Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Naamka nanyi leo Wewe jichue. Sio wanaume au wanawake sahivi kila mtu anajichua kutumia mikono na vidole, wewe endelea kujichua maana ni sehemu ya kujifurahisha kwako ongera sana. Kadili...
7 Reactions
139 Replies
42K Views
Natamani kujua aina hii ya upasuaji unahusiana na nini, nimejaribu kupitia mtandaoni na ku-search lakini kwakuwa utabibu sio fani yangu nimeishia kudokoa machache ambayo naona bado sijaelewa...
1 Reactions
4 Replies
363 Views
Hivi wadau kwanini magonjwa mengi katika mwili wa binadamu yanaambatana na kukosa hamu ya kula, kuanzia minyoo, malaria, typhoid na mengine!! Je ni mwili unafanya hivyo kujihami na vijidudu vya...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Ndugu wakuu, nina bibi yangu anaishi Dar na maza, ana umri wa miaka kama 100 hivi, sasa anasumbuliwa sana na maradhi na upande wa uchumi uko vibaya, siwezi mkatia bima ya afya. Naomba kujua...
1 Reactions
8 Replies
490 Views
Unakuta kuna Member Mmoja Maarufu mno Mitandaoni mpaka Rais Samia anamjua na Kufurahishwa nae na Wengine baadhi ila anachukiwa na Members kadhaa lakini hao hao Members Wanaomchukia huyo Member...
0 Reactions
26 Replies
1K Views
Mtoki au kwa lugha ya kitaalamu, swollen lymph nodes or glands, ni uvimbe wa tezi unaojitokeza katika mwili wa mtu baada ya mwili kuumia na kushambuliwa na vijidudu au bakteria wasababishao...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Number of people with diabetes increasing due to population growth, urbanization, aging and increasing prevelance of obesity and inactivity. Currently, according to literature shows that, type 2...
0 Reactions
3 Replies
619 Views
Niingie tu kwenye mada nasumbuliwa na vidude vinaota kwenye ngozi nimeenda hospital wanasema zinaitwa warts sijui kama sijakosea na kilikuwa kimoja kwa sasa vinafika kumi na mbili, dokta alisema...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Wanajamvi! Huu ugonjwa wa watoto kuwa na vidonda makalioni unasababishwa na nini? Hasa hutokea wakati wanaharisha. Huku Mwanza wanauita Makaptula (sijui kama ndo jina halisi)
0 Reactions
5 Replies
14K Views
Habari wadau Baada ya miaka 4 hajaonana na demu wake jamaa kakutana na Ex wake week moja imepita jamaa alimwandaa demu na kupiga denda kila kitu cha mahaba ila akakumbuka hana kondom ila...
1 Reactions
39 Replies
2K Views
Nilikuwa nikifanya mapenzi ghafla nikasikia kitu kikipasuka ndani ya uume nilipo toa nakujikagua nikaona damu inatoka kwa wingi kama vile kunamshipa umepasika sasa sijajua nini kilitoea.
3 Reactions
36 Replies
2K Views
Kula mbususu ina utamu wake pale manhood yako iko vizuri, pia kwa wanawake kama unahamu ya kutosha si ile ya kulazimisha tu ili kumridhisha mtu. Tumia mchanganyiko huu lisaa kabla ya kula mbususu...
8 Reactions
41 Replies
4K Views
Habari wana Jf!! Nadhan mnakumbuka niliomba ushauri kuhusu tiba ya jino bila kung'oa,nawashukuru wote mlionipatia ushauri mwingi ikiwemo Root canal treatment na dawa nyinginezo!!niliamua...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Nimeona Kuna upotoshaji mkubwa sana wa matangazo ya dawa ya nguvu za kiume sasa nimeona niingilie Kati, nikasema hapana sitanyamaza maana wanaoteswa na kudhurumiwa kwenye hii changamoto ni...
20 Reactions
173 Replies
24K Views
Hivyo ni badh ya vipimo nilivyo pima kama mwaka mmoja uliopita kwenye tatizo langu la muwasho sugu sehem za siri wataalam kalibun icho kichina apo ni jina nimelificha kwa kuweka icho kistika
0 Reactions
10 Replies
553 Views
Kwa mwanamke ambaye anashindwa kupata ujauzito na amepimwa ultrasound akaonekana yuko salama apime vipimo vifuatavyo 1. prolactin hormone 2. thyroid stimulating hormone (T4) 3. sukari 4. HSG 5...
6 Reactions
30 Replies
3K Views
Licha ya Sugu kujulikana kusababishwa na vinasaba vya kurithi, kushika kemikali au matumizi ya vipodozi vyenye kemikali kali zenye sumu, tafiti zimeonesha pia kuwa watu wanaougua au wanaokaribia...
1 Reactions
4 Replies
949 Views
Habari za usiku wa jf usiku huu mwenzenu nashindwa kulala naombeni dawa ya kichomi ni dawa gani unitumie Maana sijawahi umwa kichomi hivi
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Kumeibuka wimbi la wafanyabiashara wengi wakiingiza nchini madawa mbalimbali yenye kemikali kali za kurefusha uume, kuongeza ndevu, kukupa six packs hata kama una mtumbo mkubwa kama wa Bujibuji...
5 Reactions
69 Replies
5K Views
Unaifahamu Surrogacy? Surrogacy, au uchukuzi wa mimba, ni njia ya kusaidia wanandoa ambao hawawezi kupata mtoto kwa njia ya kawaida. Njia hii inahusisha mama mbadala ambaye huzaa mtoto kwa niaba...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom