Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Kwa wale wenye uhitaji na Habbat Soda au Black Seed Oil kwa lugha ya Kizungu wanaweza kuwasiliana nami kupitia ile namba yangu ile ile 0756419186 na yanaweza kukufikia popote ndani ya nchi hii...
2 Reactions
12 Replies
7K Views
Figo hufanya kazi ya kuchuja damu kwa kuondoa maji na uchafu. Aidha, hufanya kazi za kuweka uwiano sawa wa tindikali na alkali za damu, kutengeneza sukari kwenye nyakati ambazo mwili wa...
7 Reactions
7 Replies
2K Views
MAAJABU YA KARAFUU (SYZYGIUM AROMATICUM) KUTIBU MAGONJWA MBALIMBALI. Karafuu pamoja na Unga wa karafuu Karafuu ni tumba lililokauka la maua yasiyofunguka yanayopatikana kutoka...
2 Reactions
19 Replies
71K Views
Habari wakuu Kiuhalisia namshukuru Mungu sana kwa kunitoa kwenya kifungo cha kupiga punyeto kilichodumu miaka (2011 - 2021) Kiuhalisia safari ilikuwa nzuri hapo mwanzo na niliona ni hali ya...
7 Reactions
124 Replies
20K Views
Pengine umewahi kuwaza kwa nini baadhi ya wanawake wajawazito hupenda sana kula udongo, barafu, magodoro, nguo, sabuni, karatasi au vitu vingine visivyo chakula? Kitendo hiki kitaalamu huitwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani naombeni msaada kwa mtu kama alishapata tatizo kama langu napata maumivu ya ngozibkwnye mapumbu to inakua na maumivu bado sijapata dawa hapawashi ila maumivu kama kunawekundu kama kumeungua...
2 Reactions
13 Replies
542 Views
Habari wana jf, poleni na majukumu. Nimefikwa na jambo linalo nitatiza ikabidi niwakimbilie kupata msaada. Hivi karibuni nimepata mwanamke ambaye ameonesha upendo mkubwa na kunijali sana ila kuna...
1 Reactions
4 Replies
557 Views
Salaam. Walevi wenzangu mpo, Eeh bana eeh nimekuwa mara nyingi nikichanganya energy drink na konyagi, sasa nimeambiwa hiyo kitu ni hatari. Sasa nipeni kinywaji mbadala ambacho nitakuwa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari! Kuna jambo naomba kujua.Je,wanawake nao hawakutani na tatizo la nguvu za kike? Naomba kujua.
0 Reactions
4 Replies
523 Views
Salamu ziwe nanyi wakuu. Tuzungumzie mambo machache mawili Leo kiufupi sana. a) Nguvu za kiume na B) Mjomba kusimama. Na urefu wake (Perfect penile erection) A) NGUVU ZA KIUME Ni uwezo wa...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Natumai wote ni wazima Nilizaliwa upande mmoja wa sikio kwa juu nje kuko na kitobo Kama mtu aliyetobolewa kwa ndani ivi natumai mlishakutana na aina ya watu Kama hao wengine wanakua ni pande...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Dkt. Mohamed Ali aliyekuwa akisomea Udaktari Bingwa wa Upasuaji alizikwa katika makaburi ya umma huko Fort Portal jana Oktoba 2, 2022. Kwa mujibu wa Dkt, Alex Adaku, Mkurugenzi wa Fort Portal...
0 Reactions
0 Replies
898 Views
Sina maana mbaya saana. Bali ninataka tu kuwafunguwa macho kidogo wenzangu wa africa. Magonjwa yapo kweli duniani. Lakini sio kwamba kila ugonjwa unao semwa upo au hauna dawa mengine ni biashara...
2 Reactions
6 Replies
525 Views
MWANAUME anatakiwa kunywa uniti mbili za bia sawa na chupa mbili wakati mwanamke anapawa kunywa unit moja ambayo ni sawa na chupa moja ili kuepuka magonjwa yasiyo ambukiza ikiwemo Moyo. Hayo...
1 Reactions
4 Replies
643 Views
Machapisho mawili ambayo yote yanalenga ujumbe mmoja wa kushughulikia changamoto ya afya ya akili kazini ambayo ni muongozo mpya wa kimataifa wa WHO kuhusu afya ya akili na uwajibikaji kazini na...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kutembea ni njia salama na nzuri inayosaidia kuujenga na kuuimarisha moyo uwe na afya nzuri na usio katika hatari ya kushambuliwa na maradhi. Mazoezi au tabia ya kufanya mazoezi inayo faida kubwa...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Wataalam wa moyo wamesema magonjwa ya moyo yanazidi kuongezeka Nchini huku imani potofu zikiendelea kusambaa kuhusu tiba ya magonjwa hayo. Mkurugenzi wa Tiba katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya...
0 Reactions
0 Replies
581 Views
Ni hali ya kawaida au shida ni nini? Kuna muda moyo unakwenda kasi na mishipa inadunda naiskia hadi kwenye vidole. Pia na mishipa ya kichwani naiskia inadunda mara kwa mara pasipo maumivu yoyote...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Hi, naomba kuelimishwa je kuna madhara gani ya kulala kifudifudi ama kulalia tumbo. mimi huwa napenda sana kulala kifudifudi. Naenjoy sana kulala hvo na huwa napata usingizi mtamuuu! nilisikia...
1 Reactions
10 Replies
12K Views
Nina mpenzi wangu huwa mara nyingi ninaposex nae analalamika kwamba anaumia tumbo asa sijui kwasababu nampelekea moto harakaharaka yaan nakuwa na speed wakati na sex nae au ni mkao ninaomuwekaga...
2 Reactions
9 Replies
694 Views
Back
Top Bottom