Tanzania imetajwa kuwa nchi ya mfano katika udhibiti wa maambukizi ya Ukimwi na vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Ukimwi.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Ukimwi...
Ripoti ya Umoja wa Mataifa (UN) imebainisha hayo katika ripoti ya kufikia lengo la kimataifa la kupunguza vifo vinavyotokana na VVU ifikapo mwaka 2030.
Lengo ni kuwa ifikapo mwaka huo 90% ya...
Si unajua tena gharama za kumuona dokta yaani consultation fee ilivyo kubwa? Kama kuna yeyote humu anisaidie ushari, mara kadhaa nimeenda hospitali sababu ya vidonda ndani ya mdomo pembeni, wakati...
Wakuu nani anaejua dawa ya nyonga? Yaani zinanipa shida sana kila nikitoka kufanya 'jogging'. Sijakimbia siku nne nikizisikilizia, ajabu leo jioni nimekimbia zinaniuma hadi...
Manzi wangu nampenda sana, ila kero kuu kutoka kwake ni huo ugonjwa wa fangasi, akitumia dawa zinaisha ila baada ya muda zinarudi, keshatumia dawa za kuweka ukeni, vidonge vya fluconazole lakini...
Habari za mchana naomba msaada wa kitaalami Nina Maumivu makali sana chini ya bega la kushoto tangu mwezi wa nane, nimejaribu kwenda hosp nikapimwa x-ray hawakuona shida, niliwah vunjika mkono wa...
Mimi ni kijana wa kiume,umri wangu ni early 20s.Kiukweli toka nizaliwe hadi sasa sijawahi kufanya mapenzi(penetrative sex) licha ya kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na wasichana kadhaa,lakini...
Habari wana jamvi, nina simu aina ya Samsung nilikuwa niliuziwa na mtu, kwa bahati mbaya hii simu kumbe ni zile za mkopo za M Koba Ya Uganda, nimekuwa natumia vzr lakn leo imejifunga na inaomba...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wana JF
Maana ya kuuliza hivyo kuna siku moja nimeenda zahanati tena ya serikal nmefika pale nikamuelezea daktari hali yangu na yeye akanielekeza kwenda...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limechukua uamuzi huo baada kushauriana na wataalamu kutokana na uwepo wa malalamiko kwamba jina la sasa lina Ubaguzi wa Rangi na Unyanyapaa.
WHO imehimiza mashirika...
Katika kitu kinachonisumbua kwa Sasa ni huu ugonjwa wa UTI mke wangu.
Anasumbuliwa na huu ugonjwa hauponi hapa nilipo naona unantia hasara na suluhu sipati kachoma sindano, kameza dawa kafyanyiwa...
Habari wanajamvi.
Niende Moja Kwa Moja kwenye mada, Nataka kujua taratibu za kufuata ili kuiunga kampuni na Bima ya afya (NHIF) au AAR,ili wafanyakazi na familia zao waweze kupatiwa huduma za afya...
UTI ni ufupisho wa maneno Urinary Tract Infection, au kwa kiswahili ikiwa ni maambukizi ya mfumo wa mkojo ambao huhusisha figo, kibofu cha mkojo, mrija wa mkojo pamoja na mrija unao unganisha figo...
Kuna mtu anaomba msaada, ushauri kuhusu requirements za clinic registration:
Ka-clinic anakotaka kukasajili kana Daktari (MD) mmoja na clinical officer mmoja. Na hawa nd'o kila kitu (kazi za nurse...
Hivi ni kweli kuwa kwa mwanamke kufanya mapenzi mara kwa mara kunamsaidia kuondoa chunusi na kuifanya ngozi yake kuwa nyororo na yenye mng'aro angavu?
Kuna uelewa wa kitaa kuwa sex inamsaidia...
Habari wana jf....nina dada angu anasumbuliwa na chunusi mda mrefu sasa kashauriw atumie acnotin 20gm kwa siku 3 lakin pharmacy kaambia inabidi atumie dose within siku 30 na ...je kuna ulazima...
Nimekuwa na mgonjwa wa kansa. Nikawa na jamaa akanishauri kujaribu seli shina. Nikaungwa na mtalaam. Akanidokeza vitu vizuri kiasi cha kusema baada ya mwezi atapata nafuu kubwa hata kuachana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.