Watoto 12 wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na surua katika wilaya ya Mlele mkoani Katavi kusini magharibi mwa Tanzania .
Kati ya kipindi cha mwezi wa 12 mwaka jana hadi kufikia mwezi wa pili...
Tunaambiwa kuwa kuishi vizuri ni pamoja na kula chakula bora na sahihi. Pia, mtu anayeishi vizuri ni yule ambaye hasumbuliwi na maradhi hatari na njia pekee ya kuulinda mwili dhidi ya maradhi...
Jumla ya watoto 12 wamefariki kwa ugonjwa wa Surua, katika wilaya ya Mlele tangu Desemba 2022, mkuu wa wilaya Majid Mwanga ameiambia BBC. Aliongeza kuwa watoto 847 wameambukizwa ugonjwa wa surua...
Utafiti wa zaidi ya miaka 17 wa Chuo Kikuu cha Michigan nchini Marekani ulibaini kuwa Wenza wanaozungumza baada ya Kukwazana na Kupandishana Hasira, wanaishi muda mrefu zaidi.
Pia, utafiti...
Kitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo kwa kitaalamu huitwa Allium sativum. Jamii hii ilianza kutumika katika mabara mbalimbali duniani hususani Asia, Afrika na Ulaya takribani miaka 6000...
Habar wakuu wakati natafuta tafuta brash la Viatu kupekua pekua nimekuta hivi vidonge naomba kujuzwa ni nini hivi kwasabu sijawahi kuviona
Jamani naombeni majibu naona watu mna comment masihara...
Habari za majukumu ndugu zangu.
Naomba msaada wa kimawazo, ushauri na hata tiba ya hili linalonitatiza. Ni Kama wiki sasa naona kuna mabadiliko kwenye sehemu ya ngozi ya uume wangu, seheme ya...
Nina uzito wa kilo 84 nataka nipunguze angalau zibaki 70!
Nina kitambi kama mfuko kiasi cha kupata shida sana wakati wa kuvaa soksi!
Njia ya mazoezi nimejaribu imenishinda! Naambiwa kuna dawa za...
Tanzania ukiifuatilia sana utaona watu wengi wanaangalia mambo kinyumenyume sana. Sijui huwa sababu ni nini?
Pombe(Ethanol) ni sukari iliyogeuzwa kwa fermentation. Pombe ina nguvu kama tu chakula...
Familia imeweka wazi kuwa Staa huyo aliyetamba katika filamu nyingi zikiwemo Die Hard, The Sixth Sense na Armageddon anasumbuliwa na ugonjwa wa #FrontotemporalDementia unaomfanya kupoteza...
Ukiona unaenda kwenye matibabu na daktari anakuwa kama hajiamini hivi, anababaika-babaika katika kutafuta ugonjwa wako, na hata anatumia google jua kuwa upo kwenye mikono salama. Magonjwa ni...
Habar wakuu nimekua ikinitokea wakati nimelala usingizini macho huuma inakua inanitokea Mara moja moja
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Kuna mwanamke hapa naona kama ameanza kutematema mate na nimekutana nae wiki hiihii na ofkoz ndio alikuwa kwenye tarehe za kutiwa mimba sasa hapa nisaidieni kinadada.
Habarini,
Leo nimeamua kutupa kapuni kadi yangu ya NHIF ya UNAJALI baada ya kukosa mawasiliano na NHIF HQ ili kuweza kupata huduma ya kulipia kadi yangu kwani inaisha muda wake na niko mbali na...
Habari wadau,
Moderator
Mods watanisaidia ikae jukwaa la Afya au urembo
Nina mwanangu alitogwa masikio pale m city wakamwekea hizi english gold. Na mama yake akashauriwa kumpaka spirit ili...
“Coca-cola si kinywaji salama kwa mwanadamu”- Utafiti
Coca-cola ni nembo kubwa sana katika historia ya nembo ya bidhaa na utafiti umeonyesha ni nembo maarufu duniani baada ya “hallo”, Ni neno la...
5. Utaratibu wa Kumhudumia Mama baada ya Kuzaa
Kipindi cha 5 Utaratibu wa Kumhudumia Mama baada ya kuzaa
Utangulizi
Huduma baada ya kuzaa kwa mama inapaswa kukabiliana na mahitaji yake maalum...
Huu uongo umekuwepo miaka mingi sana. Ukweli ni kuwa maziwa hayana nguvu yoyote ya kutibu sumu. Mtu anayekunywa maji na anayekunywa maziwa baada ya kunywa sumu wote wapo sawa.
Unakuta mtu...
Jamani wanaJF polen na majukumu ya dunia hii"" lakin all in all ni kupambana na kuhakikisha tunafikia malengo yetu, moja kwa moja kwene mada;
Nina shida ya kuwasha kwenye mrija wa kukojolea, pana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.