Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Yaani nasemea kwa hawa wauza sumu ya panya huku mtaani /stendi kwenye matangazo ya biashaya yao utakuta anatangaza dawa ya muwasho maupele fangasi na sumu ya panya. Je!kwa hizi dawa za muwasho...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba ushauri kuhusu tiba za ugonjwa huu na kama mtu anamfahamu aliyewahi kupona kwa njia yoyote ile anipe ushauri tafadhali.
2 Reactions
4 Replies
857 Views
Habari hapa Wandugu! Kuna kauli ipo ya kwamba ukiachana na lile goli la kwanza la mbegu za kiume haya mengine yanayofuata hayawezi sababisha kupata ujauzito kwa Mwanamke. Je, ni Sahihi? Na...
2 Reactions
9 Replies
23K Views
Watalamu hii milio ya tumboni uwa ni dalili za nini? Maana inakuwa kama kuna kitu kinatoa sauti vile
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hivi wadau ni sawa kwa mwanamke mwenye mimba ya mwezi mmoja kuanza uvivu na kuumwa umwa!! Naona mwanamke wangu ananiletea vipengele sana yaani tangu tujue ana mimba basi kazi zote za ndani ndio...
11 Reactions
155 Replies
15K Views
Frech kiss ama unaweza kuita kupiga mate baina ya wapenzi kwa sekunde 10 huweza kupelekea mbadilishano wa bacteria mbali mbali zaidi ya million 80. Baadhi ya madhara yake NI pamoja na...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Wakuu jino linaniuma na fizi zimevimba upande mmoja shida inaweza ikawa ni nini?? Naogopa isije ikaleta shida
0 Reactions
6 Replies
12K Views
Wakuu Habari…. Nimekua na tatizo linalonisumbua kwa mda mrefu, nakua na hali ya kuwa na wasiwasi na kuogopa, inawezekana hata mtu akifungua mlango wa chumbani basi najikuta mapigo ya moyo...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Habarin wakuu, Hivi hizi rapid test huwa zinaweza onesha majibu sahihi baada ya mda gani after exposure.
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Mdogo wangu alikua anawasha moto wa mkaa cheche za mkaa zimerukia kwenye mboni ya jicho sasa kamejitokeza kadoti keupe kenye ukubwa kama nukta(.) Anasema anasikia maumivu kwa mbali. Kwa taarifa...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Asali ni tiba karibu kwa kila ugonjwa, matumizi ya asali kama tiba kwa magonjwa mbalimbali ni kitu ambacho kinafahamika kwa karne nyingi zilizopita duniani kote. Vitabu vingi vya zamani...
4 Reactions
3 Replies
7K Views
Kinga ya Maambukizi ya VVU ijulikanayo kitaalamu kama “HIV Post Exposure Prophylaxis” (PEP), ni kinga ambayo hutolewa mapema kwa kusudio la kuzuia hatari ya Maambukizi ya VVU. Kinga hii...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari za jumapili wakuu, Nilifanya mapenzi na mpenz wangu trh 24/11/2016 baadae akasema ana mimba, akailea na amejifungua leo trh 30/07/2017, lakini kwa hesabu zangu miezi 9 bado haijatimia, pia...
2 Reactions
195 Replies
17K Views
Nimefanya mapenzi na mwanamke wangu katika siku za hatari, baada ya siku kadhaa hivi anaonesha dalili fulan hivi ambazo sielewi kama ndiyo tayari kashanasa au vipi. Analalamika maumivu ya tumbo...
0 Reactions
42 Replies
13K Views
Kuna ugonjwa wa chemba moyo, ndugu yangu ameugua huo ugonjwa tiba yake ni ya asili. Hivi huu ugonjwa wa chemba moyo na nchi za ulaya upo kwel?
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana JF. naomba kujuzwa katika hili Nilipata likizo na nikaona niende kwa kaka angu Na kufika mambo yalikua safi. Lakini hapo nilipo fikia kwa kaka angu ana jirani ake Na jirani ana watoto...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Habari, Naomba msaada Nimetoa uchafu kwenye sikio siku nne zilizopita. Nahisi nimetoa uchafu kupita kiasi sasa sikio langu hadi leo halisikii vizuri linanipa shida sana.
0 Reactions
8 Replies
905 Views
Habari zenu wanajamvi, naandika haya nikiwa nahofu kutokana na hali ninayohisi; nahisi mwili kupungua mwilini, nahisi baridi tofauti na awali bila mabadiliko ya hali ya hewa. Nilishawahi kuleta...
4 Reactions
36 Replies
3K Views
Kichwa cha habari.. kinajieleza. Naomba msaada wa kitabibu. Nilipata amiba kama mwezi sasa.. nikanywa dawa... nikapona.. lakini sasa... napata choo chenye damu mbichi na iliyo ganda. Ingawa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Eti wadau kuna TOFAUTI GANI KATI ya DAWA za HIV Kati ya PEP na ARV?
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom