Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Naomba kujuzwa, uwingi wa damu mwilini rating zake huwa ikoje? Nimekuwa nikisikia kuwa kwa mtu wa kawaida isipungue 12 au 13. Hizo namba tafsiri yake ni nini? Yaan 13 juu ya ngapi? Na kiwango...
3 Reactions
48 Replies
64K Views
Hi,Today 16 November is the premature date which established in 2017 in order to to give awareness about premature day in order to prevent stigma for those baby whose born with this this birth...
0 Reactions
0 Replies
371 Views
Naombeni ushauri wa kitiba, kila nikitembea na mwanamke pekupeku lazima baada ya siku kadhaa akuambie tumbo linamuuma, na mimi kwa upande wangu uume umekuwa ukiniwasha washa kwene urethra hadi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kulewa sana. Kufanya ibada sana.Unakuta mtu anapitiliza muda wa ibada na kushindwa kufanya majukumu mengine. Kushindwa kufanya uzalishaji mali au kufanya kazi. Kupenda kesi, jambo dogo...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Nini madhara yakuumwa na tandu ubavuni?
1 Reactions
30 Replies
7K Views
Habari doctor's wa jf,naomba kuuliza Jana saa tisa mchana dada ametumia dawa ya p2 akaambiwa baada ya masaa kumi na mbili atumie kingine maana aliambiwa ameze kimoja kimoja. kwahiyo alipomeza...
6 Reactions
79 Replies
11K Views
Ni mwezi wa 3 sasa hajaona period. Baada ya kupima kagundulika na hilo tatizo. Wataalamu tafadhali naomba msaada wa kujua suluhisho la kudumu. Nawasilisha
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Imebainika asilimia mbili tu ya Wanaume ndiyo wana uelewa kuhusu Saratani Mkoani Mwanza, hivyo kuwafanya baadhi yao kupoteza maisha kwa ugonjwa huo bila kujitambua. Utafiti uliokusanya taarifa...
0 Reactions
2 Replies
783 Views
Wana Jf tafadhari naomba kama kunamtu anajua dawa ya kuzibua mirija ya uzazi , kwani nimepima hospitali wamesema mirija imeziba siwezi kupata ujauzito.
0 Reactions
148 Replies
139K Views
Imeelezwa kuwa kila vifo 33 kati ya 100 vinavyotokea nchini vinasababishwa na magonjwa hayo na robo 3 ya wananchi hawajitambui kuwa wana tatizo hilo. Mkurugenzi Msaidizi wa Magonjwa...
1 Reactions
1 Replies
609 Views
DAWA YA CLOMIPHIENE Dawa hii hufahamika kama ‘Clomiphene Citrate’ Katika fani ya Tiba ya dawa, Clomiphene huwekwa katika kundi la dawa liitwalo ''ANTIESTROGENS AND SELECTIVE ESTROGEN RECEPTOR...
3 Reactions
4 Replies
35K Views
Poleni kwa majukumu ya kila siku wadau wote wa jamiiforums hasa ukumbi huu wa JF Doctor. Naamini JF doctor kuna watalaamu wengi na watu wenye uzoefu katika masuala ya afya na shughuli...
1 Reactions
216 Replies
117K Views
Hali zenu Ndugu zangu hakika mpo sawa kiafya kwa uwezo wa Mungu Kikubwa Naomba mnijuze hospital nzuri yenye huduma za Kubadilisha meno Na kuweka bandia inagharimu kiasi gani cha pesa. Naombeni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kifo ni hatua ya mwisho ya madhara ya chumvi lakini kuna madhara mengi sana yasababishwao na chumvi kabla ya kifo. Tafiti zilizofanywa na jarida la new england journal of medicine nchini...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mkuu juzi nimeona umemwambia mtu kuhusu matibabu ya kitunguu Swaumu dhidi ya malaria sugu kwakweli nimeitumia na siku ya pili leo naona niko fiti sana.Cha ajabu na uume wangu leo usiku mzima...
2 Reactions
39 Replies
10K Views
Yapata miaka mitano toka tuoane na mke wangu lakini kwa kipindi hiki chote hatujaliwa kuwa na mtoto na tumejaribu kuzunguka kwa wataalamu mbalimbali lakini imeshindikana na mimi nahitaji kuwa na...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Habari zenu wana Jamvi, samahanini kidogo niwatake wenye kujua suala hili waweze kunijuza na namna linaweza kutatuliwa. Jambo lenyewe ni kuhusu Afya ya uzazi wa mwanamke, mimi mke wangu katika...
0 Reactions
87 Replies
8K Views
Watu ambao wameambukizwa COVID-19 zaidi ya mara moja, wana uwezekano mara mbili au tatu zaidi, kuwa na matatizo mengi ya kiafya kuliko wale ambao wameambukizwa mara moja tu, ripoti ya utafiti...
0 Reactions
1 Replies
642 Views
Drug Tablet Named Ranitidine used to treat ulcers and GERD sold as (Zantac,Rantac,Ranitab ) Is Banned in USA AND INDIA Because of Having N -nitrosodimethylamine ambayo inasababisha Colorectal...
0 Reactions
1 Replies
508 Views
Wakuu naomba kufahamu ni kipimo gani hiki na lengo lake ninini? Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom