Wadau naomba kuuliza anayechukua bodaboda ya mkataba ili kumpelekea kilasiku hesabu Boss 10,000 anaweza kuingiza Tzs ngapi kwasiku akifosi kwelikweli, sehemu ya kazi mtoni kijichi.
Wakuu kwà mda mrefu nimekuwa kwenye shauku ya kufanya biashara ya kuuza pafyume zile za bei kubwa kubwa kuanzia 10. na kuendelea zenye standard mzuri na kuimport mzigo from Dubai to Zanzibar then...
Leo nataka nigusie eneo tata na ambalo ni moja kati ya kitu kinatamkwa sana na vijana na watu wengine wanapotaka kufanya Biashara nalo ni ukosefu wa MTAJI.
Mtaji ni nini? Ni uwekezaji wa mmiliki...
Kampuni ya utengenezaji wa body za mabasi nchini katika ubora wa hali ya juu ya DAR COACH, sasa inawatangazia wamiliki wa mabasi nchini na nje ya nchi kuwa imeshusha bei ya bus zake.
Ushushwaji...
Wakuu naomba mnijuze juu ya kitu kinachoitwa pato la taifa huwa linahesabiwa vipi.
Je ni majeti yetu?
Madeni na makusanyo ya Serkali?
Natanguliza shukrani.
=======
Mchango wa Mdau
Pato la...
Wakuu heshima kwenu.
Naomba kuelimishwa kuhusu credit card au visa card, upatikanaji wake na ufanyaji kazi wake kwa ujumla.
Unaweza vipi kuzitumia kununua bidhaa mitandaoni?
Shukrani.
Nimejaribu Kikuu, Mwanzani Sikuamin Kikuu Niliona kama Matapeli Kumbu Fikra Zangu hazikuwa sahihi.
Sasa Nimesikia Kuhusu Ubuy kwa maana kuna Product haziko Kikuu ziko Ubuy na nimezipenda...
Habari,
Mimi ni kijana wa kitanzania, ninaishi DSM.. ninajishughulisha na kazi za usanidi wa mifumo ya kompyuta (computer programming).
Kampuni yangu mpya inaitwa sari technologies LTD.
Je...
ON ATCL i see a cul-de-sac situation.
Baada ya the Famous long awaited CAG report na suggestions zake mpira unataka kurudi Bungeni deciding the Fate of our Beloved Wings of Kilimanjaro. Jambo la...
Wakuu habari,
Leo nimekutana na mtu amenishawishi kuigeuza gari yangu binafsi kuwa uber, Naomba kufahamu je inalipa?
Gari yangu ni mpya sio kwamba nina shida sana na pesa bali amenishauri kwamba...
Nikiwa nafuatilia mwenendo wa biashara ya ndege toka jana ni wazi kwamba mashirika mengi yanaendeshwa kwa hasara isipokua emirates peke yake mwaka huu.
- Mwenendo wa emirates nkiangalia report...
Ni alhamis tamu sana kukiwa na hali ya hewa ya mawingu na ubaridi na kimvua hapa dar hakika napendaga hii hali sana.
Ok niende kwenye mada unaweza ukapita mahali au kwenye masoko hapa dar unakuta...
Wakuu habari,
Katika vitu vigumu katika biashara ni kufanya biashara uizoee na ikuzoee, pia ukiona biashara yako imesimama vizuri sana nina imani ni baada ya kipindi kirefu kupita
Katika...
Naombeni mawazo yenu wadau kuhusu biashara ya viatu vya kike kwa jiji la Mwanza sehemu ya kununulia mzigo na namna nzuri ya kuuza kwa wepesi mtaji wangu ni laki Saba (700000) siishi nyumbani...
Hivi karibuni, mfanyabiashara na Mbunge wa Jimbo la Gairo, Ahmed Shabiby ameingiza mabasi 12 ya kisasa aina ya Yutong.
Inaelezwa kuwa, mabasi hayo ni ya aina yake nchini kwani yana mfumo wa...
Habari.
Tumeanzisha Application ambayo tunauza vitabu vya kiswahili. Sasa kupata install kwenye app ni kazi ngumu sana. Tukaanzisha account instagram ambayo tunaweka vitabu na kuvipromote. Shida...
Kuna watu wanafikiria kuanzisha biashara ya mikopo, wengine wameanza tayari ila wamekutana na changamoto nyingi sana na wengine ila wengine wana maswali mengi hukusu biashara hii
Njoo nikushauri...
Maoni tu,
Kuna Basata mpaka leo hawana music streaming app ambayo watu wanaweza upload content na kuuza na wao kupata kodi. Eg one record ikiuzwa for 100 Tsh which is reasonable, kwa watu 1m ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.