Nakumbuka Baba yangu alinihadithia kuwa yeye alikuwa anashika nafasi ya kwanza kwenye mitihani yake na kuna siku alishika nafasi ya pili akalia sana mitihani iliyofuata akawa wa kwanza tu ...
je...
Nilikuwa nafanya topographical survey katika pori moja maeneo ya Ifunda-Iringa kwa ajili ya ku-establish stone quary kwa ujenzi wa Iringa-mafinga highway,msaidizi wangu alimkurupua bundi kutoka...
Is Lizzy,
Mnamatch, mko perfect kwa pamoja. Am giving you an offer of having each other on that day-pendaneni msitendane.
Asprin, Golden Mpolee hajapata nafasi ya kukaguliwa, nakupa offer...
celebrity mimi nimeamua kuchukua maamuzi magumu ya kubadilisha ID!! kutokana na sababu ya kuombwa kubadilisha kila kukicha!! na wengi hapa JF wanaopenda michango yangu ya kujenga na kuelimisha...
Kajivalentine hako kanajongea,naona shamlashamla zimepanda moto!!
Kwanza kabda ya yote nataka kujua jinsia ya huyu kiumbe wakuitwa NITONYE!!sijui dume hili??sijui jike hili??Lakini kwa mipasho...
Habari za asubuhi/mchana watajwa hapo chini .Nawasalimia tujamani nimegundua wapiga chabo hili jukwaa ni wengi kuliko wenye match sahizi wapiga chabo wapo 459 ukilinganisha na wenye mechi 138...
Baada ya wiki mbili za harusi mama mtu alimuuliza mwanae wa kike, vipi maisha ya ndoa mwanangu? mtoto akamjibu mama yake: du mama maisha kama vile British Airways, mama mtu akatoka nduki mpaka...
Jamani nimevumilia nimeshindwa, naomba mnisaidie kuuliza KONGOSHO ni male au female, simuelewi..nimejaribu kufatilia post zake but ana badilika kama kinyonga..
Kulingana na mapicha yako itapendeza tukiwa wote siku ya wapendanao ndani ya nguo nyekundu! Nitakufata huko Dodoma tutembelee wananchi siku ya valentine
Mwana M
Nimeshindwa kujizuia.Ninapenda sana michango ya King'asti.
Anachanganya utani na umakini na kutoa kitu makini.
Je wewe mwenzangu unasemaje kuhusu huyu mdada?
Samahani King'asti, nimekuanzishia...
Goodmorning haters. . .
Chamillionaire - Good Morning - YouTube
I wanna show all my haters love
This song for you
If you acting like me and I was in your shoes
I'd probably hate on me...
Mlevi wa kwanza akamropokea mwenzie kwa hasira;Kwa taarifa yako,jana nimelala na mama yako mpaka asubuhi. {Watu wote pale bar wakakaa kimya kusubiri yule mlevi wa pili atakavyojibu mapigo}.Mlevi...
Baada ya majambazi wawili kuiba pesa benki.JAMBAZI#1;Aisee mzazi,tukae chini tuhesabu mkwanja tuliovuna. JAMBAZI#2;Ee bhana mimi nimechoka siwezi kuzihesabu,tusubiri kesho kwenye vyombo vya...
Nimetazama taarifa ya habari ITV, kuna uhaba wa chakula huko Musoma Vijijini,
hali yenye imepelekea watu kula kumbikumbi na mboga za majani.
Tuache anasa pembeni, tuzungumzie nutritional factor...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.