Wiki ya Chanjo Duniani (World Immunization Week) huadhimishwa kila mwaka kwenye wiki ya mwisho ya mwezi Aprili ili kuongeza Ufahamu wa Umuhimu wa Matumizi ya Chanjo katika kujilinda dhidi ya...
Wakuu Poleni kwa muha hai ko ya hapa na pale kwa sababu ya kutafuta riziki ili nchi yetu pendwa iweze kusonga mbele
Wakuu samahanini!!!!!!
Kwa muda wa wiki kama tatu hivi nimekuwa nikisumbuliwa...
Habari zenu wakuu
Kwa ambae anajua hospital ya uhakika ya masuala ya uzazi au daktari mzuri wa masuala ya uzazi anijulishe pm au hapahapa iwe msaada wa wengi
Kupaliwa kwa mfumo wa hewa ni hali hatari na inahitaji hatua za haraka ili kumuokoa mtu. Hapa ni hatua za kwanza ambazo unaweza kuchukua ili kumuokoa mtu aliyepaliwa mfumo wa hewa:
Tathmini hali...
Habari za sasa hivi,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nani mkazi wa mwanza ila kwa sasa niko Tanga kwenye masomo ..
Nina maumivu mkali sana kwenye korodani zangu, kiasi kwamba hata mda...
Leo 22-04-2023
Nimetimiza mwaka bila chips
Ilikuwa safari ngumu ya kujenga afya yangu hasa kwa mtindo bora wa maisha na kujikinga na maradhi sugu.
Upi ushauri wako? Ni vyakula gani vya kupunguza...
Eti kuna hali mpya imeibuka inawatokea watu wanatokwa vipele kama tetekuwanga na vinawasha? Inatokea kwa baadhi ila rika zote
Chanzo ni nini?
Na tiba je?
Habari Jf
Naomba kuuliza.
Nimekuwa mara kwa mara nikisoma na kufatilia habari za maradhi mbalimbali.
Lakini nataka kujua kutoka kwenu, nizingatie vyakula gani au mfumo upi wa maisha ili nijikinge...
Habari wana wa nchi yangu,
Langu ni ombi tu kwa hawa wataalamu wetu wa afya, naomba wawe wanauliza mgonjwa kabla ya kumpa dawa Ana allergy na dawa gani?
Kwa sababu dawa nyingi siku hizi zina...
Habari wataalam, Mimi ni mwalimu wa sekondari, shule ya wasichana tupu. Shule imejitenga ipi kijijini. Ni mwalimu wa Ushauri nasaha.
Hiv karibuni nimepata changamoto kadhaa baadhi ya wanafunzi...
Leo utayafahamu haya magonjwa ya afya ya akili yanayoitwa Paraphilic disorders.
Haya magonjwa pia uhusisha matamanio ya kingono ambapo mtu hupata hisia (nyege) katika hali ambayo sio ya kawaida...
Habari,
Mimi i just recently joined JF so naomba msamaha kama nitakosea kitu
Nilikuwa na swali about pharmacy ndani ya Tanzania. Currently ninasoma nje ya nchi and where niliko kuna kitabu/...
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili tawi la Mloganzila wameanzisha huduma ya upasuaji ya kurekebisha baadhi ya sehemu mbalimbali za mwili (plastic surgery). Baadhi ya aina za upasuaji ambazo zitakua...
Eczema (pumu ya ngozi): ni ugonjwa wa ngozi ,unaofanya ngozi kuwasha sana,ngozi kuvimba,kuweka vipele vingi vidogo vidogo venye rangi nyekundu. Ugonjwa huu huanzia utotoni mara nyingi pia...
Bado baadhi ya wanaume wanashindwa kupima afya zao wakitegemea majibu kutoka kwa wenza wao.
Hali hii imekuwa ikiwaumiza wanawake wengi hasa wanawake wajawazito bila ya kujua wafanye nini Ili...
Nina rafiki yangu wa karibu Sana tulisoma nae hiyo miaka ya nyuma shule,ni mtu tumeshibana sana ila mimi nilipoenda kusoma ndipo tukawa tupo mikoa tofauti tofauti
Sasa hivi karibuni nikaona mwana...
Kuna maradhi Degedege na Kifafa, huwa yanawaingiza Watoto na watu wazima katika hatari, yakionekana kwa sura tofauti, kulingana na hali ya mgonjwa.
Kuna kundi la wanajamii wanaunganisha na...
Umewahi kuona mtu hawezi kuongea mbele za watu?
Anatetemeka, anaogopa, haendi kwenye sherehe au mikusanyiko umewahi kujiuliza shida n nini?
Umewahi kujiuliza kwanini mtu hawezi kabisaa kukaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.