Hedhi anakaa siku 3 hadi 4,
Mara nyingi kwenye siku anaingia kati ya tarehe 26, 27 na 28 kila mwezi.
Je, kwenye mzunguko huu hapana tatizo?,
je mzunguko huu ni wa siku ngapi?
Je, kwenye...
Kuna jamaa yangu kipara kinamnyemelea kichwani, anauliza dawa gani anaweza kutumia ili nywele ziote na kuzuia kisije!?
Hair Growth Treatment for Men
Men are prone to many conditions of the hair...
Hi, Sorry kwa mada isiyo na maadili.
Naomba kuuliza, ni madhara gani ya kiakili,kimwili na kiafya ambayo mwanaume akikaa muda mrefu sana. At least miaka 5 au zaidi bila kufanya.
Je kuondoa...
JE WAJUA?? Kuna kitu Wachina na Wajapan wakifanyaga kama tiba Na Kinga KINAITWA ''Onion Sock'' YAANI SOKSI ZA VITUNGUU, unakata kitunguu maji shepu kama duara, halafu unaweka chini ya unyayo wa...
Soya ina vitamin A,B,C,D,E na K. hakuna chakula duniani chenye vitamini nyingi kama hiki, soya ina protini ya ajabu na mafuta pia ambayo huifanya kuwa chakula pekee na safi. Uboreshaji wake wa...
Nimekua nasumbuliwa na tatizo la mkojo, yaani unabana sana nisipowahi kukojoa unaanza kutoka vitone tone hasa unapokaribia choo ndo balaa, Kama asubuhi nakua sijala wala kunywa chochote lakini...
Mojawapo ya sehemu zinazohitaji uangalizi wa hali ya juu katika mwili wa mtoto ni utosi.
Kitaalamu utosi unaitwa Fontanelle neno liliotokana na lugha ya kilatini (Fonticulus) ikimaanisha kitu kama...
Habari wakuu
Napenda kujua Kuna madhara gani atapata mama au mtoto aliyetumbuno endapo mwanamke mjamzito akiendelea kufanya mapenzi huku akiwa na mimba ya miezi 6-9 .
Habari ndugu zangu, napenda niende moja kwa moja kwenye tatizo linalo nisibu
Nimekuwa nikipata tatizo la kubanwa kwa moyo na kuvuta pumzi kwa shida, hasa kama ikitokea nikiwa nimelala itanibidi...
Wakuu habari,
Naomba mniambie tatizo la mpenzi wangu kwani nimekuta vitu vyeupe ukeni kwake leo baada ya kusex nae.
Huwa sishiriki nae tendo mara kwa mara sasa leo ndiyo nmeona vitu ivyo sijui...
Habari,
Mimi nina tatizo la kutoka majimaji ukeni yanayosababisha kuwasha sehemu za mashavu ya uke hali inayopelekea kujikuna saana na kutoka vidonda.
Nimeenda hospital napewa vidonge na dawa ya...
Ndugu wana jamvi,poleni na majukumu;
Ninasumbuliwa na tatizo la katika njia ya mkojo yaani nikienda haja mpaka nitumie sio chini ya dakika 5 au 6 ndiyo mkojo uweze kutoka, tena hautoki wote...
Habari zenu wanajukwaa,
Leo alfajiri nimeamka nikashangaa puani yanatoka majimaji Kama vile nosebleed lakini badala ya damu yametoka maji hayana harufu Wala hakuna maumivu puani lakini kichwa...
Amepata changamoto ambayo si ya kawaida, miezi miwili mfululizo hajaona hedhi, amepima mara kadhaa ujauzito hana! Lakini period HAKUNA, kwa wajuzi wa Mambo, atumie dawa gani?
Alienda hospital...
Habari za muda huu poleni na majukumu,
Mimi ni mjamzito miezi 3 napata maumivu kwenye makalio yanashuka Hadi kwenye muunganiko wa makalio na mapaja kwa nyuma yani ni kama maumivu yanatokea...
Kiukweli binadamu ni wabishi sana.
Yaani mtu ameathirika na VVU, akashauriwa kuanza kumeza dawa akakubali. Baada ya kumeza kwa muda akaacha. Sasa leo anatafutwa tujue tatizo nini ili kulinda afya...
Habari wanajf nipende kuwakaribisha katika uzi huu unaohusu afya hasa wakati wa uzeeni
1)Shida ya kutoona vizuri
Baada ya miaka 40 Watu wengi hupata ya kuona vizuri vitu vilivyo karibu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.