Vijana naombeni msaada Mimi ni kijana
Nina umri wa miaka 23
Lakini cha ajabu nasumbuliwa Na matatizo ya mgongo pamoja Na Shingo
Nilikwenda hospitali walisema Sina tatizo lolote mgongoni
Yaani...
Habari,
Mara kwa mara nimekuwa nikitokwa na kipele kimoja au viwili kwenye ulimi ambavyo vinadumu kwa siku 3-7 kisha kutoweka vyenyewe, vinanipa maumivu sana kiasi hata cha kusindwa kuongea...
Miti inayo tuzunguka, ina nguvu nyingi sana za kiroho. Ukiwa na ufahamu juu ya nguvu za kiroho zinazopatikana ndani ya miti mbalimbali, basi maisha yako ya hapa duniani yatakuwa rahisi sana. Leo...
Wana wa Adam.Napenda niwape somo fupi kuhusu mtu kunya mavi magumu au ukosefu wa kupata choo.Kwa mwanamme yeyote anaepata choo kigumu au hapati choo japo anakula watu hawa huwa HAWANA NGUVU ZA...
Hi wana Jf,
Mimi nina mtoto mdogo mwenye umri w a miaka minne (4), amekuwa akilalamika mgongo unamuuma mara kwa mara, je linaweza kuwa ni tatizo gani? kwani navyojua mimi ugonjwa huo ni kwa watu...
msaada, nasumbuliwa na mgongo na sifanyi kazi ngumu.nafuu yake niekewe kitu kizito cha kilo zaidi ya 50 niwekewe mgongoni ndio najisikia nafuu au MTU anikanyage kwa miguu. Mwenye uzito wa kutosha...
Heshima yenu wote. Kuna kitu kinaumiza sana na mwisho wa siku tunaona kama Serikali ya Tanzania haiko Serious kuhudumia wananchi wake tena zaidi sana wafanyakazi wake wanatumia NHIF
Jana nilienda...
Habari za muda huu? Nina mdogo wangu anatarajia kujifungua mwezi huu sasa tulifikiria kumpeleka hospital ya kwa Aman tupo dodoma, naombeni kwa anayefahamu huduma za pale za uzazi au aliyewahi...
Anesthesiologist ni daktari bingwa anayetoa huduma ya kufanya mgonjwa asikia maumizo wakati anatibiwa, hasa wakati wa operation. Kwa marekani ni lazima awe na digrii ya MD au DO. Kuna mambo mengi...
Mara ya kwanza nilichanganyikiwa kabisa baada ya nguvu zangu za kiume kutoweka ghafla, yaani Uume wangu ulikuwa unasinyaa hata ukiwa ndani ya K, na nilipata tabu sana kusimamisha.
Kumbe mchawi...
Nimekuwa na shida ya macho yenye uoni hafifu kwa miaka kama mitatu sasa siwezi kuona maandishi madogo hata nikitumia lenzi yeyote ya miwani nilienda CCBRT waliniandikia dawa nyingi lakini...
Taarifa za mwaka 2021 kutoka kanzi data ya wagonjwa iliopo Taasisi ya Saratani ya Ocean Road inaonesha kuwa Saratani zinazoathiri wanaume zaidi ni:
Saratani ya tezi dume“Prostate cancer” (21%)...
Wakuu siku kama saba 7+ zilipita nilishiriki tendo na Dada mmoja kwa kutumia kodomu lakini baada ya siku mbili niliona Pumbu linauma hasa lile la kulia lilikuwa likivimba sana na kuuma kila...
Habarini wajomba,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ninaomba kupata elimu kuhusu cancer iliyosambaa kutoka kwenye ziwa/titi kwenda kwenye ubongo na hayo maeneo mengine niliyoyataja.
Kwa...
SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI.(CERVICAL CANCER)
Saratani ya shingo ya kizazi ni saratani inayoanzia kwenye sehemu ya mwisho ya nyumba ya uzazi (cervix), pale sehemu hiyo inapoungana na sehemu ya...
Wanajamii,
Ninaomba yeyote mwenye uelewa mpana wa huu ugonjwa wa kansa aje atupe mautaalamu hapa, kama vile nini chanzo, dalili zake, matibabu yake, hatua za huu ugonjwa, kinga yake, dawa na kila...
10 warning signs of cancer
By Dr Nor Ashikin Mokhtar
FOR some women, cancer comes hand-in-hand with another syndrome: denial. They may not want to face the reality that they have cancer, or...
Kama umekuwa ukisikia kuhusu ugonjwa wa kansa au saratani na ukawa unajiuliza ni nini ugonjwa huu wa kansa, pitia ukurasa huu ambamo tutatazama maana ya ugonjwa huu, chanzo chake, madhara...
Habari wana jamiiforum,
kwanza kabisa namshukuru mungu kwa kunipa afya njema hadi muda huu, natumai na ninyi ni wazima, kama ni mgonjwa mungu akupe nafuu uweze kupona.
nimeamua kuchukua nafasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.