Kwema wandugu,,,,,naomba kuuliza kitu hivi kuna tatizo au shida gan mtoto(kiume) wa miezi miwili akiwa anapata haja kubwa mara kwa mara.
Msaada wa mawazo please.
Sent from my SM-A260F using...
Kupungua nguvu za kiume
Uhusiano wa matatizo ya nguvu za kiume na presha ya kupanda ni mkubwa sana. Kwa nini kuna uhusiano mkubwa? Presha ya kupanda husababisha damu ndogo sana kutiririka ndani...
Mtoto wa sister angu anaumri WA miezi 8 anakohoa na kupiga chafya Kwa vipind tofauti tumeenda pharmacy wametupa dawa hio inaitwa Dr cold ya maji wameendika vipimo tumpe mil 5 Kwa siku 5 kutwa mara...
Habari zenu wakuu?
Kuna mtu aliwahi nieleza dawa ya kufanya meno kuwa meupe kwamba unachanganya limau+ chumvi +vitunguu swaumu vilivyosagwa. Mchanganyiko huo Unachanganya na dawa ya meno kisha...
Wadau na Wakuu heshima yenu,
Naomba Kuuliza maswali ya Mtu nisielewa Kuhusu Afya na Kirusi,
Naomba Msinicheke...
Nahitaji Elimu wandugu.
Naomba Kuuliza kwa wataalam:
Hivi Kama Mtu hajachanjwa...
Wakuu,
Habari ya kazi. Nilikuwa Bugando kwa ajili ya kufanyiwa kipimo kinachoitwa endoscopy. Matokeo yalikuwa kama ifuatavyo
Esophagus MILD DISTAL OESOPHAGISI 2/HIATAL HERNIA
Stomach -...
Habari za mida hii ndugu jamaa na marafiki, kama kichwa ha habari hapo juu kinavyojieleza, naomba kufahamishwa dawa ya sikio kwa yeyote anayefahamu.
Nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu ya sikio kwa...
Salaam kwenu wanajukwaa.
Nimekuwa nikipatwa na tatizo la kujirudia rudia kusikia kama muungurumo wa mashine kwa mbali masikioni mwangu hasa hasa nikiwa eneo tulivu na peke yangu haijalishi...
Juzi(Jumapili) nilihisi maumivu kwenye korodani ya kushoto, nikayachukulia poa maana sometimes korodani zinaumaga na kuacha zenyewe.
Sasa toka Jana Hadi leo yaani korodani moja ya kushoto inauma...
Wakuu samahani kwa usumbufu nitaofanya au ambao utatokea
Kwa muda wa karibia miezi mitano nimekua nasumbuliwa Na maumivu ya nyonga na nilipoenda hospitali nilikosa msaada
Sasa nifanyaje ili...
Mtu akiumwa malaria anapoteza hamu ya kula kila chakula hakipandi hasa vya mafuta mafuta.Kwa mfano ninameza alu/mseto na natakiwa Nile Sana nishibe.
Je, unapendekeza nile Nini ili nisitapike dawa...
Acha uchafu. Watu sehemu za bata hawanawi mikono kila watokapo maliwato. Anakuja mezani anataka mgonge mikono ukiongea point.
Mi ntakwambia gonga meza. Mazafantaz. Enjoy your sunday.
Kwa wanaojua naomba msaada kwa nini mtoto akizaluwa na miezi 8 yani wiki 32 anakufa wakati aliezaliwa miezi 7 anaishi vizuri tu. Ni kwanini wandugu mnao jua nijuzeni na mimi
Kumekuwepo kilio cha muda mrefu toka kwa wadau juu ya ugonjwa huu na wengi wakitaka kupata majibu ya nini cha kufanya endapo wana maambukizi ya Hepatitis.
Tumeonelea vema tuwe na mjadala juu yake...
Leo naomba nitoe elimu mujarabu itakayosaidia jamii kwakuwa mimi elimu hii nilipewa na mtu aliyetoa kama sadaka ama kafara hivyo sina budi na mimj kuisambaza.
Elimu hii nimeitoa mbali nimeipata...
Wakuu poleni na majukumu , hivi hii hali ya sasa ya watu wengi kuumwa mafua,kifua na homa inatokana na nini jamani maana ukipita kila kila kona watu wanalalamika tu ,mafua ,kifua na homa.
Maana...
Hivi kweli mtu anaweza kuwa ana ishi bila kujua kama ana matatizo ya akili?
Mimi mwenzenu na shangaa saana watu wengi wananiambia kuwa awanihelewi kabisa yaani kuanzia maneno yangu mpaka vitendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.