Habari Wana JF,
Naombeni ushauri ndugu zangu namna ya kuishi na mtu mwenye stress over.
Nimeshagundua rafiki yangu anatatizo la afya ya akili kwasababu.
Ni mtu mwenye hasira muda mwingi Hana...
Habar wana JF nilikuwa nahitaji kufahamu na kupewa taaluma juu ya mtu mwenye makengeza yanatibika! Na tiba yake ipoje? Na je huyo mtu anaweza akawarithisha na watoto wake?
Kisonono (gonorrhea) ni nini?
Kisonono ni ugonjwa kati ya magonjwa ya zinaa unaosababishwa na bakteria aina ya Neisseria gonorrhoeae, bakteria ambao hukuwa na kuzaliana kwa haraka katika sehemu...
Napenda kuwasalimu wanajamii forums.Kama mada inavyojieleza hapo juu tatizo lilianza kama mafua makali ambayo yalikuwa yanafanya Pua langu liume na nishindwe kulala Kwa raha.Lakini namshukuru...
Vijana wengi wenye umri chini ya miaka 35 tunapata vipara. Vipara vinaondoa muonekano mzuri wa vijana na kuonekana wazee. Nimeleta hii mada nikiwa kama muhanga.
Naomba serikali kupitia wizara ya...
Habari zenu jmn! Nataka kujua Kama Kuna sheria, regulations au rules zozote zinazogovern au kutoa muongozo wa In Vitro Fertilization (IVF) hapa Tanzania.
Kesho Tarehe 23 September naaza safari ya kweda Dar. kwa ajili ya matibabu ya mtoto wangu aliyezaliwa na tatizo la mdomo sungura, nawashukuru sana wadau kunipa ushauri, maoni na kunipatia namba za...
Watafiti wa Vyuo Vikuu vya Victoria na York vya Canada wamebaini kuwa mazoezi hayo yanafaida kubwa katika Afya ya Akili kuliko kufanya mazoezi ya aina hiyohiyo ya ndani.
Aidha, utafiti huo...
Habari za jioni ndugu zangu?
Mke wangu anatatizo siku zake zina mvurugiko yaani hazijakaa sawa na mpaka sasa hana mimba. Je, mwanamke anapokuwa na tatizo hili anaweza kushika mimba? Pia, tatizo...
Leo January 30 ni kilele cha siku ya kimataifa ya maadhimisho ya magonjwa ambayo hayapewi kipaumbele Duniani, ambapo kitaifa maadhimisho hayo yanafanyika mjini Tanga kwa kauli mbiu ya “Chukua...
January 30 ya kila mwaka, dunia huadhimisha siku ya Magonjwa ya Kitropiki yasiyopewa Kipaumbele (Neglected Tropical Diseases) kama sehemu ya kuongeza ufahamu na jitihada za kuyatokomeza magonjwa...
Wana Jukwaa la JF Shalom Shalom, Assalamu aleykumu, Tumsifu Kristo Yesu.
Bila kuwapotezea mda wadau naomba msaada wa maelekezo kwa mwenye information kuhusu kampuni ya Zion medical ya huko...
Hakuna aina moja ya mboga za majani inayotosha kukupatia virutubisho vyote muhimu ili uweze kuimarisha afya yako.
Ni muhimu kutokutumia aina moja ya mboga kila siku kwa kuwa haiwezi kukupatia...
Kama sio mtaalam wa maswala ya kiafya Kaa kimya.
Hii hali ilinianza juzi kama kiupele nikakitumbua, kuamka asubuhi nakuta vipele vimeongezeka. Vipele vinavyonuka na kutoa usaha vimejazana kwenye...
Kichaa cha mbwa ni maambukizi makali ambayo huathiri ubongo na mfumo wa neva. Inaweza kuwa mbaya ikiwa haitatibiwa kwa wakati. Kwa hivyo, watu walio katika hatari kubwa ya kuambukizwa kichaa cha...
Utafiti wa Chuo Kikuu cha Vienna umeonesha kuwa mziki unaweza kumrudisha mtu katika hali ya furaha au kawaida pindi anaposikiliza muziki mzuri au wenye kusisitiza furaha wakati wa msongo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.