Salaam JF!
Nashukuru nimepona UTI kufuatia uzi fulani wa DR. MZIZIMKAVU wakati fulani akatufundisha kutibu fangasi wa aina zote kwa kutwanga kitunguu saumu na kukiweka kwenye kijiko cha chai na...
Habari wanajukwaa,
Nakuja kwenu wanajamvi kuuliza kama ni sahihi mtu kulazimishwa kuchanjwa hasa hii chanjo ya korona. Nijuavyo mimi mtu anatakiwa aelimishwe kisha ahiari pasipo shuruti.
Lakini...
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema watu 25,000 walifariki kwa ugonjwa wa Saratani ndani ya mwaka 2020 pekee na kuufanya ugonjwa huo kuwa tishio zaidi ya Uviko-19 ilioua watu chini ya 1,000 hadi...
Human Papilloma Virus (HPV) ndicho kirusi ambacho inaaminika kinatajwa kuwa kinasababisha Saratani ya Kizazi, ambayo kwa asilimia kubwa inawaathiri wanawake.
Pamoja na hivyo wanaume na wanawake...
Ugonjwa wa Polio husababishwa na virusi vya Polio, ambavyo huenezwa kwa njia ya kula na kunywa maji yaliyochafuliwa na kinyesi chenye vimelea vya ugonjwa.
Ugonjwa huu unaweza kuwapata watu wa...
Nimeipata taarifa hii nikaona niwashirikishe WanaJF ambao wengi naamini hawajui.
"Wengi wetu tuna mazoea ya kunywa maji pindi tunapokuwa tunakula chakula. Lakini, Wataalamu wa Afya wanapinga...
Natumai wazima wadau. Naomba msaada wa mawazo kichwa cha mwanangu wa miezi 6 kimekaa vibaya kama hapo kwenye picha. Wapi naweza kupata msaada wa kuweka sawa au nini nifanye.
Habari wana wa Jamii Forums
Mimi nimekuwa nikitatizwa na jambo moja ambalo linaniumiza sana kichwa. Mara nyengine nawaza labda ni kawaida kila mwanaume linamtokea
Mimi kila ninapokula chakula na...
Una experience yoyote ya mgonjwa aliyeshawahi patwa na huo ugonjwa?
Nishasikia hadithi za kusikitisha na kukatisha tamaa jinsi wakunga wetu Bongo walivyo wazembe kuwasaidia kina mama wanaoshikwa...
Habari wakuu,
Naomba kujuzwa hivi watoa huduma za afya nchini Tanzania (doctors and nurses) walioajiriwa na wasioajriwa lakini wamesajiriwa na wana leseni za mabaraza yao (MCT & TNMC)
1. Je...
Kifua kikuu ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea vya bakteria na huenezwa kwa njia ya hewa. Mtu mwenye maambukizi ya kifua kikuu akikohoa, kupiga chafya au kutema mate ovyo husambaza vijidudu...
Wadau nimekutana na hii video mama huyu akiwa anaongea mengi ila mojawapo ni hili la kuhusu uvaaji wa pempasi kwa watoto.
Je hili ni janga au ni kukosa elimu sahihi kuhusu matumizi ya pempasi...
Habari za asubuhi, mimi nina tatizo la muda mrefu kama miaka mitatu tatizo nililonalo NI mdomo kuwa na ladha ya uchachu, viungo vya mwili kuuma, uchovu kupindukia, tumbo kuunguruma, nimekunywa...
Wizara ya Afya ya Uganda imethibitisha kuzuka kwa Ugonjwa wa Virusi vya Ebola (EVD) nchini humo baada ya kijana mwenye umri wa miaka 24 mkazi wa Kijiji cha Ngabano wilayani Mubende kufariki dunia...
Habari wana jf, juzi kuna uzi ulipostiwa kuhusu sindano ya anti d, ila maelezo yalikuwa tofauti na nilivyoambiwa na dr. Maana shemeji yenu inabidi apate sindano hii mwezi huu ikiwa ni uzao wetu wa...
Miaka hii hii na ijayo uzazi kwa vijana umepungua sana,vijana au hawapendi kuzaa au imekuwa tabu.manake hata akina dada nao hawapati watoto nini tabu?wanaume sasa hawana nguvu za kiume imekuwa...
Habarin wanajukwaa
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yapata mwezi mmoja na nusu uliopita nilipata ajali ya bodaboda na kuvunjika mguu wa kushoto mara mbili yani mfupa wa nyuma na mbele na...
Habari ndugu wana Jf
Mnamo wiki moja iliyopita nilihisi kupata GONORRHEA na kupata ushauri wa kitabibu na mwishowe nikapata dawa za AZUMA kutibu ugonjwa huo
Nimemeza dawa kwa siku sita sasa...
Habari zenu members wa Jf,
Kuna shida inatanitatiza kwa mtoto wangu wa kike mwenye umri wa miaka mitatu, ni kwamba amekuwa na kawaida ya kutokwa na maji meupe kama maziwa sehemu zake za siri kila...
Utofauti wa kinga ya mwili kati ya wanaoishi mjini na vijijini umewaibua wataalamu wa afya kuendesha utafiti ili kubaini chanzo cha tofauti hizo na kupima ufanisi wa chanjo katika maeneo hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.