Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Habari zenu Mtoto chini ya mwaka mmoja anasumbuliwa na vipele kwenye paji la uso na maeneo ya kichwani tu ambapo tumemsaidia dawa tofauti za kupaka ikiwepo candidas mara kadhaa haikuweza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Siku chache baada ya kujifungua mwili wako utaanza kutoa maziwa ya awali(colostrum). Kwa baaadhi ya wanawake maziwa haya huwa mazito na kuwa na rangi ya njano, Kwa wengine ni mepesi na huwa ya...
0 Reactions
14 Replies
38K Views
Mwishoni mwa siku ndefu, unagundua kuwa unaanza kuhisi maumivu ya kichwa. Unachokifanya ni kunununua dawa za kutuliza maumivu kutoka kwa muuzaji wa mtaani, na unakunywa mbili. Lakini unajuaje...
2 Reactions
0 Replies
792 Views
Habari wana JF msaada wa MTU ambae anaweza kumcounsell MTU na kumpa ushauri Kama yupo Namuomba PM Ahsanteni
1 Reactions
2 Replies
294 Views
Tokea nikiwa mdogo nilikuwa sio mpenzi wa kula na kunywa vitu hivi na mpaka nimekuwa nimekuwa na allergies navyo havinidhuru Ila sipendi kula *Maziwa ya ng'ombe *Mayai *Nyama ya...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
The female private part varies from woman to woman. Whether or not yours is similar to someone else's does not mean it is abnormal. Here are 7 Types of Vaginas and Why Yours is Totally Normal...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari zenu ndugu zangu. Mtoto wangu ana changamoto ya vipele hivi. Alipelekwa hospital wakatupa dawa ya kupaka lakini haijatoa matokeo mazuri. Msaada wenu napokea ushauri
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari, kwikwi inanisumbua siku ya pili sasa. Nimekunywa maji mengi, sukari nimeramba lakini bado tuu. Naombeni msaada
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Mimi kijana na miaka 29 wakiume wana jamii naomba msaada wenu nimetoka kipere si kipere na pia kama nyama zimetuna na panawasha kinoma kwenye mstari wa haja kubwa. Sasa naogopa kuchezea uko maana...
12 Reactions
50 Replies
9K Views
Habari ndugu zangu, Nina rafiki yangu wa kiume, tokea mke wake amesafiri nje kidogo kwenda kumuuguza mama yake mzazi ni mwezi sasa anasema kila akiamka asubuhi anajikuta uume haujasimama na pia...
1 Reactions
22 Replies
1K Views
phenazopyridine inatibu nini hi dawa
0 Reactions
3 Replies
313 Views
Habari wanajanvi, napenda kutumia fursa hii kuwasalimu, Moja kwa Moja niende kwenye Mada nimefungua uzi huu ili tupeane uzoefu wale ambao tunapbana na tatizo hili. Mimi ni muhanga wa tatizo hili...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
Hanari wana JF Nasumbuliwa na maumivu ya shingo, mkono na mgongo. Maumivu hayo yapo kila muda ila kwa kawaida huongezeka zaidi ninapopata vistress au hofu ya kitu chochote. Nimetembelea...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Wakuu za sahizi, Nadhani mnakumbuka lile tukio lililofanyika 2021, la mchezaji cr7 alivyokuwa akihojiwa na akasogeza chupa 2 za coca akasema tutumie maji Basi asee juzi kati hapa nimepitia...
10 Reactions
67 Replies
3K Views
Wandugu habari zenu Madokta na washauri wa uku naombeni msaada wenu. Nina ndugu yangu wa kiume age imeenda kidogo, mpaka leo ana uhitaji wa kuitwa baba lakini imeshindikana. Wanawake anaishi nao...
8 Reactions
16 Replies
3K Views
Serikali kupitia Wizara ya Afya imethibitisha uwepo wa Wagonjwa wa Kipindupindu muda mfupi baada ya Jamii Forums kuripoti uwepo taarifa za Ugonjwa huo katika Wilaya ya Ilala. Kwa mujibu wa Wizara...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Mmea wa mbangi, unaojulikana zaidi kama bangi, ni miongoni mwa vitu vinavyotumiwa sana ulimwenguni. Mbangi umekuwa ukitumika kama dawa, burudani, na kiroho kwa karne nyingi. Katika miaka ya hivi...
2 Reactions
12 Replies
972 Views
Wakuu salaam, Watu wengi tumekuwa tukihangaika kupata matibabu ya magonjwa mbalimbali yanayotusumbua kwa muda mrefu bila mafanikio yoyote. Tunatembelea hospitali mbalimbali, kupata vipimo na...
13 Reactions
78 Replies
7K Views
Habari wana jamii naomba kujua madhara ya kula Katanga na asali napenda kuwatakia ijumaa njema Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
41 Replies
39K Views
Back
Top Bottom