Njia 16 za kuondoa sumu mbalimbali mwilini
Mwili unaweza kupatwa na sumu au takataka zisizohitajika na mwili kwa namna mbili, ama kupitia mazingira tunayoishi (viwanda, migodi nk) au kupitia...
Habari za muda wakuu.
Nimesikia mitafaruku kadhaa mtaani inayotokana na wanandoa kupata watoto wa jinsia moja. Pia, nimesikia mara nyingi sana watu wakizungumzia ni mtoto/watoto wa jinsia gani...
Habari waungwana,
Nasumbuliwa na vidonda vibich kwenye ngozi ya pumbu huwa vnatokea na kupotea vyenyewe baada ya mwez vnatokea tena kama lengelenge vile lililopasuka nahc n ugonjwa wa znaa msaad...
Faida ya Mafuta Ya Zaituni Olive Oil kwenye nywele.
1. Yanasaidia kufanya mzunguko wa damu kufanya kazi vizuri kwenye ngozi ya kichwa na kupenyeza hadi kwenye shina ya nywele kisha kuifanya...
Wakuu Heshima kwenu,
Naomba msaada wa kuelekezwa ama kufahamishwa ni wapi naweza kupata Dakrari bingwa wa macho Mkoani Mwanza.
Nina mwanangu wa kiume umri wa miaka 5 anasumbuliwa na macho kuliko...
Wanangu wameugua mapunye (vibarango) na nimetumia dawa nyingi bado naona hawaponi. Nitumie dawa gani ambayo haishindwi?
SAME CASES:
Wakuu kwa wale wataalamu naomba endapo kuna dawa kiboko ya...
Kila binadamu ana kile alichojaaliwa na Mungu. Siku zote anachoamua mmoja kula huenda kikawa sumu kwa mwingine.
Chakula anachokula mtu kinaenda sanjari na hali ya kiafya. Wengine huumwa hadi...
Kuna upepo wa Mafua na kikohozi unasumbua sana kuanzia January, February na sasa March! Familia nzima wanakohoa, kuanzia watoto wadogo, wanafunzi na hata wakubwa!
Mara nyingi navyojua kikohozi...
Habari wana JF mwanangu yamemtoka mapele ya ajabu,
Wife amempeleka hospital Jmosi na anatumia dawa Ila bado vinamtoka
Naombeni msaada wenu Kwa anaeujua huu ugonjwa vizuri.
Wengine wanasema ni...
Wakuu wa jamvi,
Naomba kwa wenye uelewa wa kutosha juu ya aina nzuri ya mashine za kupima sukari anijuze. Nimeshanunua mara kadhaa aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na One Touch (Select Simple) na...
Habari za muda huu wakuu..
Bila kupoteza muda naomba twende kwenye mada, jina langu naitwa Juma Sangoma umri wangu miaka 30. Kuna tatizo moja linanisumbua sana, Kila nikishiriki mapenzi na mwenza...
Habari WAkuu bila shaka muko salama
Moja kwa Moja kwenye mada kuna Ndugu yangu wa Karibu sana jana jioni wakati wa Mazungumzo alinishirika jambo lake akasema hivi "siku za Karibuni nimekuwa...
Habari wataalamu, naomba niende moja kwa moja kwenye swali langu.
Mwanzoni mwa mwezi wa saba wife akiwa na ujauzito wa miezi mitatu alianza kutoka damu ghafla na hatimae mimba ikatoka na wakampa...
Hedhi/ bleed ni jambo ambalo si geni kwa jinsia ke.
Ninaomba msaada kwa anaejua hili. Mpenzi wangu ameingia hedhi mara mbili ndani ya mwezi mmoja tena kwa kipindi kifupi sana jambo ambalo si la...
Ndiyo, kauli nzuri ya muuguzi huanza kutoa nafuu kwa mgonjwa. Nafuu ya kisaikolojia, humafanya mgonjwa ajihisi yupo sehemu sahihi na salama kuweza kutatuliwa shida yake ya kiafya.
Kumkaribisha...
Habari za muda huu wakuu!
Lengo la uzi huu ni kuomba ushauri kwa wadau humu juu ya suala la mtoto ambaye yupo kwenye familia yetu, ni binti wa mwaka mmoja na miezi nane ana tatizo la kutokwa na...
Habari wakuu. Nina MTOTO umri awake ni miaka 2 na miez 6. Ameacha kunyonya miez 9 iliyopita. Tangu aache kunyonya amekuwa akisumbua kula chakula. .nimempima minyoo na Kufanya Ultra Sound. ...
Rafiki yangu amelazwa kwenye hospital kubwa kuliko hapa nchini. kabla ya kulazwa alianzia hospital ya mkoani wenyewe wanaziita za rufaa baadae akapewa rufaa kuja hospital moja yenye jina kubwa...
Wakuu salamu.
Naomba kufahamishwa utofauti wa hivi virutubisho
Kati ya xpower coffee na xpower capsule kipi ni kizuri zaidi ya mwenzake na kipi mtu unaweza kukitumia pekee yake.
Naomba kujulishwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.