kiukweli kwa kiwango walichonesha jana man utd dhidi ya madrid ninahuhakika chelsea achomoki tena tukitumia mfumo uleule wa jana, maana hata kama wametolewa mi binafsi naona walicheza vizuri tu!
Jamani wa JF samahani kama nitawakwaza wengi hasa wapenzi wa Timu ya Simba. Nimesikia leo asubuhi kuwa Uongozi wa Timu ya Soka ya Simba wamekata Rufaa dhidi ya hii timu yenye jina linalotamkika...
Manchester utd - real madrid agg: 1-1
sir alex ferguson amesema hajutii magoli mengi waliyokosa mechi iliyopita bernabeu,
mimi pia naamin manchester utd itapata ushindi mzito na kikosi chake...
Ndugu watani,mjini hakuwafai tena...bora mkale swala huko serengeti maana ndo mnapostahili.Mjini wanakaa wanaume wa shoka wanaoweza kupambana na Libolo na wakalishinda
Arsenal=Liverpool,tuwasahau na kuwaondoa kwenye "big four",anayefuata kutolewa kwenye big four ni mgonjwa mahututi Chelsea....maana anaelekea kuwa kama Swansea ama QPR...sasa hivi kuna big two...
Mpira wetu katika sekta ya uongozi uliokwisha muda wake umeingia katika mzozo ambao kama hawatakaa chini huenda tukafikia pabaya na hii ni kwa sababu tu ya kuleta siasi sarakasi katika katiba ya...
Jordan at 50: A celebration of ruthlessness
By David Aldridge, Special to CNN
updated 12:04 PM EST, Fri February 15, 2013
Michael Jordan of the Chicago Bulls hugs the NBA Championship Trophy...
Kila zama zina mwisho wake. Barcelona wamefungwa tena na Madrid.Madrid iliwapumzisha nyota wake wengi sana. Ikaja kuwaingiza dakika za mwisho.Benzema na Ramos wamefunga kwa upande wa Madrid...
Simba aka RIBORO:
Wamenyukwa na Libolo,Mtibwa na Libolo tena
Barca:
Wamenyukwa na AC Milan na Real mara 2
Arsenali:
Wamenyukwa na Blackburn,Bradford na Spuds
Hizo ni mechi za hivi karibuni...
Wapenzi wa simba kama nilivyowapa moyo nauliza tena
kuna anaeperform 100 perc kila siku kwenye ndoa KITANDAN?
Kama sio kwa nini wachezaji wa simba?nao ni binadamu
kama kwenye ndoa mnamalizana...
Ndugu zangu wana JAMVI.
Moja ya vigezo vya kuteuliwa kugombea nafasi ya urais TFF ni uzoezi wa kuongoza mpira usiopungua miaka 5.
Naomba mniambie huyu MALINZI huo uzoefu aliupata wapi? Uongozi...
Timu ya Simba imeondoka asubuhi leo saa 10 alfajiri kuelekea Angola kwa mechi ya marudiano dhidi ya wababe wao LIBOLO itakayofanyika Jumapili kwa Mujibu wa vyanzo vinavyoaminika. Kinacho...
Ndugu wadmau wa michezo,mi ni mdau mkubwa wa mpira wa miguu na nimecheza na kuishi sehemu mbalimbali hapa nchini tanzania.
Kuna kitu cha ajabu nilichokikuta na kinachoendelea hapa wilayani...
Nianze kwa kutoa pole kwa wapenzi, mashabiki na wananchama wenzangu wa Simba, kimsingi yaliyotokea jana si mazuri kwa wapenda soka wote duniani kwani hakuna anayejiandaa kupoteza mechi ktk...
Ndugu wadmau wa michezo,mi ni mdau mkubwa wa mpira wa miguu na nimecheza na kuishi sehemu mbalimbali hapa nchini tanzania.
Kuna kitu cha ajabu nilichokikuta na kinachoendelea hapa wilayani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.