Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
JF DR. au mdau mwingine yeyote wa JF tafadhali nieleze iwapo kuna dawa inayoweza kutibu Sagamba (mipasuko ya kwenye visigino)
0 Reactions
65 Replies
81K Views
Wapendwa please, Naombeni msaada namna gani naweza kupona msongo mkali wa mawazo (depression) linanitesa mno. Sina uwezo wa kuonana na wanasaikolojia Ila kadri siku zinavyozidi kwenda naona...
5 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakuu habari!,nimehamia makazi mapya huku mbezi, lkn toka niingie kwenye hii nyumba tabu tupu, karibu kila Siku lazima tuue tandu. Msaada wenu wadau kwa ajili ya tahadhari. Nasikia mdudu tandu...
1 Reactions
39 Replies
47K Views
Wakuu habarini, Kama mada isemavyo; naomba kufahamu kama kuna madhara ya ukifanya ngono na mwanamke anayenyonyesha ambaye si mkeo. Natanguliza shukrani
3 Reactions
65 Replies
12K Views
Wakuu mimi ni mwalimu nafundsha shule ya girls tu lakini nahisi wanatumia sana shisha naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia madhara yake na jinsi ya kuwashauri waachane na hayo matumizi. Much thanks
0 Reactions
3 Replies
667 Views
Habar wakuu, Nadhani sisi wote tunatumia digital devices lakini shida ya hivi vifaa vinasababisha matatizo ya macho lakini ajabu ni kwamba wapo watu wameajiriwa kama secretary au developers muda...
1 Reactions
2 Replies
524 Views
Habari zenu wanajamvi, Naomba msaada wa kuujua ugonjwa wa mdudu wa kidole kiundani zaidi, Napenda nijue chanzo chake, matibabu yake na njia za kuepuka ugonjwa huu……! Shukrani.
3 Reactions
36 Replies
68K Views
Ndugu wapendwa nawasalim!!!!! Tumepata tatizo kwenye familia kaka yetu amegundulika na ugonjwa wa cancer, amekuwa ana patwa na maumivu makali na kukata tamaa ya kuishi. Jana nimeona kwenye vyombo...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
vipele kama ivo kifuani na pembeni ya sikio
0 Reactions
14 Replies
627 Views
ELEWA TATIZO LA MIKONO / MIGUU KUFA GANZI. Na Dr Gombeye...✍ KATIKA mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kufa ganzi kwa viungo vya...
3 Reactions
8 Replies
14K Views
Wakuu naomba kuuliza ultrasound kwa government hospitals inacost bei gani? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Kitunguu maji hutibu magonjwa yafuatayo Kikohozi Vidonda vya tumbo Mifupa Ngozi Koo Figo Tumbo Mkojo Matayarisho Menya vitunguu maji 3 vikubwa, visage au vitwange ili upate maji yake...
1 Reactions
94 Replies
111K Views
Habari za Jumapili ndugu, ni mwembamba kiasi upande wa mikono nataka kuongeza nyama za wastani kwenye mikono je hizi bidhaa za hawa Gofit eatmore zinafata Kwa nahitaji yangu Nina kilo 67 Naomba...
0 Reactions
14 Replies
855 Views
Nina wiki sasa natoka usaha kwenye vyumba vya kubadilishia nguo! Kuna pisi niliikuna sana wiki moja iliyopita sasa nahisi imeniachia unaa! Siyo kosa lake ni ubishi wangu, maana aliniomba sana...
5 Reactions
32 Replies
3K Views
Je, kuna madhara yeyote ambayo yanaweza kujitokeza endapo mwanamke mjamzito atafanya mapenz na mtu ambae hausik na huo ujauzito?
3 Reactions
49 Replies
33K Views
Naomba wataalamu mnisaidie kumekuwa na maneno mengi kuhusu kufanya mapenzi na anayenyonyesha kwamba utamsababishia matatizo mtoto je kwa mfano inatakiwa kukutana mara ngapi kwa wiki kwa mwanamke...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari wadau, Nimeanza kupata tatizo la kutotambua mtu aliyezaidi ya mita hamsini naweza kumwona Kama mtu yule pale lakini nashindwa kumtambua ni Nani hata Kama namjua. Naomba msaada wa hili...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Huu ugonjwa stroke/kuparalaizi (kama tunavyouita huku mtaani)kwa nini ukimpata mtu unaanza upande wa kushoto wa mwili? Japo mtasema ni kwa sababu moyo eti umekaa upande wa kushoto au nguvu kubwa...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimekuwa nikisumbuliwa na vipele vidgo dogo kwenye Kuta za uke mda mrefu sana nmaeenda hospital nyingi nmepewa dawa nyingi natumia lakn hamna mabdiliko, anayefahamu dawa ya huu ugonjwa Ni...
3 Reactions
72 Replies
8K Views
Habari wakuu, nauliza je kuna tiba ya goita? Nimepima nimegundulika na goita upande wa kulia washingo kumevimba maana napata maumivu makalii mda wote nawakati wakula kulala. Sasa wakuu nimekuja...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom