Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Ulaji unaojali afya siyo tu huangazia aina ya virutubisho vinavyotumika, bali huzingatia pia mda sahihi wa ulaji wa vyakula. Kwa kuwa usiku huwa ni muda wa kupumzika kwa watu wengi, mlo wa muda...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimesoma makala mbalimbali kuhusu viongozi na watu wengi waliofanikiwa katika Mambo Yao kwa kiasi kikubwa. Nilichokielewa ni kuwa wengi wao walijihusisha na suala la mapenzi kwa kiasi kidogo au...
5 Reactions
37 Replies
3K Views
Habari jamani yeyote mwenye fununu ya matokeo ya clinical medicine mwaka wa mwisho 2022? Walifanya mtihani December.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Matumizi ya mara kwa mara ya vipodozi kwenye saluni yana athari katika ngozi ikiwa ni pamoja na kusababisha kuota mvi katika umri mdogo. Pia yanasababisha mzio wa ngozi pamoja na matatizo kwenye...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za siku nyingi wakuu na members wore wa JF. Ndugu wana JF wezangu tarehe 25 mwezi wa sita mwaka huu, wife alijifungua mtoto wa kilo 6 na mtoto akawa na tatizo la ugonjwa wa mdomo sungura...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Nilitembea na girlfriend wangu siku ya 14 akameza dawa baada ya masaa 24 means jioni ya siku iliyofuata baada ya kulala nae na baada ya kumeza dawa that night nililala nae tena nikijua ile dawa...
3 Reactions
41 Replies
2K Views
Msaada wana JF, Mimi jinsia yangu ni ya kiume,huwa kuna vipele vinanitokea kwenye eneo la nywele za chini karibu na mdudu wangu,huwa vinaanza na muwasho taratibu ndani ya siku mbili vinajikusanya...
0 Reactions
230 Replies
279K Views
Tafiti zinaonesha wanawake wanahitaji angalau dakika 20 za ziada za kumpuzika au kulala kuliko wanaume. Tafiti hizi zilifanywa na chuo kikuu cha Duke kilichopo nchini marekani. Sababu kubwa...
4 Reactions
3 Replies
377 Views
Wazee ebu nipeni ushauri, ni michanganyo ya aina gani nikila nguvu za kiume zikae vizuri, nipige show za uhakika!! Nimeshaanza asubuhi napiga tangawizi, maziwa ya mgando na kitunguu saumu...
7 Reactions
62 Replies
8K Views
Wiki iliyopita tulieleza kwa urefu tatizo la kuvimba korodani, leo tunaendelea kufafanua tatizo hili na tutaeleza nini ufanye upatapo tatizo hili. Ni kwamba ugonjwa unaoathiri korodani na...
2 Reactions
0 Replies
4K Views
Naomba kuuliza Kwa Tanzania Kuna hospitali yoyote inafanya surgery kupunguza pua bila shida yoyote?
3 Reactions
59 Replies
3K Views
Habarini za usiku ndugu zangu, Mimi ni kijana wa miaka 27, nimeoa miezi mitatu iliyopita. Sasa, juzi ghalfa mke wangu akaanza kujisikia maumivu upande wa chini wa kulia. Baada ya kumpeleka...
0 Reactions
5 Replies
626 Views
Habari wakuu, Nimekuwa nikijiuliza sipati jibu, maswali machache niliyo jiuliza yalinifanya nifanye utafiti ili kupata majibu ya maswali yangu. Miongini mwa majibu niliyoyapata kwenye utafiti...
1 Reactions
40 Replies
3K Views
Habari wana JF, Mimi nina kijana mwenye umri wa miaka 14 na anasumbuliwa na vipele mwilini kwa zaidi ya miezi miwili. Nilimpeleka hospitali na majibu yakaja kuwa ana fangasi katika damu na...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama inavyojulikana njia ya mtu kuambukizwa VVU ni kipitia kujamiana ukiachana na njia zingine kama kuwekewa damu ya muathirika n.k Leo nimeenda mazingira Fulani mkoani kilimanjaro kwa ajili ya...
4 Reactions
33 Replies
2K Views
Kinyesi cha binadamu hubeba aina nyingi za vimelea vya magonjwa. Baadhi ya vimelea hivyo ni Salmonella ambavyo husababisha homa ya matumbo (typhoid) pamoja na Norovirus ambao husababisha kuharisha...
0 Reactions
3 Replies
461 Views
Msaada kwa anayejua na maelezo ya kina.
1 Reactions
3 Replies
907 Views
Wagonjwa wa saratani hupitia changamoto kubwa ya ulaji inayotokana na maudhi ya dawa wanazotumia au tiba wanayopatiwa. Matibabu yao huzongwa na vipindi virefu vya kubadilika kwa hamu ya kula na...
1 Reactions
0 Replies
791 Views
Wakati jamii ikitafsiri mwanaume kulia anapopatwa na matatizo ni udhaifu, wataalamu wa saikolojia na viongozi wa dini wanasema ni afya na humpa mhusika faraja ya maumivu anayopitia. Wameonya kuwa...
1 Reactions
1 Replies
596 Views
Back
Top Bottom