Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Wadau! Hebu tujuzane sababu zinazopelekea changamoto kwa mwanamke kubeba mimba. Mara unasikia hormonal imbalance, mara cyst..... Kwanini yote haya??
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Watu wengi mmekuwa mkiibiwa sana kwa kuongopewa kuwa tatizo la nguvu za kiume linamalizwa na madawa kwa wiki moja or siku tatu, watu wamekuwa wakitapeliwa sana pesa zao leo acha niwafungue akili...
5 Reactions
17 Replies
4K Views
Kumekuwepo kilio na maswali mengi ya wadau mbalimbali wakitaka kujua masuala kadhaa kuhusu ugonjwa wa kisukari; tumetengeneza mnakasha huu ili kurahisisha majibu (si yote) kwa wenye uhitaji wa...
2 Reactions
1K Replies
414K Views
Salamu wakuu. Ni matuamini yangu mumeingia salama katika huu mwaka mpya wa 2022. Kwa wale ambao hamjaingia mkiwa salama kama mimi, yote ni kheri, kikubwa tunapumua. Kichwa cha uzi kinajieleza...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari Wana JF nilikuwa naomba kujuzwa ni mda gan mtu anaweza ona dalili za ukimwi soon after exposure...na dalili hizo ni zpi Nb: Dalili za awali kabisa
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Kulinda afya ya macho ni muhimu kwa ustawi wa jumla. Hapa kuna baadhi ya mambo unayoweza kufanya: Linda Macho Yako na Jua: Tumia miwani ya jua inayolinda dhidi ya miale hatari ya jua (UV rays)...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
JF DOCTORS: wakuu nini tiba ya ugonjwa huu! Uume unatoa usaha wenyewe tu unatiririka! Uume kuuma na kuwasha kwa ndani: ni ugonjwa gani na nini tiba yake
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Wakubwa naombeni kujua Muongozo wa kupima DNA ya mtoto. Mtoto huyu kwa tabia ya kuudhi ya mama mtu tumekuwa tukimuhudumia wa baba wawili. Baada ya kujulikana ukweli naona anakimbilia kuliko...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Mtoto wa miaka 7 anajinyofoa nywele, je inatokana na nini?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Fenesi ni tunda maarufu Sana huku tanga hususani muheza watu upenda kunywa uji na fenesi vinaendana Sana Yani Kama chai na chapati tu.
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Naomba kujua dalili za mtu alipungukiwa sukari mwilini kabisa. Asanteni
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari, naomba leo tubadilishane mawazo ya kujenga juu ya hii kitu huenda tukapata source of research. Nina swali juu ya KUHARIBIKA kwa MIMBA saaana swali langu limejikita katika Aina moja tuu ya...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wadau nimekuwa napata shida sana kwenye kidole cha mwisho mguu wa kushoto kidole uwa kinatengeneza usugu nikivaa viatu muda mwingi nini suluhisho ya hii kitu
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Jambo ndugu zangu naomba kuuliza Hivi sababu ya kupoteza uzito ghafla ni tatizo au? Maana siku hizi nilikuwa na sumbuliwa na homa kali, tatizo la mmengenyo wa chakula na mgongo kuuma saana Sasa...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, Upande wa kushoto Kuanzia juu ya ziwa Kuna wakati napata maumivu yanaenda hadi mgongoni na wakati mwingine hadi mkononi Na akiwa na hasira ndo yanazidi. Nilijaribu kwenda...
3 Reactions
39 Replies
6K Views
Kwa muda wa mwaka sasa nimepimwa na kukutwa na hili tatizo katika figo ya kushoto( Kidney cyst 2.9cm x2.5cm ).Wakati mwingine huwa nasikia maumivu upande wa kushoto. Madaktari wanasema haina...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu, Kichwa cha habari kinajieleza,nimekuwa na maumivu kwa muda mrefu ya mbavu upande wa kushoto,juzi nilikwenda hospitali kupima,walinipiga ultrasound na dokta aligundua kuwa kwenye figo yangu...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Kumekuwa na propaganda nyingi sana kuhusu upungufu wa Nguvu za kiume na tiba zake na kumekuwa na tafsiri nyingi sana za watu juu ya upungufu wa nguvu za kiume. Wapo wanaoona kwamba kukojoa mapema...
21 Reactions
97 Replies
21K Views
Msaada wa kimawazo tu(sio pesa) Ikiwemo kuwachkulia hatua za kisheria Maana wamedhuru mwili,ni uhalifu.
0 Reactions
3 Replies
733 Views
Heshima kwenu wadau wa jukwaa. Ndugu yangu ana ugonjwa inasemekana wa neva. Ni kampun gan bora kwa bima ili kukabiliana na tiba bora nchini? Maana hii kupimwa pimwa tu bila tiba inatupiga sana...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom