Kwa uelewa wangu kiduchu wa biology ini huondoa sumu mwilini.
Je ulaji wa maini ya mfano ng'ombe utakua na madhara kwa binadamu? Maana nahisi huenda maini yakawa na mabakibaki ya sumu.
Naombeni...
Utashi ni kipawa cha binadamu kinachomfanya aweze kutaka mwenyewe chochote. Kitu hicho kinaweza kuwa chema na hata kibaya, ingawaakili yake mwenyewe inaona zaidi wema fulani uliomo na ambao...
Na Bernard Ntiyakama, BScN, TMCEHP, RN.
Mafunzo yanayomwandaa mtu kuwa Muuguzi humpa maarifa anayo yahitaji kutekeleza wajibu mbalimbali za kitaalamu ikiwemo kutoa Dawa.
Jukumu hili lanabakia...
Habari wanajamvi natumai mu na afya njema na wale ambao afya imelega kidogo poleni na ugua pole God atabless
Ndugu zanguni nilipiga Ct scan,, naomba kuuliza hiko nimezungushia kwenye picha ni...
Eti hivi kuna tofauti ipi kati ya vilainishi hivi, Ky Jelly na Kly jelly. Sina uzoefu navyo msaada jamani na ipi nzuri maana hata majina hayafanani, moja ni ky, nyingine kly
Naombeni msaada wa mawazo Nina matatizo ya mgongo ambayo Mimi mwenyewe sielewi kama ni matatizo Kweli! ya mgongo au ya moyo au ya mawazo.
Nafanya leo ninaweza kusikia matatizo ya moyo yaani...
Habari wadau, Mimi ni muathirika wa ugonjwa wa keratoconus. Huu ni ugonjwa wa macho unaosababishwa na kubadilika kwa umbo la mboni (corneal shape).
Ugonjwa huu umepeleka macho yangu kupoteza...
Habari za humu ndani wanajamiiforums! niende moja kwa moja kwenye point, Kila nikikutana na mwanamke baada ya kumaliza tendo hua napata maumivu makali kwenye uume.
Kwa anaefahamu suluhisho la...
Naombeni msaada wa mawazo Nina matatizo ya mgongo ambayo Mimi mwenyewe sielewi kama ni matatizo Kweli! ya mgongo au ya moyo au ya mawazo.
Nafanya leo ninaweza kusikia matatizo ya moyo yaani...
Habari zenu wakuu
Tuna mgonjwa wa moyo ametibiwa na kufanyiwa operation JKkikwete muhimbili but tatizo limetokea Tena la moyo kuwa na pumping rate ya chini mno, Madokta wametuambia apelekwe india...
Nina flue, napiga chafya, nahohoa, naahirisha mwili unauma na kuchoka pia sina hamu yakula ila sina home.
Je inaweza kuwa ni Codid? Nianza dose ya Azuma.
Naomba jukwaa linishauri
Ndugu zangu, naombeni msaada mchumba wangu anatatizo lakutoka vitu vyeupe kwenye uke wake, nikama mafuta ya mgando hivi.
Pia wakati mwingine hutoka mabonge ya damu yaliyoganda nakuwa kama ngozi...
Kuna mtu kaniambia kuwa UTI iliokomaa na ya kujirudia (haitabiki kirahisi) inaweza pelekea mwanamke kuto enjoy sex na kukosa hisia nzuri wakati wa penetration.
Je, ni kweli?
Habarini wana Jamiiforum!
Ningependa kufafanua moja kwa moja tatizo lenyewe!;
Nimekuwa na tatizo la kutohisi Chochote wakati wa kujamiiana!..hamu ya kufanya inakuwepo, uume inasimama vizuri...
Ndugu zangu naomba msaada
Mimi nina tatizo ambalo Lina ni sumbuwa Saana siku izi sijui Nini chanzo hasa
Yaani nafanya ni kila tumbo ina jaa saana chakula mpaka inafika kipindi naona kama vile...
Kuna vile vipele vyeupe ambavyo humtokea mtu aliye chelewa kufanyiwa tohara huwa vinakuwa vipo kwenye shingo ya kichwa cha uume ni vyeupe kama vina usaha ila ukivitumbua vinabaki vile vile...
HISTORIA: CHIMBUKO LA MONKEY POX - SEHEMU YA KWANZA
Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa monkey pox kwa mara ya kwanza viligundulika mnamo mwaka 1958 katika jiji la Copenhagen nchini Denmark baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.