Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Habarini wana jukwaa naomba wenye utaalamu na hii dawa wanipe (madhara yake na faida)
0 Reactions
1 Replies
2K Views
habari wanajamvi, msaada kwa mgonjwa asieweza kunusa harufu ya kitu chochote kwa muda wa miezi sita sasa msaada wa daktari au dawa ni muhimu
0 Reactions
0 Replies
483 Views
Kulingana na hali hewa kuna hali fulani hivi kwa kila mtu kuwa na mafua sio mafua flue au kikohozi, hivyo kila mtu anakula/ kunywa dawa kulingana na uwezo wake. Sasa kumekuwa na kila mtu...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari zenu wadau... natumai mupo wazima kabisaa... kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu ni kwamba mwaka wa 2 huu mimi nina tatizo la moyo kwenda mbio sana utadhani nimetoka kufukuzwa...
2 Reactions
23 Replies
8K Views
Chapisho la Timu ya Wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha Maryland katika jarida la Neurology, limeonesha wenye Damu ya Kundi A wana uwezekano mkubwa wa kupata Kiharusi kabla ya umri wa miaka 60...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini wajamvi, Naomba kufahamishwa madhara ya matumizi ya P2 endapo imetumika Mara mbili ndani ya wiki na suluhisho la hayo madhara asanteni
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wana jf Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba msaada wa kupata dawa nzuri ya kinywa inayoweza kutibu fizi zinazotoa damu mara kwa mara. Msaada wenu jamani.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za leo wana JF, Mimi nina mke ambae kwa sasa ana ujauzito wenye miezi 5 lakini ni kama mwezi mmoja sasa anapata KWIKWI mfululizo isiyokwisha. Je, yaweza kuwa tatizo nini?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ikiwa ni hatua ya kuendelea kukabiliana na maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi, Naibu Waziri wa Afya, Dk Godwin Mollel amesema Serikali imesambaza kondomu milioni 111.934 nchini katika kipindi...
1 Reactions
9 Replies
707 Views
Wazee hukabiliwa na tatizo la kupungua kwa kinga ya mwili, hali inayowafanywa wawe kwenye hatari kubwa ya kupatwa na magonjwa sugu hasa kisukari, shinikizo kubwa la damu pamoja na magonjwa mengine...
1 Reactions
4 Replies
997 Views
Tangu asubui naharisha nimeharisha mara 3 Ila nguvu bado ninazo nachukua muda kidogo kutoka one episode to another. Nangoja nione kama nitaharisha tena hali ikizidi nitakunywa Albendazole au...
2 Reactions
8 Replies
900 Views
Hi Hali sielewi kabisa, Mke wangu ANAMIMBA NATAPIKA MIMI, Kisayansi hii ikoje, sielewi kabisa
1 Reactions
13 Replies
890 Views
hodi,wataalamu,naomba kujuzwa kama kuna madhara yeyote ya kung'oa jino gego la juu,maana nimekuwa nikisikia dhana mbalimbali juu ya watu kupoteza maisha na maradhi mengine ya kichwa ,wanaosema...
0 Reactions
7 Replies
15K Views
Habari za wakati huu. Mimi ninatatizo limenikuta gafla moyo unauma sana na kuna kipindi unakua kama unapata joto kwa ndani, kuna wakati maomivu nayasikia mpaka kwenye shingo na kwenye sikio...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habarini za hapa wanajukwaaa Mimi ni mwanamke nnasumbuliwa na vijpu kwenye ovary, nmehangaika karibu miezi sita bila mafanikio Kibaya zaidi limeota lingine upande wa kulia wakat lile lingine...
2 Reactions
49 Replies
3K Views
Hey! Wataalamu wa masuala ya Cardiac System naomba ufafanuzi hapa; Inasemekana kuwa mtu mwenye blood group O anakuwa resistant dhidi ya maambukizi mbalimbali ikiwemo HIV. Inasemekana pia kuwa...
6 Reactions
78 Replies
9K Views
Nimetumia karafuu haija nisaidia....nisaidieni njia nyingine🙏
2 Reactions
127 Replies
4K Views
Msaada jamani ninasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume nimetumia madawa mengi kuniponyesha lakini ndio hali yazidi kuwa mbaya. Nishatumia sana madawa ya ku boost na nyeto kwa sana lakini mpaka...
4 Reactions
137 Replies
11K Views
Wasaalam Kuna rafiki yangu alipata ujauzito wakati bado hajajigundua, mume wake ilikuwa kila asubuhi anatapika njano, na homa za hapa na pale na kila alipoenda hospital Ugonjwa haukuonekana...
5 Reactions
68 Replies
39K Views
Mara baada ya kuelezwa kuwa Taasisi ya Mifupa (MOI), Dar es Salaam imekuwa na ongezeko kubwa la wagonjwa wa kupooza ndani yam waka mmoja imeelezwa kuwa moja ya sababu kubwa inayochangia hali hiyo...
3 Reactions
8 Replies
947 Views
Back
Top Bottom