Ndugu zangu habari za Wakati, poleni na majukumu ya kujenga Nchi n.k.
Mimi na tatizo naombeni msaada hasa Kwa wale wajuzi wa mambo.
Mwaka jana nilifanya mapenzi na mdada mmoja, Baada ya...
Waku za sahizi asee nimekuja hapa kuomba ushauri wenu kidogo kwa ambae atakuwa na wazo zuri
Picha inaanza mimi ni mwanaume mtu mzima wa miaka 20.
Changamoto yangu ni kuwa mapumb* yangu ni...
Hii ni baada ya mahakama
Kutupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa
Na dada zangu wawili na waume zao(mashemeji)
Sijui nani aliwadanganya kumbe baba aliniandika
Kusimamia Mali zake kwenye wosia...
Hatari siku kadhaa mwez 8 nilimla mtoto mmoja hivi!!
Sasa baada ya hapo nikawa nasikia kitu kinatekenya kwenye dudu!!
Nikaenda nikapima hawakuona kitu
Hali ikaendelea mpaka mwez wa9!! Ambapo...
SIGARA: Uchunguzi uliofanyika kwa wanaume 50,360 ulionesha uhusiano wa karibu kati ya idadi ya sigara & muda unaotumika kuvuta na hatari ya mwanaume kupungukiwa nguvu zake za kiume (Erectile...
Anaandika Kenge
Salam wanabodi!
Maradhi ni moja ya adui mkubwa wa Taifa letu..kila kukicha maradhi yanaibuka leo utaumwa hiki kesho utaumwa kile..hii yote ni kwasababu ya lifestyle yetu...
Yamenikuta, wakati napiga game ghafla condom ikapasuka. Nimekosa amani baada ya hapo. Nimepata mfadhaiko sana.
Ninachoomba kwenu ni ushauri wa nini cha kufanya ili kuzuia maambukizi yoyote...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa watu hao wanatarajiwa kuwa na matatizo ya usikivu wakati Watu Milioni 700 watahitaji tiba ya matatizo ya usikivu.
WHO linaeleza kuwa zaidi ya vijana...
Nimekua kero kwa watu nikilala hua sijijui Kama nakoroma Ila nikiamka watu huniambia nakoroma kwa sauti Kali Sana ata mtu akiwa mita amsini hunisikia Kama kunadawa ya kuacha msaada niambieni ili...
Jamani ningependa kuuliza kuna wanaume wengine wanakuwa na ama vijititi vidogo na wengine makubwa kabisa... Nikaona nipate ufahamu, maana kuna mdogo wetu nae amekutwa nayo...
Naomba mtupe data...
Habari wakuu,
Kwanza kabisa, napenda kuwaomba Modes wasiufute au ku merge huu uzi na nyuzi nyingine.
Lengo la uzi ni kupata feedback tu za wale waliokua na fungus sugu sehemu za siri na wakapata...
Takwimu za Umoja wa Mataifa (UN) zimeeleza vifo hivyo vinatokana na changamoto za kiafya au ulemavu unaohusiana na masuala ya uzazi.
Changamoto hizo za kiafya pia zimechangia vifo vya Watoto...
Jaman Bado nateseka Hali yangu inazid kuwa mbaya juzi nimetokewa na malenge lenge kat ya mapaja na chini ya korodan panazidi kuwa peusiii mno Kila nikipak detoll panakauka na mangoz yanabanduka na...
Shirika la Watu Wanene (WOF) limetoa angalizo na kueleza hatua hiyo itafikiwa ikiwa hatua hazitachukuliwa mapema na kuwa zaidi ya watu bilioni nne watakuwa katika hali hiyo.
Ripoti imeonesha...
Habari za muda huu wadau?
Nina tatizo la Tumbo "Kunguruma" linalonisumbua kwa muda mrefu sasa. Hali hii hunitokea zaidi wakati wa usiku, na siku za karibuni limeanza Kunguruma hata nyakati za...
Habari ndugu zangu. Nimekuja kuwatisha tena. Maji ya nazi/madafu yana madini ya potasium kwa wingi sana. Matunda kama machungwa na ndizi yana potasium kwa wingi lakini hayagusi hata kidogo kwa...
Habari wana Jamii,Natumaini Mko salama
Ngoja Niende Moja kwa Moja Katika Mada
Mimi Ni Kijana.
Katika Utafutaji Wangu Wa Maisha Nakumbwa Na Hili Tatizo.
Sijaajiliwa,Naishi Kimchongo Mjini (Dar)...
Habari zenu watanzania,mwanangu ana umri wa mwaka mmoja na miezi mitatu.Tatizo lake hataki kula chochote tofauti na kunyonya tu.
Nilishanunua dawa za minyoo katumia mpaka basi,nikanunua vitamni B...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.