JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
A store that sells husbands has just been opened,where a woman may go to choose a husband from among many men.The store is composed of 6 floors,and the men increase in positive attributes as the...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naona sasa kuna mizigo mingi imechakachuliwa kuna Castle Light za kichina kuweni makini. Hii Castle Light si ya TBL na ile Tusker si Serengeti sasa wameamua kufanya cocktail wapiga kilaji wa hivyo...
0 Reactions
37 Replies
11K Views
Eti zamani kulikuwa na watu watatu wenye rangi nyeusi, baadaye Mungu akaleta maji ya kuoga, Mtu wa kwanza akaenda kuoga akatoka Mzungu, Wa pili alipooga akatoka Muasia na wa tatu kwa kuwa maji...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ishike kwa ulaini..tia kidole kimoja..kama tundu ni ndogo tia vitatu..anza kusugua juu na chini kwa umakini.. . . . . . . Hio ndio njia sahihi ya kuosha glasi.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwanza nawasalimuni. naomba nisionekane nimepitwa na wakati kwa kuchangia mada kumhusu huyu mzee. ila kutokana na maoni mengi ya watu nalazimuka kutoa maoni yangu. Wengi, hasa watu wanaodhani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wazanzibar 1.tunaburuzwa kwenye muungano 2.Tunachaguliwa rais wa zanzibar (kimkakati kwani CCM inawapitishia wagombea urais) 3. Dai jipya: TUMECHEZEWA RAFU MATOKEO YA FORM FOUR 2010 (wanataka...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Kule Loliondo Babu aliamua kutibu kutokana na matatizo mbalimbali. Basi kukawepo foleni ya watu wa kisukari, ya athma, ya presha, ya kansa mbalimbali na ya wenye HIV. Hii ni kuboresha huduma tu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kanisa moja liliendesha harambee ya ujenzi waumini wakachangia hela ilipohesabiwa ikapatikana laki saba na hamsini elf na mia tano hamsini. Wakati pastor anashukuru kwa matoleo majambazi yakaingia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mtihani wa maarifa ya dunia: 1.Kama hela haioti kwenye miti, kwanini bank zina matawi? 2.Kwanini gundi haigandi kwenye chupa yake? 3.Kama tunatakiwa tusi-drive wakati tumekunywa, kwa nini bar...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
By Staff Reporter THE MOST TOXIC TREE WHICH BECAME A CURE TANZANIANS have been taken in emotions over the miraculous cure being offered by the retired Pastor of the Evangelical Lutheran Church...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Habari ndio hiyo!...........lol
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamaa mmoja alikuwa anamtongoza shoga ili akale tigo (aka*ti*l apate kulanduka na utamu, akiwa anambembeleza shoga ampe mzigo ghafla shoga akasema '' samahani kaka kwa leo sitaweza coz nipo kwenye...
0 Reactions
11 Replies
20K Views
NA KELELE zao zote za kufika Usambaani na Unyakyusani kwanza Wamiliki wa Makampuni ya simu za mkononi hawajawa na ubavu wa kufika Samunge, Sale, Loliondo. Pengine wanaona Wamasai baada ya kukosa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Haka kazee kachawi ni kaongo sana. Kaliidanganya dunia eti kufikia februari mwaka huu Jk na Dr Slaa wangekuwa wamepatana. Wapiii..........!!!
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mwarabu na Mhindi wameshtakiwa mahakamani kwa kosa la kunywa Gongo. Mhindi akakiri kosa akalipa faini na kuachiwa Mwarabu akajibu "Siku yote phombe kharam sasa takunywa namna gani kharam?" Hakim...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nitajie gundi ya maji huijuayo? Jib ntatoa within next 30min.
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Jamaa alikua anashtakiwa kwa kosa la wizi, ilipofika zamu yake kutoa utetezi wake, alisimama kwa kujiamini na kueleza; "Mheshimiwa Hakimu, napenda kuitaarifu mahakama yako tukufu kwamba mimi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
A little boy said: Mum do you know that our house girl is an angel? Mum: Why do you say that junior? Lil Boy: Because I saw her naked with her hands on the wall shouting oh God I'm coming...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
No magic solution to crisis - Mkulo By The guardian reporter 19th March 2011 Says current hardships externally induced...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Sijui inakuwaje ila nahisi ni maslahi binafsi ndo yaliowaongoza hawa wachungaji maarufu kuponda tiba ya babu na hata kuifananisha na mchezo wa upatu kama DECI. Kama hawaamini si bora kukaa kimya...
0 Reactions
30 Replies
7K Views
Back
Top Bottom