Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Mafunzo ya huduma baada ya mimba kuharibika Comprehensive Post Abortion Care (CPAC) yanayotolewa na Serikali kwa kushirikiana na baadhi ya taasisi zisizo za Kiserikali, Marie Stopes Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
469 Views
Habari wakuu, Juzi kati hapa nilikuwa na mzuka sana wa kufanya mapenzi bahati nzuri kuna msichana akajilengesha nikafanya nae mapenzi! Tatizo ni kuwa huyo dada ni ameathirika na UKIMWI, Je vipi...
1 Reactions
143 Replies
24K Views
Naomba msaada nimepima malaria ninembiwa nina Malaria 2. Nina ujauzito wa miezi mitatu. Je, naweza tumia dawa gani kutibu malaria nimepima kwenye maabara Hakuna daktari. ========= Michango...
0 Reactions
100 Replies
108K Views
Wakuu mnakaribishwa kuuliza chochote kuhusiana na lishe na afya ya mwnadamu kwa ujumla.Ili kuelimishana na kuongeza maarifa lakini pia kujifunza njia salama za ulaji kuepuka matatizo ya kiafya.
3 Reactions
13 Replies
580 Views
Muathrika wa punyeto afanye nini ili arudi kwenye hali yake ushauri jamani? Kuacha ameacha
1 Reactions
12 Replies
912 Views
Habari! Ningependa kujua utaratibu wa kufungua health laboratory ikiwemo usajili wa serikali upoje pia na gharama za kuanzisha vikiwemo vifaa muhimu. Asante!
2 Reactions
7 Replies
13K Views
Updates Nilishtua baada ya siku moja na bao lipo fresh kabisa zito jeupee, wakuu labda macho yangu tu mawenge na woga Ahsanteni wote wa wahi hospital mlinitisha Hapa pumbu yangu ya kulia ndio...
10 Reactions
89 Replies
3K Views
Naomba kufahamishwa kama kuna madhara yoyote
0 Reactions
3 Replies
655 Views
Habari wataalamu wa Afya, Nina Mgonjwa Anasumbuliwa sana Na Appendex. Hayupo tayari kufanyiwa Operation. Kulingana na Athari za Operation kwenye mwili. Japo ni operation ndogo lakini amekataa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wanaJF, naomba kuuliza hivi ni kweli kitungu swaumu kinatibu UTI sugu? Je, Kuna tiba zingine za asili zinazoweza kumaliza tatzo hili? Asanteni sana naombeni ushauri na maoni
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hali ya uke kutoa sauti kitaalam hufahamika kama [Queef] au [Vaginal flatulence], ni hali ambayo hewa hutoka kwenye uke uliobana, ambapo hewa hiyo huweza kutoka kwa sauti ambayo inafanana na hali...
10 Reactions
43 Replies
17K Views
Wapendwa wana JamiiiForums Salaam Ninaomba msaada wa matibabu au ushauri Nini afanye, ndugu yangu huyu na mtu wa karibu, maana najua humu Kuna madaktari bingwa wa magonjwa ya kinamama " "RAFIKI...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari kwenu wanajukwaa. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, hivi sasa yakiwa majira ya saa 7: 07 usiku nimeona iwe vyema kuandika uzi huu. Ni kuhusu madhara hasi ya kujichua ama...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Mshukuru Mungu kwa afya bora, Moja kwa moja niende kwenye mada, Ninahamu kubwa ya kufahamu kwa mwanaume anaefanya mapenzi kila siku na mke wake ana uwezekano wa kupunguza uwezekano wa kumpa...
6 Reactions
45 Replies
3K Views
Habari Ndugu zangu nina mtoto wa kiume wa miezi 3 ananyonya sana mpaka mama yake anachoka na hashibi ukimtoa analia. Clinic wameshaur mtoto anyonye tu maziwa ya mama hadi afikishe miezi 6. Je...
1 Reactions
11 Replies
883 Views
Habari za asubuhi wakuu, Mimi ni kijana wa miaka 25 nina matatizo makubwa ambayo yanahitaji Msaada mkubwa kwa kuwa nimekata tamaa kwa maisha niliyonayo, Nimeshindwa kuweza kufanya mapenzi na...
16 Reactions
124 Replies
24K Views
Mshukuru Mungu kwa afya bora, Moja kwa moja niende kwenye mada, Ninahamu kubwa ya kufahamu kwa mwanaume anaefanya mapenzi kila siku na mke wake ana uwezekano wa kupunguza uwezekano wa kumpa...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani Wana jamii wenzangu nimekula natabia ya kula chakula kwa haraka . Unakuta natumia dakika hata Tano au saba kumaliza sahani ya chakula iliyojaa kwa mlo mmoja .Je hii Ina madhara kwa Afya au...
2 Reactions
18 Replies
633 Views
Naombeni tiba
0 Reactions
5 Replies
685 Views
Nimejifungua mtoto maziwa yalichelewa kutoka mtoto alipata manjano. Nilimpeleka hospital wakamuweka kwenye machine ya kutoa njano. Ninamtoa asibuhi juani ila naona bado haiishi. Nomba mnisaidie...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Back
Top Bottom