TATIZO hili la mwanamke kutofikishwa kileleni wakati wa kujamiiana huitwa ‘Female Orgasmic Disorders’ kufika kileleni tunaita ‘orgasm’ au ‘climax’. Kila mwanamke ni lazima afike kileleni wakati wa...
IGWEEEE
Wakuu kuna wakati ni kipindi cha nyuma sana nikiwa kidato cha 6 tuliwahi pewa semina haikuwa rasimi sana na ilikuwa inahusu swala la vidonge au Sindano za Uzazi wa Mpango.
Jamaa...
Vinywaji kama Soda vipewe kibandiko cha tahadhari kwa afya (Unywaji wa Soda ni hatari kwa Afya) kama ilivyo kwa sigara!
Si rahisi kuamini kwa kuwa ni kinywaji kilichozoeleka karibu kila dunia...
Habari za Alasir ndugu wa jamii forum kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu naombeni msaada wa mawazo ama kama kuna mtu anaweza tatua tatizo langu itakua vyema na mwenyezi Mungu amjalie in...
Jaman sehem ya chini ya korodan langu ni nyeusi kama baka moja kubwa na kati kat ya mapaja miguu yote miwili Kuna kama malenge jaman fangas itaniua ase.
Tatizo La Kuwahi Kufika Kileleni Ni Nini?
Kuwahi kufika kileleni au kuwahi kumaliza tendo la ndoa au kwa lugha ya mtaani kukojoa upesi ni hali ambayo inampata mwanamme ambapo hutoa shahawa kabla...
Wakuu naomba Kuuliza hospital zinazofanya Tapping Kwa mgonjwa aliye na Maji kwenye mapafu. (Tapping ni njia ya kutoa Maji Kwa Kutumia sindano)
Nina Mgonjwa ambaye ana Maji katika pafu Moja. Sasa...
Habari zenu wana jamvi poleni na miangaiko ya kila siku s niende
Kwenye moja kwa moja
Nimekua muhanga wa ngozi kusinyaa na kupoteza mvuto yaani inapauka pauka kama kipindi cha balidi
Kipupwe...
Habari wakuu,
Naomba msaada, Mjamzito kupumua kwa shida wakati fulani huwa inasababishwa na nini?
Hii kitu inatatuliwaje? Maana hospitali walimpa tu dawa na kumwambia ni hali ya kawaida tu ila...
Habari wana jf poleni na majukumu ya kila siku msaada wenu ni muhimu sana kwangu nasumbuliwa na hili tatizo la kutokwa mchafu sehemu za siri zaidi ya miaka miwili sasa.
Yaani ipo hivi nikenda...
Jarida la Journal of the American Heart Association limechapisha Utafiti unaoonesha Watu wenye miaka kuanzia 30 wasio na ratiba nzuri ya Kulala au Kupumzika Usiku, wanakuwa kwenye hatari mara 1.4...
nina mtoto wangu ambaye anasumbuliwa na kifafa kila apatapo hom kali au sometime homa ya kawaida tu.
ilianza akiwa na miaka miwili. alivyofika miaka minne hali ni kama ilizidi kidogo...
Habari
Hali ni mbaya Kwa kweli takwimu zinaonyesha nchini kwetu kua kati ya wanawake kumi (10) , sita (6) wanavirusi vya ukimwi
Ni vyema tuchukue tahadhari
Uume mwembamba, ukisimama ni nchi nne na nusu hadi tano urefu. Nakosa confidence ya kuwa na mahusiano na wasichana kabisa.
Naishia kununua malaya wanaojiuza ili walau kupoza kidogo! Nimechoka...
Habari za wakati huu ndugu zangu,
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 30+ ila bado sijaoa kabisa, nimekua nikipata sana maomivu ya kiuno na saa nyingine yanafika hadi kwenye hii mishipa ya...
Habari wanandugu, poleni na majukumu ya kila siku, wala siwapi faraja sababu najua tutapumzika kaburini[emoji28]
Kuna jambo limekua kama katabia siku hizi, watu wanakunywa virutubisho na...
Toka juzi nasumbuliwa na maumivu makali sana upande wa chini ya mbavu kushoto mwenye kujua dawa au tiba anisaidie jamani naandika nikiwa nimelala kitandani plz
Kichwa cha habari hapo juu chajieleza wazi kabisa. Nilienda kuoa mke wangu kijijini kwetu Kafyofyo Kyela kisha tukaja hapa mjini Dar ninapoishi.
Awali sikuwahi kuishi na mke wangu nyumba moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.