Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Anae faham matibabu ya Syphilis anijulishe kama kuna additional drugs maana mimi nimeisha tumia Benzathine penicillin kuwatibu wagonjwa hasa hawa wa ANC imedunda, na wateja wengi unawachoma hiyo...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wakuu natumai mu wazima Dhumuni la posta ni kwamba Napata wasiwasi sana kutokana na changamoto ninayopitia Iko hv, kuna kitu kinaitwa ( POSTAL NASAL DRIP) hii ni ile hali ambapo unahisi...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Habarini wanajf, nina mtoto ana miezi 7, lakini ukuaji wa kitovu chake unanichanganya, alivyozaliwa alikuwa na kitovu kidogo lakini kadri anavyokuwa naona kinaongezeka hususani akiwa anajikamua...
0 Reactions
30 Replies
17K Views
Stori kuhusu chumvi: Tunapata chumvi nyingi kwenye vyakula vyetu siku hizi. Chumvi nyingi itasababisha shinikizo la damu, uvimbe, matatizo kwenye kibofu cha mkojo, matatizo ya moyo na orodha...
4 Reactions
15 Replies
22K Views
Zifuatazo ni njia 4 za kugundua kama mtoto ni wako ua kwa wanawake kugundua baba sahihi wa mtoto 1. SIKU YA KUPATA UJAUZITO Hi Mara nyingi huangaliwa kwanzia siku ya kwanza ya mzunguko wako wa...
1 Reactions
37 Replies
24K Views
Za jioni wakuu! Kama kichwa cha habari kinavyosema naomba msaada kwa anayejua gharama na sehemu gani wanatoa hiyo huduma! Pia mawasiliano kama unayo ya huko wanakotoa hiyo huduma ! Natanguliza...
0 Reactions
86 Replies
31K Views
Wakuu habari za asubuhi? Ni muda wa miaka miwili sasa nimekuwa nikisumbuliwa na huu ugonjwa wa ngozi ujulikanao kitaalamu kama dermatiris au eczema. Nishaenda hospital zaidi ya mara tano na...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nikiamka na kuanza kutembea au nikikaa muda mrefu na kuamka husikia milio katika mifupa yangu. Ni miguuni ama mikononi au hata shingoni. Ni tiba ipi inatibu au kurudisha ulaini?
1 Reactions
12 Replies
2K Views
wataalamu nisaidieni,tatizo la kupata kivimbe(kama kijipu)sehemu ya Siri ya hajakubwa inasababishwa na nini na je ni bawasili?nini tiba yake?
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Ukuaji wa haraka wa Miji na mabadiliko ya mitindo ya maisha kumesababisha mabadiliko katika Mifumo ya Lishe, na kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) watu wengi sasa hawali Mbogamboga na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Miaka ya hivi karibuni kumeibuka kwa wimbi kubwa sana la vijana na watoto kuandamwa na matatizi ya maumivu ya migongo na uti wa mgongo, ingawa maradhi haya yanatibika ila imekuwa tofauti kidogo...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari za Mchana wana JF, Kama ambavyo Title inajieleza, nina tatizo la kupatwa na maumivu kwenye maungio ya vidole na miguu nyakati za baridi kali. Ninaomba kufahamu hilo ni tatizo gani na pia...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari jukwaa la afya natumai mpo salama ndugu zanguni, Naomba kufahamishwa hii kitu, Jana bibie nikimaanisha Shemeji/wifi yenu kanipigia simu kanieleza anatatizo, anapata choo kikiwa na damu...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Jamani haya matangazo yamekuwa mengi sana kwenye mitandao. Dawa za kuongeza urefu na unene mpini. Kama huelewi kwa kiswahili tashdidu tunaita uume. 1. Je ni kweli zinafanya kazi? 2. Mabadiliko...
4 Reactions
14 Replies
10K Views
Members wenzangu wa Jf naomba kujuzwa juu ya tatizo la mkojo kutoa harufu kali ( FOUL SMELL) wakati wa tendo la kukojoa. Na je athari yake nini kiafya na kufahamishwa juu ya hoja niliyoitaja hapo...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Asalaam Aleikum Ndugu Zangu. Matumaini Yangu Mtakuwa Mnaendelea Vizuri Na Majukumu Ya Kujenga Taifa. Kwa Ufupi Nimeambatanisha Dawa Inayoitwa EDGE Ambayo Kwa Mujibu Inasaidia Kurudisha Ute Ute...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini za jioni wana JF. Samahanini kwa Usumbufu ila yanipasa kulifahamu ili hakuna namna. Mke wangu wa ndoa ni MAMA KIJACHO wa miezi 8, nina miezi sasa hatufanyi tendo kwa sababu amekuwa...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari za jioni ndugu zangu wapendwa wa mtandao huu wa JF kupitia Jukwaa hili mahsusi la Jamii Health. Naamini tuko hapa kwa ajili ya kuelimishana na kuongeza ufahamu wa mambo mbalimbali kwenye...
1 Reactions
6 Replies
6K Views
Habarini za asubuh wakuu, Mimi ni muhanga wa kupiga nyeto maana kama mnavojua kuna muda mpenzi anakuwa mbali inabidi tujihudumie maana kwenda kuokota mali za barabarani sijazoe. Sasa kinachonipa...
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Hbr za usku wakuu Msaada unahitajika kwa anaye fahamu dawa za kurudisha kumbukumbu kwa mtu mzima ambaye amepoteza kumbukumb.mam wetu kapoteza kumbukumbu na kusahausahu kila Mara au kuongea vitu...
2 Reactions
10 Replies
867 Views
Back
Top Bottom