Habari za muda huu?
Najua mko wazima kabisa! Wale mnaoumwa Mungu awajalie mrudi kwenye hali zenu za kawaida.
Kumekuwa na hii imani kuhusu Virusi Vya UKIMWI watu wanatumia isivyo vipimo vya...
Wakuu nimemeza malafin kwaajili ya malaria, siku ya pili yake nikahisi maumivu kwenye uume kucheki kuna kama vijipele hivi, nikavichukulia poa kuamka siku ya pili yake limekua donda, yani ni kama...
Habari wakuu,
Nimewahi kujitekeza humu jamvimi nikiomba msaada wa dawa ya tatizo ambalo limenisumbua kwa muda mrefu sana la GERD.
Tatizo hili nimekuwa nikitibiwa kwa muda mrefu nilianzia...
Huu Ni ugonjwa unaosababishwa na acid ambapo uko kwa stage 2, Kuna mlango unaofunga mfuko was chakula baada ya kula,mlango huu huathiriwa na acid iliopo tumboni na hushindwa kufanya kz vizuri na...
Habari zenu. [emoji847]
Dr Kihwaga hapa again[emoji847]
Matumaini yangu mpo salama[emoji106]
Kulingana na hoja iliyotufikia mezani siku ya leo on be half of MDs nitaomba niweke clear kwa kiasi...
Kulingana na andiko fulani lililoita liliezea kuhusu haya majani au mnaweza kutafta na kusoma tena maana me niliwapa ahadi ya kuyatafuta ktk mizungoko yangu nimefanyikiwa kuyaona japo ni machache...
Mishipa ya damu kwenye mguu wangu wa kulia imevimba sana ivo inanipa changamoto ya muonekano, Nimegoogle nkajua ni shida ya varicose veins. Ili tatizo Halinipi maumivu wala complications ila...
Changamoto za kiafya huja kwenye nyakati tunazotumia sukari nyingi za nyongeza, ambazo wazalishaji wa vyakula na vinywaji viwandani huiongeza ili kuboredha (kuongeza) ladha.
Aina hii ya sukari...
Serikali imesema muswada wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote ukipitishwa na kuwa sheria na kuanza kutumika mwaka huu, mwananchi yoyote ambaye hatakuwa na bima hiyo kuanzia mwaka 2026, hataweza...
Habari viongozi mimi ni mwanamke wa miaka 40 hivi kuna kipindi niliugua sana kiuno nikawa napewa tramadol nikawa nasikia nafuu kubwa sana.
Sasa nimekuwa deoendant siwezi kumeza tramado saivi...
Tangu naanza kukua nimekua na tatizo la kung'ata ulimi kwenye vile vijipeele vyake mpaka natoa damu, Yani mpaka ulimi wote unakua na vidonda na midomo ivyoivyo hasa ya chini.
Watu wananisema sana...
Kwema wakuu
nasumbuliwa na tatizo la kutoa shahawa kidogo au kutotoka kabisa pindi ninapojamiiana, hali hii imeambatana na maumivu ya korodani
Je, ni ipi tiba?
Shukrani.
Mkipenda futeni mods! Mahitaji nunua chungu na kuku jogoo kisha mchinje huyo jogoo halafu toa vitu vyote vya ndani(utumbo, maini, firigisi, mapafu) maana ndiyo tiba na uvipike kwenye hicho chungu...
Nilikuwa naumwa nikaenda kupima wakasema nina UTI nikapewa cipro za siku 7, nikameza siku 2 tu nikasafiri nikasau dawa home nikapotezea na dawa yenyewe masherehe haya yakaanza na mipombe nikasema...
Kuacha Kutazama Video na Picha za ngono
Nini maana ya picha za ngono?
Picha au video za ngono ni mkusanyiko wa picha ama video zinazoonesha utupu wa binadamu. Lengo la picha na video hizi ikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.