Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Wakuu habarini. Ninaomba msaada kwa anayeweza kunishauri. Nimekuwa nikipata maumivu ya kifua eneo la katikakati ya kifua kurudi chini zinakoishia mbavu. Mara nyingi maumivu haya husikika upande...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
PHARMACY YA NYUMBANI. [emoji1314]Ukiwa na Acidity nyingi tumboni kula Tango [emoji1314]Ukiwa na tatizo la kutopata choo kunywa mtindi [emoji1314]Presha ya kupanda kula ndizi mbivu inaishusha...
8 Reactions
9 Replies
962 Views
Wapendwa amani ya Bwana iwe nanyi. Naomba msaada wenu tafadhali juu ya tatizo hili la moyo kuuma na kwenda kasi zaidi nawakati mwingine kushindwa kupumua. Nimeshapima presha na kuonekana iko...
0 Reactions
49 Replies
21K Views
NIMEKOPI KUTOKA KWA AZIZ ALLY: Ni ndefu lakini jitahidi kuisoma yote, ni muhimu sana. TIBA RAHISI YA NYUMBANI 👉🏻Ukiwa na Acid nyingi tumboni kula Tango 👉🏻Ukiwa na tatizo la kutopata choo...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za Muda Ndungu Zangu, Leo nijadili kuhusu Swala la Vitambi Kwa Wanawake. Naongelea Wanawake kwasababu nawajali na nawapenda. Kumekua na Ongezeko Kubwa la Wanawake Wenye Ndambi Kubwa...
11 Reactions
100 Replies
6K Views
Kwa kweli ukila ugali unapata choo kingi tofauti na ukila wali wa vyakula vya ngano Wataalamu wa chakula hii inasababishwa na nini! Je kupi ni bora kula ugali,wali au vyakula vya ngano...
5 Reactions
61 Replies
4K Views
Nahitaji nimepatwa na ugonjwa wa akili please kindly psychologists naomba msaada wenu wa haraka sana nitawalipa pesa yoyote Ile mnayohitaji tafadhalini jamani. Kuna muda napatwa na moods swing na...
10 Reactions
44 Replies
3K Views
Mlo wa mchana huuongezea mwili nishati ya kuendelea kujiendesha kwa ufanisi mkubwa pasipo kukwama. Ni msaada wa kipekee unaousukuma mwili katika kuendesha mifumo yake pamoja na kustahimili masaa...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
FAIDA ZA KUPAKA MAFUTA NYAYONI WAKATI WA KULALA USIKU 1. Mwanamke mmoja anasema babu yake aliishi miaka 87 bila ya kuumwa na mgongo, viungo, kichwa, meno wala mwili baada ya kufunzwa siri na mzee...
14 Reactions
59 Replies
11K Views
Na Jumaa Kilumbi, 31.10.2022 Punyeto ni nini? ni kitendo cha kujiridhisha kingono kwa kujichua sehemu za siri. Lakini ieleweke kuwa Punyeto ni kitendo cha kiasili kibailojia na hufanywa na watu...
24 Reactions
159 Replies
10K Views
Kupata kifungua kinywa ni namna nzuri ya kuianza siku yako, huupa mwili nishati ya kutosha unapoanza kuyakabili majukumu ya siku mpya. Kwa wanafunzi, tafiti za kisayansi zinaonesha umuhimu wa mlo...
1 Reactions
1 Replies
683 Views
Wale wote ambao mmepona matatizo ya matumbo au bado manaumwa kama mimi tukutane hapa ili tuweze kushauriana nini cha kufanya kwani naamini humu Jf ndiyo kila kitu!Mimi nimeugua Tumbo sasa ni mwaka...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Habari wana jf poleni na pilika pilika za kila siku, Naombeni MSAADA wa jambo hili tafadhali, Kuna mdada ana umri wa miaka 30 alikuwa hajawai kufanya tendo na toka avunje ungo alikuwa hajapata...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Rafiki yangu anasumbuliwa na macho hasa kutoa machozi na mishipa ya macho kuuma, alijaribu kuuliza baadhi ya watu wanasema aache kula chipsi. Je kuna uhusiano wowowte kati ya kula chipsi na...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Kipindi hiki Waislamu wote duniani wako katika Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kama sehemu ya imani yao. Uzoefu na machapisho mbalimbali ya kitaalam yanaonyesha kuwa baadhi ya wanaofunga...
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Naomba tujuzane kuhusu afya kwa ufupi Kwakipindi cha hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la watu wanaokuja hospitalini wakilalamika kuhusu maumivu ya kifua pamoja na mgongo. Zipo sababu nyingi...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Naombeni ushauri ninatatzo la kifua kubana, iko hivo kifua kilinibana ghafla tangu mwaka Jana, nashindwa kupumua vizr , na kichwa kinaniumwa muda mwingine nakua nayaona mapigo ya moyo unadunda...
2 Reactions
41 Replies
11K Views
Kitaalamu tatizo hili hufahamika kama Ugonjwa wa Kuhodhi (Hoarding Disorder) ambao ni hali ya #AfyayaAkili ya kuhitaji sana kuhifadhi idadi kubwa ya vitu hata visivyo na thamani yoyote na kupata...
4 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu habari Nina Rafiki yangu ambae mkewe alikua mjamzito, lakini sasa ameshajifungua. Sasa wakuu changamoto baada ya kujifungua ameambiwa bima yake inacover 1.5M tu ya gharama za kujifungua...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Habarini Wana JF, Nina swali kidogo. Hivi mtu aliyejeruhiwa kichwani mfano kukatwa na panga kwenye utosii anaruhusiwa kufanya mapenzi au mpka apone kabisa? Na je, akifanya hajapona kuna madhara...
18 Reactions
138 Replies
6K Views
Back
Top Bottom