Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Wana jamvi nadhani mtanichoka ila muendelezo wa maswali nayouliza yanamaana kwangu. Nadhani jinsi nitavyojibiwa na wataalamu mbalimbali humu hivi kuchelewa kutembea kwa mtoto kunatokana na...
2 Reactions
26 Replies
6K Views
Wadau samahan, naomba kujua ni taratibu zipi natakiwa kuzifuata. Nataka kuanzisha Dispensary/Zahanati Binafsi.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nilkua na uti kali.. nmetumia dawa takribani mwezi hazikufua dafu. Leo baada ya kwenda hosptali nikashauriwa nipigwe sindano kwa dozi ya siku 5.. Sindano ndo leo nmechomwa moja naona dalili...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Habari wanabodi. Nina hali flani ya kushtuka ninapopata taarifa ngeni, mwili unakosa nguvu, naharisha pia napata kichefchef hadi kutapika. Badavya kuchek vipimo vingi nikaonekana niko sawa hivyo...
0 Reactions
7 Replies
903 Views
Wakuu salam, ukitizama ongezeko la magonjwa kwa binadam, wanyama na mimea lazima utajiuliza kama hawa bacteria/virus walikuwepo toka zamani au lah, pia utajiuliza kama walikuwepo toka zamani why...
1 Reactions
10 Replies
547 Views
Kuna aina ya dawa nataka kujua tofauti yake kwa wale wahusika ktk afya zetu nijuze tafathali, PREDILONE nitofauti na PREDNISOLONE au nikitukimoja
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Habar wakuu nauliza hivi mtu mwenye virus vya ukimwi yaan anamaambukizi tayar na tayar yupo katika dose ama hivi karibuni ama mda mrefu je akipima Tena virus kipimo kitaonyeshaje kuwa no negative...
1 Reactions
36 Replies
9K Views
Ugumba ni hali ya wapenzi au mke na mume kutopata mtoto. Ugumba unaweza kua primary infertility yaani mtu hajawahi kubeba mimba kabisa tangu azaliwe au secondary infertility yaani mtu ambaye...
4 Reactions
3 Replies
3K Views
Mafuta ya Zaituni Olive Oil Mafuta ya zaituni yana manufaa mengi katika mwili na maisha ya binadamu kwa ujumla kama ifuatavyo; (1)Mafuta ya zaituni hutibu maumivu ya tumbo...
14 Reactions
46 Replies
186K Views
Sukari tunayoihitaji mwilini tunaipata katika vyakula tunavyokula. Chapati, majimbi, viazi, mkate vyote hivi vinatupa sukari. Unaweza kabisa kunywa chai bila sukari. Wana historia wanasema...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Hbr ya x mass & mwaka mpya Direct kwenye topiki,saa 9 usku wa leo Nmestuka kutokana na kibaridi kati ya mapaja yangu ile kujigusa gusa Naona nmejikojolea mkojo Wa kawaida tuu alafu mwingi...
2 Reactions
16 Replies
868 Views
Msaada, Mke wa rafiki yangu anataka kuwa mweupe wa wastani, atumie kipodozi gani au mmea gani usiokuwa na kemikal ili awe mweupe? Asanteni.
0 Reactions
28 Replies
32K Views
Habarini wandugu,, mim ni kijana wa kiume, tangu jana naona njia ya mkojo inaniuma na kuna wakati inatoa maji maji ya usaha nashindwa kujua nini tatizo, maana napata maumivu wakati wa kukojoa...
1 Reactions
87 Replies
47K Views
Habari za Majukumu wakuu na wahudumu wa afya.Naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kuna Mwanamke ametumia clozole -B cream kama urembo usoni kinyume na matumizi yake na imepelekea uso...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari Wakuu, Natanguliza Shukrani Mimi Ni Me Umri Miaka 33 Ni Miaka 6 Naishi Na Hili Tatizo Ila Kwa Sasa Mambo Yamenizidia *Mwili Wangu Una Maumivu Makali Ya Ndani Kwa Ndani Hasa,Mabega...
12 Reactions
109 Replies
10K Views
Habari wapendwa poleni na maandaliz ya sikukuu! Nina mtoto mwenye umri wa miezi 4 anasumbuliwa na vipele vidogo vinavyotunga usaha kadri sku zinaend vinakuw vikubw kiasi, aliyepitia changamoto hii...
2 Reactions
23 Replies
6K Views
Jambo ndugu zangu Mimi kuna tatizo siku hizi linanisumbua sana. Yaani siku hizi nafanya nikila chakula kidogo hata tonge moja la ugali nahisi chakula kinakwama hapa kwenye tumbo la juu kabla ya...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba elimu juu ya hili tatizo linalonisumbua.Nilishauriwa niwe natumia mito miwili ya kulalia kutokana na tatizo la Acid Reflux.Baada ya mwezi likanianza tatizo la maumivu makali ya shingo na...
0 Reactions
2 Replies
16K Views
Sijawahi pata kajibu kazuri kuhusu hili swali. Naombeni msaada.
1 Reactions
45 Replies
7K Views
Back
Top Bottom