Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Nitapata wapi specialist wa koo mzuri Dar es Salaam. Inafika miezi mitano sasa nasumbuliwa na koo.
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Msaada Wana jf yaani hivi vidonda vitaniua jamani
1 Reactions
88 Replies
13K Views
Habari, Nahitaji msaada, mke wangu anasumbuliwa na tumbo na hii ilitokana baada ya kujifungua mwaka 2018 alichanika sana hivyo ikabidi ashonwe na pia aliongezewa damu, baada ya kupona tumbo...
1 Reactions
2 Replies
457 Views
Habarini wakuu. Kumekuwa na imani potofu kuwa mtu anayeharisha hatakiwi kutumia vitu kama soda na juisi. Utasikia, "Usimpe soda huyo anaharisha." Ukweli ni kinyume chake. Mtu anayeharisha...
0 Reactions
1 Replies
584 Views
Habari wa jf natumai muwazima wa afya tele huwa sikosi kuingia jf pindi niwapo free napenda ksoma mijadala mbalimbali inayowasilishwa humu pia kusoma maoni ya memba ila ni mara chache sana...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Msaada wa dawa jaman nina vidonda kwenye ulimi yapata wiki sasa nashindwa kula vinauma mno
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Naombeni msaada wa kujua dawa ya minyoo, Nimeshatumia aina mbalimbali lakini naona Bado siijafanikiwa, Mpaka sasa nikienda haja kubwa nahisi minyoo inataka kutoka lakini hawatoki wanarudi tena...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Tatizo la VVU/UKIMWI linaendelea kuwa tishio kwa maisha ya binadamu. Pamoja na jitihada mbalimbali za kitabibu, imeonekana kuwa watu wengi wanaoishi na virusi vya UKIMWI (VVU) au UKIMWI...
0 Reactions
3 Replies
15K Views
Zaidi ya Maambukizi Milioni 1 ya Magonjwa ya Zinaa (STIs) yanatokea duniani kote Kila Siku, mengi kati yake hayana Dalili za kuonekakana. Kwa mujibu wa Takwimu za Shirika la Afya Duniani, kila...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
This article was deleted
0 Reactions
0 Replies
307 Views
Mambo vipi wakuu, jamani kuna ndugu yetu amekuja kututembelea, sasa tukiwa tumekaa tunapiga stori ghafla damu ikaanza kumtoka puani. Tulipomuuliza akasema kwamba hii sio mara ya kwanza kumtokea...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu, Shemeji au wifi yenu ni mjamzito karibu anafunga mwezi wa tatu. Mimba bado ni changa. Kuanzia mimba ilipotimiza miezi miwili amekuwa akilalamika sana tumbo kumuuma kwenye...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kutokana na mada ya hapo juu je, upungufu wa hiyo hormone unasababishwa na nini. Je, watu wapi hasa inawapata watoto, vijana, wazee na kama kijana imempata inaweza kurudi ikawa kawaida manake ni...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Habari wakuu Katika kujipima kutumia bioline nimejikuta nimejichoma sindano niliyokuwa nimemchoma mtu mwenye HIV Sasa nilikuwa mbali kidogo na eneo la kituo cha afya kwahiyo kesho yake...
2 Reactions
52 Replies
8K Views
Wadau, Tatizo hili ni kubwa tena sana na wajanja ni wengi wanalia watu hela zao. Mie ni mmoja wa waathirika wa hili tatizo na nimetumia mitishamba sana na sijawahi kupona hili Tatizo. Wengi au...
9 Reactions
93 Replies
13K Views
Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi Sehemu za Siri Zinasinyaa taratibu baada ya goli moja. Mwili unahisi ganzi pamoja na sehemu za siri. Hamu inakata ghafla Mara baada ya...
11 Reactions
109 Replies
13K Views
Mwaka jana nilipost hapa kuhusiana na rafki yangu aliepata ajali na kupoteza nguvu za kiume, kupelakea ndoa yake kutaka kuvunjika, sote tunaelewa kwmba waganga weng siku hizi ni waongo, tulienda...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Habari wapendwa? Kama mada ilivo hapo juu yakuwa tuna baadhi ya wahudumu wa mahabara akikuhudumia haweki jina lake kabisa pale panapotakiwa jina lake, je huu ni wizi pia au kuna nini nyuma ya...
0 Reactions
4 Replies
514 Views
Tatizo la kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi huwapata wanawake wengi walio katika umri wa kuzaa na wale waliomaliza majukumu yao ya uzazi. Tatizo linapojitokeza huleta athari nyingi kwa mwanamke...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom