Kikao cha kwanza cha kamati mpya ya utendaji ya TFF kimempa likizo katibu mkuu wa kuajiriwa, Angetile Osiah mpaka mkataba wake utakapomalizika Desember na watamlipa stahiki zake.
Kikao kiko...
Fulham vs Man U~~~~~draw au man u kufungwa
Hull city vs Sunderland~~~~draw
Man city vs Norwich city~~~man city anashinda
Stoke city vs Southampton ~~~southapton wanasinda au draw
West Bromwich...
Wasalaa
chanzo cha taarifa hii ni mm mwenyewe ambaye nilikua mazoezini jioni ya leo
Henry Joseph Shindika amerudi Simba A na leo amechezeshwa kikosi cha kwanza kuashiria kuanzishwa kayika...
ZURICH, USWISI
WAHISPANIOLA wana usemi wao Cria fama y echate a dormir ambao maana yake ni kwamba unapokuwa maarufu huna haja ya kujisumbua kuulinda umaarufu wako.
Waswahili nao wanadai Uzuri...
Ni siku nyingine tena Azam FC wana kibarua cha kujinasua kutoka katika nafasi yao ya pili waliyoizoea katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Karibuni kwa Live updates Wakuu.
Final Scores...
Defending champion Geoffrey Mutai and Priscah Jeptoo won the men's and women's races at the New York City Marathon on Sunday for a Kenyan sweep in chilly, windy conditions through the city's five...
Hali ilipofia sasa mashabiki wa Simba, kuna haja yakutembea huku tukiwa tumebeba dawa za maumivu mfukoni. Kwa timu hii na kocha huyu, kwa uongozi huu wa Rage tusitegemee furaha kamwe. dah inauma...
SIMBA NA YANGA IPI TIMU BORA YENYE WASHABIKI WENGI ??? INGIA HAPA KUIPIGIA KURA TIMU YAKO SASA ~ N.O.W
HAPO WAKUU KUNA MCHUANO MKALI WA KUTAKA KUJUA NANI ANA MASHABIKI WENGI ZAIDI KATI YA SIMBA...
kiukweli mimi nishabiki na mpenzi wa mpira wa miguu.ila kwakilichotokea kwenye mechi ya simba na kagera sugar nikitendo cha kipuuzi sana na kama ni mwanamichezo mpenda naendeleo huna budi kulaani...
Pengine sipendi kusema ubaya kwa mzee wangu lakini wakati yeye akilalamika mwamuzi sio penati
viongozi wenzie wamekiri ni penat na ujinga wa mabeki zake kwa washambuliaji wa kagera sugar
hata...
Simba na mbeya city mmetoa Droo - Hawakufanya vurugu
Simba na Coast union mmetoa Droo - Hawakufanya vurugu
Simba na yanga mmetoa Droo - Walifurahia sana
Simba na kagera mmetoa Droo...
Mchezaji maaru wa timu ya taifa ya uruguy na clabu ya liverpool LUIS SUAREZ ambae pia ni roho ya upachikaji mabao anfild ni miongon mwa wachezaji wanaochukiwa na mashabiki wengi dunian licha ya...
Akiwa kacheza mechi tisa za ligi na kufunga magoli nane msimu huu huku mwenzie akiwa kacheza mechi tatu za ligi na kufunga magoli sita,hii inaifanya safu ya ushambuliaji ya liverpool kuwa tishio...
Young Africans leo inashuka katika
dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es
salaam kucheza na maafande wa
jeshi la kujenga Taifa nchini timu ya
JKT Ruvu kutoka mkoani Pwani ikiwa
ni muendelezo...
Marato George
"MWENYEKITI WA TIMU SIMBA SC MH A.R AMEACHIA NGAZI BAADA YA TIMU YAKE KUFANYA VIBAYA KILA KUKICHA" JE BAADA YA HAPO WATASHINDA?
Like · · Share · 29 minutes ago ·
Hii nimekutana...
Wakuu wana-JF!
Alianza kwa kuondolewa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi mapema mwaka huu kwa madai kuwa hana sifa za kugombea uongozi tff lakini wakajisahau kwamba amewahi kuiongoza Yanga na...
RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Sepp Blatter ameomba radhi kwa Cristiano Ronaldo baada ya mshambuliaji huyo wa Real Madrid kumchamba katika ukurasa wake wa Facebook...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.