Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Habari yako ndugu. Karibu tena, tunaendelea na makala zetu kuhusu madhara ya kisukari. Kisukari huharibu figo kwa namna mbili: namna ya kwanza ni madhara ya moja kwa moja yatokanayo na uwepo wa...
6 Reactions
4 Replies
1K Views
Takwimu zilizotolewa na Wizara ya Afya zimeonesha ongezeko la wagonjwa wa Uviko-19 nchini kutoka asilimia 4.1 hadi asilimia 5.5. Takwimu za wiki ya kwanza ya Novemba 2022 zinaonesha kati ya watu...
1 Reactions
0 Replies
759 Views
Salama wakuu !! Kwa wataalam wabobezi mnaweza kuisemeaje hii,, Mfano unachek blood pressure wakati wa mchana kipimo Cha chini Ni 48mmhg,, lakini katika kipindi hichohicho wakati wa asubuhi mara...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimesikitishwa baada ya kuona Barua yako Ya majibu uliyowaandikia Umoja wa WAHITIMU WA SHAHADA YA UTABIBU NA UPASUAJI, Kwa barua yako yenye kumbukumbu No.MB.131/220/01/36 ilikuwa na kichwa cha...
2 Reactions
44 Replies
3K Views
Habarini wakuu:kuna hii mila ya ukeketaji wanayofanyiwa watoto wakike hata wale walio wadogo kabisa kiumri, mila hii hasa ipo mkoani #Mara na mkoa wa #Manyara! Je kuna faida yeyote ile kiafya kwa...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari Wana JF Nipo hapa kuomba msaada juu ya kupata dawa za PEP kwa hapa Dar es Salam kwa siku ya leo
5 Reactions
60 Replies
5K Views
Biringanya ni moja ya vyakula maarufu sana katika jamii nyingi ulimwenguni. Hupatikana pia kwenye maeneo mengi ya bara la Afrika. Kwa upande wa nchi za Ulaya, hupikwa kama kifurahisha kinywa...
3 Reactions
5 Replies
3K Views
Ugonjwa wa homa ya manjano (Yellow fever) husababishwa na vimelea vya virusi kutoka genus (jinasi) ya Flavivirus ambao huenezwa na Mbu. Mbu hao hupatikana kwa wingi katika sehemu za ukanda wa...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
HABARINI ZA WEEKEND WANA JF, Natumai mu buheri wa afya. Kwa Ufupi Mimi ni kijana wa kiume miaka 22. Ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimojawapo apa Tanzania. Nimeandika huu uzi kuomba msaada ni dawa...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Wadau naombeni jina la kimiminika kisichokua na madhara kwa mtumiaji kwa ajili ya kumlainisha mke wangu sehem zake. Hii ni kwa ajili ya kumpa foreplay(sehem muhim sana hi kitandani) ya kutosha na...
3 Reactions
193 Replies
84K Views
Ni mwezi wa pili sasa nasumbuliwa na matatizo ya kiuno kila nikisimama au nikikaa muda mrefu Nikikaa chini kuja kunyanyuka napata maumivu makali sana kuna wakati kiuno kilikamata hadi nasimama...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mtandao wa #Bloomberg umeripoti kuwa maambukizi hayo huenda yamewafikia watu Milioni 248 ambao ni sawa na 18% ya idadi ya watu wote ndani ya siku 20 za Desemba 2022. Desemba 22, 2022, kampuni ya...
0 Reactions
0 Replies
531 Views
Salam wakuu, Leo usiku wakati nampa mbwa wangu (6months puppy) chakula amekua hajachangamka (mnyonge), halafu kala chakula kidogo tu akaacha. Ningependa kufahamu kwa wataalam je, atakua na...
0 Reactions
0 Replies
395 Views
Wadau, naomba msaada wenu. Nimengoa jino na leo tar 26/7 nna siku ya nne. Jino lenyewe ni namba 7 kwa sababu nimewasikia madaktari wakilitaja. Lilikatika wakati wakiling'oa na ikasababisha watumie...
2 Reactions
4 Replies
20K Views
Binti yangu ana mwaka na miezi takribani miwili sasa yupo kakaa tu HATAMBAI... Ukimlaza atajigeuza geuza tu... Na hata ukimkaliza kwenye kochi anaweza kushuka na kuishia kusimamia tu miguu kwenye...
1 Reactions
3 Replies
380 Views
L-Arginine na L-Citriline hizi ni supplement mbili zinazoshabiana sana; Je, kuna aliyewahi kutumia zikamsaidia saidia kusukuma siku? Je, kwa wale wenye tatizo la peripherial Artertly disease ni...
0 Reactions
6 Replies
643 Views
Ni kwa wale wenye vvu na hawajaanza kutumia ARVS,Kuna dawa ya kumaliza kabisa vvu mwilini.kwa mwenye shida ani pm wahi utibiwe kabla vvu havijakuathiri sana
1 Reactions
20 Replies
10K Views
.
0 Reactions
18 Replies
441 Views
Nina tatizo la kupata maumivu makali tumboni au nikila chakula chochote chenye sukari, ugali, au nikinywa pombe, nikibana mkojo kwa dakika kadhaa. Na maumivu haya yanatokea chini ya kifua halafu...
0 Reactions
6 Replies
623 Views
Naambatanisha picha, Naomba mtaalam wa kusoma picha za autrasound anisaidie kama hii ni vidonda vya tumbo au kidney stones? Shukrani
0 Reactions
9 Replies
606 Views
Back
Top Bottom