Nimeanza rasmi kutumia tiba mbadala. Ninatafuta vitu vifuatavyo manjano,habatsoda,asali,mdalasini na Khurinjani. Tatizo siijui KHURINJANI!
Ninaomba mwenye picha yake anitumie!
JF imenisaidia...
HABARI
Natumaini mpo salama kabisa hii post KWAAJILI ya watu wenye elimu zaidi ju la hili tatizo linalo nisumbua ivyo ningeomba mnipe ushauri kwa AMANI kwa muda mrefu sasa nasumbuliwa na tatzo...
Wakuu.
Wakati wa mwanzo wa ujana wangu nilifundishwa kitu kibaya, rafiki yangu mmoja aliyekuwa amenizidi umri alinipa ushauri ambao umeniharibia 'future' yangu kama mwanaume.
Wakati huo nikiwa...
Wakuu kichwa cha habari cha jieleza. Kazi ya kufundisha iwe elimu ya juu ama hizi za chini zina involve kuongea.....
Sasa mimi nikiongea muda mrefu mdomo unanuka sana mpaka wanafunzi wanaziba pua...
Uyoga umekuwa ukitumiwa kwa miaka takribani 400 iliyopita katika kutibu magonjwa mbalimbali ya mwanadamu hasa katika Falme za kichina walitumia sana uyoga mwekundu kujitibia. baadhi ya kazi za...
Habari, wakuu.
Nimepata chanjo ya corona tarehe 15 mwezi huu pale hospitali ya bukoba government hospital. Sasa nimpewa cheti cha kawaida ambacho sio cha kidigitali.. nimeambiwa mtandao unasumbua...
Wadau habari ya mapambano,naomba kujua hali ya corona ipo vp hapo mitaa yenu, home kwangu familia nzima imepigwa na mafua makali sana.
Na kwa upande wa wife dalili ndo kama zile za awamu ilee...
Habari zenu wanajamii forums
Naombeni msaada wa mawazo,,mpenzi wangu anaumwa na tumbo kama kati kati ya kitovu na anapopitisha chakula chochote katika mwili wake, anatapika na kuharisha.
Nawasalim kwa pamoja ndugu zangu
Mimi kijana wa miaka 32
Nimeoa Nina mtoto 1
Tatizo langu ni
Maumivu yaliyopitiliza na ya muda mrefu ya kiuno
Maumivu ya mara kwa mara ya kichwa ni kama miaka 7...
Wataalam nawasalimu,
Moja Kwa Moja nakuja kwenye tatizo.
Juzi alhamis mwanangu mdogo alirudi kutoka shule akiwa anachechemea kidole gumba hakigusi chini anakipandisha juu ya nyayo...
Wadau kwa yeyote ambae amewahi kupona tatizo la nguvu za kiume, tunaomba msaada aliponaje au alitumia dawa gani had akapona kiufupi mimi nimeathirika na punyeto ila nishaacha baada ya kuona...
Wadau,,,,kama kichwa kinavojieleza tunaomba yoyote ambae amewahi kupatwa na tatizo la nguvu za kiume na akapata tiba na akapona tunaomba atusaidie na namba ya aliemtibu ,,,, ahsanteni
Vitamini unazotumia kabla ya kujifungua zina virutubisho vingi mtoto wako anavyohitaji, hivyo basi kuna umuhimu gani waa mama mjamzito kuangalia kwa makini lishe yake?
Inaathiri afya ya mtoto...
Kiasi cha Sh4.5 bilioni kimetumika kufanya uwekezaji wa ujenzi, miundombinu na vifaa tiba vilivyotumika kuanzisha Kituo cha Huduma Pandikizi (IVF) cha Hubert Kairuki.
Kituo hicho cha kutoa...
1. Epuka Kutumia dawa bila ushauri wa daktari hasa wale wakutumia Paracetamol kwa kila ugonjwa
2. Fanya masaji kwa mtiririko mzuri wa damu
3. Epuka matumizi ya pombe na vilevi vyovyote
4. Tumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.