Habari wanajamvi?
Mke wangu amekuwa anasumbuliwa sana na kuwashwa sehem zake za siri, na kuna kipindi ilifikia akawa anatoa uchafu mweupe una harufu mbaya. Baada ya kufatilia ikaonekana ni...
Naomba msaada nahitaji dawa ya MESTEROLONE 25mg au proviron , mwenye kujua duka ninaloweza kupata au pharmacy ninayoweza kupat au km yy anaweza kufanya niipata tuwasiliane au anuelekez maan...
Wanawake wameshauriwa kuacha mara moja kuweka dawa za kuongeza hamu ya ngono ambazo hazijapimwa na wataalamu katika sehemu zao za siri, kwa kuwa wako katika hatari kubwa ya kupata saratani ya...
Wananchi wanashauriwa kufanya vipimo vya magonjwa ya figo angalau mara moja kwa mwaka, ili kupunguza hatari ya utambuzi wa magonjwa hayo katika hatua za hatari.
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Figo...
Salaam Wana jukwaa,
Sikio langu la kushoto zaidi ya wiki Sasa linakua Kama linapiga kengele,utadhani nimewekewa wale wadudu wanaitwa nyenze(wale ambao zamani utotoni tulikua tunawakamata na...
Mtoto amekuwa akipata tatizo la kutoka damu puani mara kwa mara.
Kumekuwa na maoni tofauti wengine wakisema ni hali tu ya kawaida.
Ninachotaka kufahamu kutoka kwa Daktari au Wataalamu ni hatua...
Wiki moja na nusu nyuma niliumwa na nnge nikamuona kabisa nikamuua nikaendelea na mishe zangu Mimi ni fundi ujenzi ndo kazi yangu si unajua tena ukiwa kitu kinakupata mara kwa Mara huwa huna wasi...
Upandikizaji wa uroto ni tiba ngeni katika nchi zetu za ukanda au bara la Afrika na kwasasa unapatikana nchini kwetu.
Uroto ni nini?
Uroto ni tishu zinazo patikana katika mifupa mirefu kwenye...
Habari za jioni ndugu zangu,
Naomba kwa mwenye ufahamu juu ya upasuaji wa hernia ya kifua anisaidie.
Pia hospital ya uhakika wanayoweza kufanya huo upasuaji
Should You Hold in Your Farts?
Medically reviewed by Cynthia Taylor Chavoustie, MPAS, PA-C — Written by Erica Cirino on May 20, 2020
Is it bad or healthy?
Side effects of holding it in...
Hope mko salama
Nina mpenzi wangu yaani ni kati ya wale wanawake wenye damu baridi yaani hana joto kabisa wa baridii.
Kwa hiyo hata tukiwa kwa bed no ladha kabisaaa sema namsifiaga tuu ila...
Wadau mimi ni mtumiaji sana wa Azam Energy drink ile ndogo ya 600. Kwa siku nakunywa ata 3 kuendelea..na nikiwa nafanya kazi nikinywa huwa najiskia fresh sana na uchovu unakata nasikia ina madhara...
Nilipata ajali miaka 4 iliyopita ya mguu sehemu ya goti ilipelekea ni fanyiwe upasuaji mkubwa maana na kumbuka nilipigwa nusu kaputi kwenye mida ya saa 1 asubuhi Ila kuja kuzinduka ulikuwa saa...
Habari ndugu zangu, toka mwaka Jana nimekuwa nakabiliwa na tatizo la oxygen kuwa chini (circulating) kila nikienda hospitali nikipimwa iko 82 mpk naogopa Yani,nilikua naishi mkoa wa joto mwaka...
Benefits of Drinking Camel Milk
Camel milk is extremely nutritious and absolutely safe for consumption. It is believed that people who drink camel milk on a regular basis are less prone to...
Ikiwa mume anayo hiyo homa, anaweza kushiriki tendo la ndoa na asimuambukize mkewe? Pia kuhusu uzazi, anaweza kumpa mkewe mimba na mtoto kuzaliwa salama bila kurithi ugonjwa?
Dawa gani inaweza kusaidia kupunguza mivumo ya sauti sikioni na kuongeza usikivu?
NB: nina tatizo la usikivu almost mwaka wa tatu hali inazidi kuwa mbaya sana.
Historia inatuonesha kuwa ugonjwa wa UKIMWI uliingia katika nchi yetu mnamo mwishoni mwa miaka ya themanini na kushamiri mwanzoni mwa miaka ya tisini. Kipindi hicho ugonjwa huo ulikua ni hatari...
Ndugu habari,
Ni mwaka wa pili sasa ninahangaika kutibu korodani bila ya mafanikio. Zimekuwa zikiuma ile staili ya siku za baridi au kama umesimamisha dudu halafu hukuipa haki yake(kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.