Habari wakuu Baba yangu mzazi umri 62 huwa anatatizo la moyo. Sasa hivi karibu karibuni Amekua mapigo yake ya moyo yanashuka mpigo ya moyo yanakua chini wakuu hii Itakua inachangiwa na nini?
Sent...
Maisha ni fumbo na fumbo lenyewe Lina kuja pale unapougua na hujui utapona au ndo mazima.
Kuna magonjwa yanayoeleweka yanakupa hope kwamba ni suala la mda tu mambo yatakaa sawa. Ila Sasa kuna...
habarini wapendwa;
shemeji/wifi yenu alipata ujauzito lakini kwa ushauri wa madaktar wakatuambia tuitoe hiyo mimba maana mwez ulopita alifanyiwa operation kweny ovary hivyo kidonda hakijapona...
Ndugu, wanaJamiiForums nimatumaini yangu mu bukheri wa afya. Leo ningependa kuwashirikisha katika mjadala huu juu ya masuala mbalimbali ambayo yameshamiri kwa kiasi kikubwa kiasi kwamba hakuna...
A HEALTHY sex drive will leave you peaking in more ways than one.
A survey by the American Association Of Retired Persons reveals:
People who have a lot of nookie experience health benefits...
Habari zenu wanajamii
Ninauleta uzi huu nikitoa shukrani zangu za dhati kuishukuru forum hii kwani mwaka jana mwezi wa tano nilisumbuliwa sana na vipele kama rashes flani hivi
Nilitumia dawa...
---MFANO WA MASWALI YALIYOULIZWA---
Msaada wadau,
Mfano ukimeza dawa ya Malaria ile dozi ya siku moja, je naweza kutumia pombe baada ya muda gani?
Mimi nauliza, mfano umekunywa dawa za...
Habari za asbuh wakuu!
Nahitaji msaada wa hili suala, tatizo nivkwamba nikiwa naingia zangu mwezini period inakuwa ni nzito sana yaani inakuwa kama imeganda ganda halafu ni nyeusi mno.
KILA...
Habari wanajamvi,
Husika na mada tajwa mimi ni mkazi wa Mwanza, Wilaya ya Nyamagana.Nina shida ya huduma ya microneedling, yeyote mwenye kufahamu mahali naweza kuipata huduma hii kwa Mwanza...
Madini ya zinc huhitajika kwa kiasi kidogo mwilini lakini huwa na faida kubwa sana kwa afya.
Kwa mujibu wa National Institutes of Health, wanawake wenye umri wa miaka 19 na kuendelea huhitaji...
Amani kwako mdau.
Mara nyingi siri ya uponyaji ipo kwa Mwenyaazi Mungu mja wa rehema na huwapa wachache nuru ya kujua tiba kutokama na mimea.
Nimeona nisifaidike mwenyewe, huu ni mmea ambao...
Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 30 kwa sasa naishi iringa mjini, nimeondoka dar february baada ya kula sana msoto nikaamua ngoja niende sehemu ambayo hakuna anaenijua nipate utulivu wa akili...
WAZIRI wa afya Ummy Mwalimu ameeleza kati ya watu 100 Tanzania wanaoishi na virusi vya ukimwi 95 wanatumia dawa za kufubaza virusi (ARVs) huku watano kati yao wanaacha dawa hizo ,suala ambalo...
Wakuu, sheria inasema anayetoa au kutolewa mimba wote hao wanaweza kukabiliwa na kifungo cha mpaka miaka 7+ jela.
Mimi kwenye harakati za kupitapita nilipita sehemu isiyopitika, nikakutana na...
Wasalaam
Naomba niende moja kwa moja.
Nina tatizo linalonisumbua sasa zaidi ya mwaka.
Mzunguko wangu wa hedhi umekua na shida..kwanza niweke kumbukumbu kipindi cha nyuma nilishawahi kitumia...
Kitovu ni sehemu inayoonyesha muunganiko uliokuwepo kati ya Mama na mtoto ya kwamba mtoto alikuwa akimtegemea mama pindi akiwa tumboni. Sehemu ya kitovu ambayo uwa wazi pindi mtoto anapozaliwa...
Habari yenu ndugu zangu,
Maji ya kuchemsha na maji ya chupa yapi ni salama zaidi na yenye afya?
Je, ni sawa kuchemsha maji ya kunywa kwenye birika ya umeme tofauti na kawaida tulivyozoea...
Habari za asubuhi, mimi nina tatizo la muda mrefu kama miaka mitatu tatizo nililonalo NI mdomo kuwa na Radha ya uchachu, viungo vya mwili kuuma, uchovu kupindukia, tumbo kuunguruma, nimekunywa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.