Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Watafiti wameabainisha kuwa unywaji wa sharubati ya beet root unaimarisha afya ya moyo. Zao hili linastawi sana hapa Tanzania lakini si zao maarufu kwa walaji. FUATILIA HAPA Beetroot juice may...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Tanzania yatoa tahadhari dhidi ya ugonjwa wa ebola Wizara ya Afya nchini Tanzania imewashauri wananchi wake kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa ebola siku moja baada ya nchi jirani ya Uganda...
0 Reactions
0 Replies
671 Views
Habari zenu wakuu Nina mtoto mchanga ana miezi miwili ana mwezi sasa hapati haja kubwa, nasubiria afikishe miezi mitatu aweze kupimwa x-ray inabidi apigwe bomba mara kwa mara, mwanzoni alikuwa...
15 Reactions
79 Replies
6K Views
Serikali ya Tanzania imesema kuwa hakuna mgonjwa wa Ebola aliyeripotiwa nchini huku ikiwashauri wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa huo. Jana Uganda ilitangaza mlipuko huo baada ya watu...
0 Reactions
0 Replies
353 Views
Serikali ya Tanzania imeanza kuimarisha mifumo ya ufuatiliaji katika mipaka ya nchi na viwanja vya ndege kupitia mikakati sita ili kudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa Ebola uliotangazwa nchini Uganda...
0 Reactions
0 Replies
571 Views
Ulinzi umeimarishwa kati ya wasafiri wa ndani, wanaotoka na kuingia nchini Uganda ikiwa ni hatua za makusudi zilizochukuliwa na Serikali ya nchi hiyo katika kuzuia virusi vya ugonjwa wa Ebola...
0 Reactions
1 Replies
527 Views
Daktari Bingwa wa Upasuaji Ubongo kutoka Taasisi ya Mifupa MOI, Dkt. Laurent Mchome amesema kumekuwa na ongezeko kubwa la Wagonjwa wa Kiharusi nchini na wanaokutwa na tatizo hilo sana ni watu...
0 Reactions
1 Replies
702 Views
Unaelewa nini ukiambiwa umeze dawa kutwa mara tatu? Maduka mengi ya dawa pamoja na hospitali zetu hutumia lugha hii kimakosa pasipo kuwaelewesha vizuri wagonjwa. Kwa kiasi kikubwa, huwafanya...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Hivi mwanaume anaweza kumwambukiza mwanamke PID mpk mwanamke akaumwa hoi halafu mwanaume yeye akawa sawa tu ? Au mwanaume nae ana dalili zake kwny ugonjwa huo. Naomba kuwasilisha [emoji122]
2 Reactions
7 Replies
14K Views
Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI) imesema kila siku inapokea wagonjwa watatu wenye tatizo la kiharusi (stroke). Hayo yameelezwa leo Septemba 20 na Daktari Bingwa wa Upasuaji wa Ubongo, Laurent...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wajuzi wa Mambo Au Kina Mama Ambao Tayari Mmeshapitia Steji hii. Hivi ni Lazima Mjamzito Apime Virusi vya Ukimwi kila anaporipoti Kliniki.
3 Reactions
39 Replies
2K Views
Mwanamume mwenye Umri wa Miaka 24 amefariki katika mlipuko mpya wa ugonjwa wa Ebola uliothibitishwa na Maafisa wa Afya tangu Mwaka 2012, Uganda iliporekodi kisa cha mwisho Waziri wa Afya amesema...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Watu wa Mungu habari! Tangu mwaka 2008 nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu kati kati ya mgongo, nilihangaika sana kusaka tiba, ila mambo bado. Tangu mwaka Jana nikaanza kuhusi maumivu ya mgongo...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kutokana na ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza nchini, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Profesa Mohamed Janab ametoa angalizo kuwa licha ya kuharibu bajeti ya afya...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Maziwa ya ng’ombe ni mojawapo ya chakula kilicho na virutubisho vingi vinavyofaa kwa afya ya binadamu. Pamoja na ubora wake huu, aina hii ya maziwa huwa haifai kwa mtoto mwenye umri chini ya...
2 Reactions
0 Replies
5K Views
Wakuu habari ya wakati huu. Naombeni ushauri au anayejua tiba ya uume kusinyaa kabla ya tendo la ndoa. Limekuwa tatizo ambalo linanipa mawazo sana. Msaada tafadhali
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Naomba kujua kama kuna pregnancy au laa. Observation baada ya kupima ni; 1. Mstari wenye rangi nyekundu iliyokolea 2. Mstari wenye rangi iliyofifia (unaonekana kwa mbali)
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari za jumamosi ndugu zangu. Nimekuja hapa kuomba msaada wa ugonjwa huu wa ngozi. Uncle wangu ana hivi vipele mda sasa ila hakuwahi kusema miez miwili iliyopita alinionyesha..vipo kifuani...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Ni wazi kwamba sisi wanadamu tunapokula vyakula mbalimbali huwa tunapata virutubisho mbalimbali kama vile vitamini, protini, madini, nk kutoka katika vyakula hivyo. Je, hata wanyama nao...
1 Reactions
1 Replies
379 Views
Post-Exposure Prophylaxis au PEP ni njia inayotumika kumkinga mtu ili asipatwe na maambukizi mapya ya VVU baada ya kupitia mazingira hatarishi yanayoweza kumfanya aambukizwe. Ni njia inayohusisha...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom