Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Nina miaka 26 mwaka 2012 nilianza kuugua kuharisha, kuchoka sana, baridi Kali, miguu kuvimba, uso kuvimba hasa wakat wa asubuhi, mapigo ya moyo kwenda mbio, ngozi kuwa nyeupe . Nilikwenda...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Mimi ni kijana wa miaka 23,tatizo langu ni kwamba napenda sana kuangalia video za kikubwa yaani X videos. Nipo addicted kiasi kwamba napoteza muda na pesa nyingi kununua bando. Natamani kuacha...
0 Reactions
571 Replies
79K Views
Habari wakuu, Nina shida kidogo,nahitaji kufahamu hospitali inayotoa Huduma ya braces kwenye meno especially lower jaw. Sababu ni misalignments. Nipo Arusha Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kuna jamaa mmoja alikuawa akinielezea kuhusu hilo tatizo anasema kwamba inakuwa inasinya inakuwa ndogo je anawe kifanyaje ili tatizo hilo limwondoke? Mwanaume anayepatwa na tatizo hili anapokuja...
12 Reactions
114 Replies
70K Views
Habari za mda huu wapendwa? Poleni na majukumu. Mimi nipo Dodoma ni mama kijacho wa miezi 2.5 hivyo nimepanga nianze kliniki katika kuumiza akili nianze huduma hii hospital ipi Kuna mtu...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Naombeni kujua gharama za kupata chanjo ya homa ya ini tafadhalini Nataka nikachanje ila sijui ni shilingi ngapi
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Shalom wakuu. Nina addiction na simu kupitiliza. - Kila muda ipo mkononi hata kama sina matumizi nayo (siwezi kuiweka kwenye mfuko). - Nakuwa kwenye mitandao ya kijamii na Internet kiujumla kwa...
8 Reactions
49 Replies
5K Views
Ni matumaini yangu kuwa M/Mungu ametuamsha salama! Kuna baadhi ya watu wanapotosha juu ya dawa asili za mitishamba,wanajaribu kuaminisha kuwa ni mbaya na zinaweza kuwa na madhara. Kuna dawa za...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa mara ya kwanza nimekunywa juice ya Tende ikiwa na maziwa ya mdango sikuamini, siku yangu ilikuwa njema sana nikiwa na bestfriend wangu, nimewahi kunywa Alkasusu ila sikuona kama performance...
2 Reactions
11 Replies
6K Views
Habari wana JF wote! Na tatizo la kusumbuliwa na vipele vidogo vidogo pamoja na muwasho Kwa muda wa mwezi mmoja sasa, vilianza sehemu ya mkononi, kifuani but vilikauka vyenyewe. But sasa vipo...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Katika msururu wa kuadhimisha Siku ya Uelewa kuhusu ugonjwa wa Kisukari tunakupatia vidokezo vya namna kukabiliana na ugonjwa huo na jinsi ya kuulinda na jamii nzima. Idadi ya watu wenye kisukari...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari wana JF Nasumbuliwa na masikio kuvuma na kuziba naombeni msaada wenu kwa yeyote anayejua matibabu yake. Maana naona masikio yangu yanapoteza usikivu
1 Reactions
12 Replies
4K Views
CHANZO CHA MAUMIVU YA MIFUPA NA VIUNGIO (shingo,mgongo,miguu,misuli kuvuta) WATU GANI WANAKUA KATIKA HATARI HII 1:wenye umri mkubwa 2:wana michezo 3:uzito mkubwa 4:wana gym 5:watoto wenye upungufu...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Umuofia Kwenu, Juzi kati kuna mshkaji wangu alikuwa na dem walikubaliana kupeana mambo. Huku na huko ukafika ule muda wa kupumzika bidada akaandaa mazingira tayari kwa kupumzika. Sasa kumbe huyu...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza jamn, naomba mnisaidie tufanyeje au shida inaweza kuwa nn. Dada angu anasumbuliwa sana na gesi inatoka tumboni inarudi inapanda kifuani afu inamuunguza mapafu...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hello, naomba kujua ni wapi naweza kumpeleka mdogo wangu akarekekebishiwe meno ya mbele maana yameota vibaya. Na je inaeza cost bei gani? Asanteni sana.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hallo. Ningependa kujua ni umri gani wa mwisho kutumia braces (waya wa kurekebisha mpangilio wa meno)? Je, kuna alternative ya hiyo? Asante.
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Habar wana JF! Naomba jibu kwa yeyote mwenye kufahamu hospital ambayo ina good record ya kufanya plastic surgery au hata plastic surgeon unaemfahamu ambae ana good record ya kufanya hizo...
0 Reactions
92 Replies
11K Views
Gego linaniota pia pembezon mwa taya kuna vitissue vinaota hapa nilipo mandible tissue zinaniuma sana nitumie dawa gani nitulize haya maumivu,leo nimeshindwa kabs kutafuna vyakula,nikiachama...
2 Reactions
4 Replies
481 Views
Nisaidieni nahitaji kujua inamchukua muda gani alieathirika na HIV kuanza kuambukiza wengine endapo atajamiiana, I mean toka alipoambukizwa yeye na hadi yeye aanze kuambukiza wengine endapo aidha...
0 Reactions
2 Replies
978 Views
Back
Top Bottom