoa kabisa kichefuchefu kwa mama mjamzito.
Maana kichefuchefu kimezidi sana na kutapika ndio usiseme,ukila tu chakula...
Ni hivi,mimi kijana wa kiume 30+ tatizo langu kubwa nikupenda ngono hadi najichukia maana naweza lala na wanawake zaidi ya watano kwa siku na bado nakuwa na uhitaji wa kungonoko tu,hii imepelekea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.