Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Za mida wakuuu natumai ni wazima Kwa wiki ka 8 iv nasumbuliwa n homa.kali sana ambayo.kuna muda hua unalungua . Nilijarbu kuenda ku test HIV. TYPHOID N MALARIA PAMOJ N MKOJO wiki kama 3...
0 Reactions
1 Replies
584 Views
Naomba msaada wanazengo nimepoteza hamu ya kushiriki tendo ghafla yani demu wangu anakuja geto mara 4 mfululizo lakini sina hamu kabisa yani ananifanyia kila kitu michezo yote yani mautundu yote...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari ndugu wana Jamii Health, Mimi nina mtoto mwenye umri wa miezi 2 na wiki 2, tatizo la mtoto wangu ni kwamba hatoi haja kubwa, yaani ananyonya tu ila hakuna haja kubwa, ila mkojo anakojoa...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Mtoto akifikisha miezi 6 unaweza kuanza kumpatia vyakula vingine kidogo kidogo. Mtoto akianza kupewa vyakula nje ya maziwa mapema kabla ya miezi 6 ni hatari kwa afya yake maana mfumo wake wa...
1 Reactions
1 Replies
9K Views
Baada ya kusumbuka kwa takribani wiki tatu sasa, afya yangu ikiharibika kwa kasi huku mimi binafsi, vipimo na ushauri wa madoctor ukionyesha ni uchovu tu au tatizo la kawaida. Jana nimekuja...
24 Reactions
295 Replies
34K Views
Wakuu hii kitu inamaana gani? Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
10 Replies
740 Views
Kuna dawa ya kutibu malaria maarufu inayojulikana kwa jina la MALAFIN Hiyo dawa hapo juu ndani ina vidonge viwili na huwa inauzwa kwa bei ya sh 1500, na sehemu nyingine huwa ni sh 2000. Baada...
13 Reactions
110 Replies
34K Views
Habari wapendwa, Naomba kujuzwa kama naweza tibiwa tatizo la mtoto wa jicho na likapona. limeanza kidogo naona linaendelea. Ningependa kujuzwa na gharama zikoje.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Aina sita ya vyakula ambavyo vikichanganywa hugeuka sumu Kila binadamu ana kile alichojaaliwa na Mungu. Siku zote anachoamua mmoja kula huenda kikawa sumu kwa mwingine. Chakula anachokula mtu...
5 Reactions
26 Replies
4K Views
je!? yale malipo ya bima ya afya, iwapo muhusika atopata huduma kwa kutopata maradhi ndani ya kipindi husika. mfuko hufanya nini na hizo pesa!??? Nashauri mfuko kurudisha fedha za mwana mfuko...
0 Reactions
8 Replies
522 Views
Wakati baadhi ya wanawake wakizichangamkia dawa za asili za kuongeza ukubwa wa makalio, watalaamu wamesema mpaka sasa hakuna dawa iliyothibitishwa na Mamalaka ya Dawa na Vifaatiba (TMDA) hivyo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu yangu wa karibu sana anatatizo la HIV muda mrefu sasa ila tatizo lake CD4 zimeshuka sana zipo 18 na uzito 45 hawez kutembea mwenyewe na pia anasumbua sana kula chakula Je ni dawa...
2 Reactions
154 Replies
31K Views
Ugonjwa wa UKIMWI bado ni tatizo kubwa katika jamii, hivyo ni muhimu kuendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya kujikinga na ugonjwa huo. Ni muhimu kuhimiza watu kuchukua tahadhari kwa wale ambao...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu mimi nilikuwa na tatizo la tumbo kujaa gesi na kukosa choo. Nilifanyiwa upasuaji (operation) hospitali ya Mloganzila mara mbili mwezi wa 5 na mwezi wa 7 mwaka 2021 sasa, nimekuja...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wataalam wa afya wanasema asilimia 80 ya viharusi vinaweza kuzuiwa kupitia mabadiliko ya mtindo mzuri wa maisha na kucheki afya mara kwa mara ili kudhibiti hatari za kiharusi. Watafiti wamegundua...
1 Reactions
4 Replies
880 Views
Naombeni Msaada wa Mawazo. Habari mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 niko na changamoto. Awali nilijihusisha na matumizi ya pombe, mihadarati na bangi ikanisababishia kupata matatizo ya...
1 Reactions
11 Replies
551 Views
Wakuu habari zenu? Kuna kitabu kimoja nime bahatika kukisoma kinaitwa healthy food kimeandikwa na George D.Pamplona-Roger,M.D ,nilichokisoma humo ndio nikaamua nije niwaambie na nyinyi wakuu...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu siku nne zilizopita kuna ka upele kadogo kaliota juu kidogo ya goti mimi nikaona kameiva nikakatumbua. Sasa kamekuwa kero, maana ukubwa wake umeongezeka maradufu halafu naumia, naombeni...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Msaada kwa ma expert mimi nina tatizo la kupata majipu masikioni ambapo kuna kipindi sehemu ya sikio ilikua ikiwasha sana yaani unaweza dhani kuna mdudu au kuna kitu kinatembea masikioni lakin...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema Novemba 26, 2022 watazindua upya utoaji wa chanjo ya Saratani ya Mlango wa kizazi nchini kwa wasichana ili kuwakinga dhidi ya aina hii ya saratani...
1 Reactions
0 Replies
482 Views
Back
Top Bottom