Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Swali la moja kwà moja kuna shida gani endapo moyo wa binadamu utakalia kulia badala ya kushoto? Nimekutana na hii kesi.
2 Reactions
16 Replies
810 Views
Hii kitu sijawahi kuhadithia mtu hahaha, mara ya kwanza enzi hizo niko form two kwenye NECTA, niseme tuu nilikuwa na focus sana na mamitihani ile na sijawahi kusoma kwa focus kama vile. Basi siku...
7 Reactions
17 Replies
2K Views
Ndug wana JF naombeni ushauri nina mtoto wa miezi 5 lakini huyu mtoto Kila ukijaribu kumsimamisha hata miguuni anakunja miguu lakini ana uwezo wa kurusha miguu vizur lakini unapohitaji...
1 Reactions
22 Replies
7K Views
Habari wana JF. Natafuta dawa ya kusaidia sperm motility au mwenye kufaham lishe nzuri ya kusaidia sperm motility naomba anisaidie. Asante.
5 Reactions
22 Replies
4K Views
Nauliza tuu jamani hivi kwani nini kila mtu mwenye ulemavu wa akili (taahira) na kuwa na mwili mkubwa/bonge ,baunsa awe mwanamke au mwanamke je kuna mahusiano gani maana kila ninaowaona wana mwili...
1 Reactions
10 Replies
723 Views
Bill Gates: We Must Depopulate Africa To Save Europe source.Bill Gates: We Must Depopulate Africa To Save Europe | Light On Conspiracies - Revealing the Agenda HATARI YA CHANJO KWA WATOTO...
11 Reactions
195 Replies
24K Views
Antibaotiki (Kiingereza antibiotics, mara nyingine Kiua Vijasumu) ni kemikali ambazo hutumika kuua au kuzuia ukuaji wa vijidudu vinavyosababisha magonjwa. Mwanzo neno antibaotiki lilitumika...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hellow ndugu zangu, naomba kuuliza kwa yeyote anaejua tiba asili au za hospitali la tatizo la kuchelewa kushika ujauzito.
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari za wakati huu, niende moja kwa moja kwenye uzi. Kiukweli magonjwa ni mengi sana ya kuambukizwa na haya yasiyo ya kuambukizwa. Lengo la kuleta uzi huu ni baada ya kushuhudia mtu akikata...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nisaidieni namba ya Dr.Kapona ndugu zangu au maelekezo ya clinic yake iko wapi?? Natanguliza shukrani
0 Reactions
14 Replies
17K Views
[emoji269] *UFAHAMU UGONJWA WA NGIRI NA TIBA YAKE* [emoji269] [emoji298]Ngiri hujulikana pia kama “Hernia” kwa Kiingereza. Ugonjwa wa ngiri ni matokeo anayopata mtu kutokana na misuli au kuta za...
1 Reactions
3 Replies
26K Views
Wasalam JF, Wakuu nina kichanga cha miezi mitatu,tangu akiwa na mwezi mmoja nimekuwa nikimwambia mama yake amchunguze vizuri hasa sehemu za siri. Akawa ananiambia mtoto ana korodani moja...
1 Reactions
15 Replies
7K Views
Waungwana naomba ushauri wenu katika hili tatizo hili limekuwa sugu kwangu huwa natumia dawa za kupunguza gesi lakini zikiisha tatizo linaendelea Mwenzi wangu kwa maana ya mke kanivumilia kwa...
0 Reactions
80 Replies
36K Views
Naombeni msaada Nina mtoto wa kike ana mwaka ma miezi 6 mpaka sasa utosi wake bado haujafunga yan bado unadunda Kama mtoto mchanga
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Husika na kichwa hapo juu, mimi ninawashwa sana pumbu hasa baada ya kutoka kuoga na muda mwingine zinajianzia tu hata nikiwa na watu wa heshima. Naombeni msaada nitumie dawa gani?
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Hapa sina amani kabisa wala furaha kuanzia mida ya saa 3 baada ya kula. Nahemea juu juu huku macho yamenitoka kama mtu aliyeshikwa ugoni, hata kumeza mate tu nashindwa hali inazidi kuwa ya hatari...
5 Reactions
43 Replies
4K Views
Ndugu, jamaa, naomba msaada kwa anaejua dawa ya macho, mzee wangu kaingiwa na matone ya mti wa mnyaa machoni
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ya nini kama bado meno yatasumbua tu huko mbele, kuna ndugu yangu tangu kijana mdogo hawezi kulala bila kupiga mswaki kama masharti ya mganga, sasa ni mzee lkn ashafanya root canal zaidi ya 1 na...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakati Serikali ikiweka mkazo katika huduma za kusafisha damu (dialysis), hospitali ya Rufaa ya Tumbi mkoani Pwani, inatarajiwa kuanza kutoa huduma hiyo Desemba 15, 2022. Hatua hiyo itapunguza...
0 Reactions
0 Replies
444 Views
Habari wadau, Naomba ushiriki katika ujenzi wa afya, Dunia hii malaika ni watu na si vinginevyo, kila mmoja wetu kaumbwa kama malaika wa pekee, niwape hili moja la kupunguza mwili na Uzito na...
7 Reactions
56 Replies
3K Views
Back
Top Bottom