Wadau mama yangu anasumbuliwa na huu ugonjwa hospitali anapewa pain killer tu. Naombeni msaada kwa wengine wanaofahamu tiba maana penye wengi hukosi msaada. Asanteni
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza wadau nipo kwenye hali ya taharuki toka siku ya juzi nikikutana na mwanamke uume wangu unabaki kuwa legevu tofauti kabisaa na hali yangu halisi...
Wakuu kama Mada hapo juu nia ni kushirikishana mbinu au dawa mbalimbali ambazo uliwahi kutumia na ukapata mafanikio ili na wengine wenye matatizo kama yako wawezi kupona au kujikinga
Mfano mimi...
Habari zenu wapendwa, mimi nina matatizo ya mguu wangu wa kushoto kuvimba kwenye kifundo juu ya kisigino ( ANKLE) nimejaribu kutumia dawa za hospitalini na hata za mitishamba lakini bado sujapata...
Nahitaji kufanyiwa Intrauterine insemination (IUI), maana tumejaribu kawaida inashindikana, napata wapi hiyo huduma hapa Tanzania na itagharimu kiasi gani, wajuzi mje kunisaidia.
Habari zenu wakuu.
Naomba ushauri kwa niaba ya rafiki yangu ambaye ameoa mwaka wa 10 sasa. mke wake ana tatizo sugu la kuchubuka ukeni wakati wa kugegedana jamaa anajitahidi kumuandaa lakini...
Nina mdogo wangu ambae Ni mwanafunzi. Miezi michache iliyopita alijiovadozi(alikunywa vile vidonge vya majira vile vyekundu alitumia kimoja kutwa mara 3, kwasababu alijihisi ana mimba akaenda duka...
Wakuu kama bandiko linavyosoma. Kwa yeyote mwenye mawasiliano au kufahamu ofisi ilipo ya tabibu anayeunga mifupa iliyovunjika kwa njia za asili, naomba aniachie namba au maelekezo hapa. Hii itakua...
Naomba msaada wa kuondoa madoa haya kwa mdogo wangu wa kike
umri miaka 15.
mwanzo alikua anasumbuliwa na upele uliokua unajitokeza kwa awamu na alipoenda hospital aliambiwa ni Allergy.
Hili...
Habari za wikendi wana jmm,
Nimekuja naombeni ushauri wenu.
Ni hivi wiki iliyopita kuna demu nimetafuna kimasihara mnamo Jumatatu na niliuza mechi sikutafuna na ndom.
Sasa leo nimeamka...
Kesho tarehe 1/12/2022 twendeni tukapime maambukizi ya vvu ili kujua afya zetu. Endapo utakuwa umeathirika unaweza kutumia dozi ya ARV na kuepusha maambukizi zaidi.
Shime wafanyakazi wa sekta...
Karibu 80% ya magonjwa yanayosababishwa na viini husambazwa kwa njia ya mikono kwa mujibu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kudhibiti Magonjwa Nchini Marekani (Centers for Disease Control and Prevention -...
Habari wakuu,
1.Tujuzane hapa kama unawajua waganga wa asili wanaotibu meno,hasa fizi kuvimba na maumivu makubwa ya meno.
2. Dentists wazuri.
3.Hospitali nzuri za meno.
4. Dawa nzuri ya meno...
Salaam wakuu,
Hivi kuna dawa yoyote ya kusafisha tumbo/ kusababisha kuharisha?
Jirani yangu ameniomba nimshauri lakini nikatoka kapa, anadai anapata choo kwa taabu sana, nimemshauri anywe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.