Je, ni uchaguzi wa mtindo wa maisha au teknolojia bora ya uchunguzi?
Kulingana na utafiti mpya, vijana wengi zaidi duniani kote walio chini ya umri wa miaka 50 wanagunduliwa kila mwaka na...
Ongezeko la wagonjwa wenye maambukizi ya njia ya mkojo, maarufu kwa jina la UTI na typhoid limekuwa kilio kikubwa kwa Watanzania katika sekta ya afya kutokana na kutumia fedha nyingi katika kutibu...
Mwenzenu mie nina tafuta tiba ya upungufu wa nguvu za kiume.napenda sana niwe mume kamili ila nguvu zimenipungua nikitaka kuingiza tu inanywea.sijui nimelogwa?
Ninywe Maji Kiasi Gani Kila Siku Wakati wa Ujauzito?
Uhitaji wa maji wakati wa ujauzito ni mkubwa zaidi ili kuhakikisha mfumo wa mwili unaosimamia maisha ya viumbe wawili unafanya kazi vizuri...
Mke wangu amejifungua waoto mapacha kwa sasa wana wiki 3.
Changamoto anayopitia ni.
1..watoto kulia sana na kutolala hasa wakati wa usiku kuanzia saa 7 hadi saa 11 ndo kuna kuwa na unafuu...
Habari.
Mke wangu alijifungua now ni siku ya nne ilikuwa njia ya kawaida,alichanika msamba na waliweza kumshona.
Sasa kinachoendelea hadi leo sehemu zake za siri inatoka harufu kali yenye...
7 Most Common Waterborne Diseases (and How to prevent them). Community Health Water-Borne Diseases
Each year, waterborne diseases afflict hundreds of millions of...
Wadau wa Afya Habari wakuu!
Ninahitaji Wapi Nitapata Daktari bingwa wa Watoto/Hospital ya watoto chini ya Miaka 5,
Nina Mtoto ana Tatizo la Kifua Muda mrefu ni kama inaelekea kuwa Pumu!
Hapa Dar...
Baada ya mgegeduano mkali uliochukua takribani masaa mawili uliosindikizwa na migugumio ya hapa na pale, hatimaye binti anatoka ghetoni kwa mkulungwa akiwa ameshikilia chupa ya maji ya kunywa...
1:
Za leo wandugu, naomba kuuliza na kutaka kujua.
Mimi niko kwenye ndoa ya kama miaka 2 sasa. Kwa kweli imekuwa na furaha zake pia ni vikwanzo vingi. Imefikia sasa mimi najishangaa sana kuwa...
Bandugu..kumekuwa na malalamiko mengi sana katika swala zima la mapenzi kwa siku hizi za karibuni na hii inasabanisha kuongezeka kwa waganga na matangazo mengi mara ya Kuongeza uume.Kutight...
FAIDA ZA PARACHICHI
(Faida 20 za Kula Parachichi)
Parachichi ni aina ya kipekee ya tunda. Matunda mengi kwa asili ni wanga lakini parachichi limejaa mafuta yenye manufaa makubwa kiafya.
Tafiti...
Nataka nifanyiwe vipimo vya kiwango Cha uwezo wa kusikia(Hearing capacity). Kutoka mkoa mmoja mpaka mwingine kwa hospital za serikali hasa ukiwa mtumishi wa umma Huwa Ina mlolongo mrefu sana...
Waziri wa Afya ametoa kauli hiyo baada ya Watumishi 2 wa Afya, Rose Shirima na James Getogo kutoka Zahanati ya Ishihimulwa, Tabora kuonekana wakijibizana kuhusu kutumia Vipimo vya #Malaria...
Hofu ya uwezekano wa ongezeko la maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU) kwa miaka ijayo inazidi kutanda mitaani kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya vipimo vya haraka (HIV Rapid test) vya kubaini...
Sijui hata nifanyeje?
Nilipata tatizo la ganzi mwilini, nikatumia vodonge vya Pregabalin miezi minne. Sasa kila nikiongea na watu nawarushia mate Kama manyunyu yanapuliza.
Sasa watu hunikwepa...
Natural, organic skin care remedies can replace most of the cosmetic and pharmaceuticals skin care products we buy and do a better job of protecting and healing skin. The skin is the largest organ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.