Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amesema Kiwango cha kupandikiza uloto kwa mgonjwa mmoja ni pesa ya kitanzania milioni 50 kwa mgonjwa hapa hospitali ya Benjamin mkapa jijini Dodoma. Wagonjwa wa seli...
0 Reactions
2 Replies
419 Views
How medicines used to control population growt?
0 Reactions
0 Replies
207 Views
Wadau hahabrini zaasubuhi,kuna jambo kidogo ningependa kuwashirikisha ili nione mnanisaidiaje,, Nimeamka asubuhi muda huu kama ilivyoada kwauume kusimama kiafya,kwangu nimeona utofauti kwani uume...
7 Reactions
50 Replies
2K Views
Kuna umuhimu mkubwa wa kuwa na huduma bora kwa ajili ya wanawake walio katika hedhi katika vituo vya afya. Kwanza kabisa, hedhi ni sehemu ya kawaida ya mwili wa mwanamke na hivyo ni muhimu...
0 Reactions
0 Replies
505 Views
Habari zenu samahani jamani msaada kwa anaefaham hospital nzuri ya matatzo ya uzazi kwa wanawake yenye garama nafuu kwa dar es salaam msaada
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiungulia (Heartburn) husababishwa na Acid reflux au kupanda kwa tindikali kutoka tumboni kuja kwenye umio la chakula. Hali hii hupelekea maumivu maeneo ya kifuani na kero kubwa. Kwa upande wangu...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu za mchana? Niombe kuuliza wapi naweza kupata vidonge vya Giseng kwa hapa Dar. Sina maelezo ya kutosha ya hii bidhaa, ila kwa kifupi nimeona katika vyanzo mbalimbali kuwa inaboresha mifumo...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Wakuu za asubuhi, Hivi wet dreams - ndoto nyevu (ile kujipiga kibao ukiwa usingizini) hii huwa inaashiria uimara wa anayetokewa na hii au hata isipokuwa inamtokea mtu ni sawa tu? Na je, hii huwa...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Mtoto mwenye homa ya mapafu (pneumonia) ambayo haijatibiwa inaweza kusababisha jipu kwenye mapafu (Abscess formation), utiririshaji wa usaha au maji kwenye mapafu (empyema), kuanguka kwa mapafu...
2 Reactions
0 Replies
646 Views
Wakuu ninakosa amani usiku huu nimeng'atwa na buibui mweusi eneo la shingoni nasikia maumivu kama yanavuta, nisaidieni wakuu picha ya buibui nimeipiga nifanyaje huduma ya kwanza.
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Habari zenu wana jf....,!! Napenda kwenda moja kwa moja kwenye mada. Mi nina mdogo wangu mtoto wa shangazi sasa miaka 33. Kamaliza chuo mda tu. Na pia ana ugonjwa wa kifafa unamsumbua tangu...
1 Reactions
2 Replies
431 Views
Kuna athari gani, pombe ikizidi kwenye damu? Naomba madaktari mnijibu tafadhali, nimepimwa hospital nimeambiwa,nipunguze pombe otherwise nitatembea. Wajuzi wa Mambo naomba majibu,am confused
0 Reactions
7 Replies
634 Views
Mucus huzalishwa kwenye mapafu kama sehemu ya kuulinda mwili. Uchafu unaoungia mwilini kwa njia ya hewa huzuiwa na mucus na hutolewa nje kwa kikohozi au mafua. Mucus hii ilibidi mwilini hukera...
2 Reactions
18 Replies
6K Views
Mwili wote kufa ganzi plus kichefuchefu,husababishwa na nini?
0 Reactions
4 Replies
815 Views
Habari!! Naomba kuuliza, mimi nilifanya tendo la ndoa na mpenzi wangu baada wiki nikaingia period lakini ilikuwa ni tofauti na nyingine damu zilikua. kidogo na kama nyeupe kwa mbali lakini...
0 Reactions
6 Replies
412 Views
Utumiaji wa vyakula vyenye mafuta, pia kuzidisha virutubisho Kwenye ulaji humsababisha MTU awe na kitambi. Kutokana na kuongezeka kwa cholesterol mwilini Hasara take ni kwamba MTU unaweza kupata...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Kama unaumwa halafu unaota ndoto hizi na unakwenda hospitali na huponi maradhi yako .basi hospital usiache lakini kimbilia tiba za upande mwingine. Yaani za kidini ama kiasili. 1. Kuota umepotea...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Jana asubuhi nimeamka na kukuta najisikia muwasho sehemu ya shingo. Nikajua ni kawaida ya matatizo madogomadogo ya mwili. Leo nimeangalia nimekuta kama michirizi shingoni inawasha kwa sababu ngozi...
0 Reactions
64 Replies
32K Views
Kiribatumbo ni ongezeko la kiwango cha mafuta mwilini kilichozidi salama na kusababisha athari katika afya ya mwanadamu. Mtu mwenye kiribatumbo ni yule ambae BMI ni zaidi ya 30. BMI -Body Mass...
2 Reactions
10 Replies
6K Views
Back
Top Bottom