Hapa ndo serikali inapobugi kabisa na elimu inafeli kwa sababu inafanya vitu visivyo na tija
Nimeona semina zimeanza za utekelezaji wa mtaala mpya lakini wanaoitwa kwenye semina za moja kwa moja...
Ukitaka kujua ubovu wa elimu ya Tanzania take a time mara moja moja upite ukague mazingira ya shule hizi.
1 Shule hazina usimamizi hata kidogo, hata uliopo ni mbovu kupindukia.
2. Wanafunzi...
Rejea kichwa hapo jui,uzi huu ni maalum kwa ajili ya wanafunzi wa Open university of Tanzania kutoka popote ulipo Tanzania na duniani kwa ujumla.
Tukutane hapa kujadili mambo mbalimbali na...
Wakubwa zangu ambao mmeshatangulia naombeni ushaur naenda kusoma BAF mzumbe lakin me diploma nimesoma insurance and risk management.
Sijawahi kusoma account pia naenda kumeet na challenge ya watu...
Naomba kuuliza je page ya kusaini ya kuapeal inatakiwa kusainiwa na muhusika bila ushibitisho wa mamlaka flani ka mahakama, mwenyekiti au mtendaji.
Msaada tafadhali
Samahanini viongozi nilipenda kufaham kwenye ukataji wa RUFAA mwaka huu Kama hapo awali ulikosea taarifa zako eg, education info's mfumo unakuruhusu kufanya marekebisho.
Nitangulize shukrani...
Wakuu poleni na mapambano. sitaki niwapotezee wakati niende moja kwa moja kwenye mada.
Kilio changu ni upangaji wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu mwaka 2023/2024 kumegubikwa na utata mkubwa...
Tunatoa wapi elimu yetu au msingi wa elimu na mafundisho yetu ni nini? Hili ni swali muhimu katika kuelewa: moja elimu yenyewe, na pili mafundisho yanayotolewa na hiyo elimu.
Katika kuelewa elimu...
Habari wanajamvi ??
Wanajamvi mimi ni mwanafunzi niliyemaliza kidato cha nne mwaka jana(2016), ufaulu wangu katika masomo ya sayansi ni mzuri hivyo nina mipango ya kwenda Advanced...
Chagamoto kubwa tunao kabiliana nayo katika shule za advance za serikali ni ufundishaji duni katika advanced level licha yakua waalimu wa sayansi wapo ila watoto hawafundishwi ipasavyo, kweli...
Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana Ajira na Wenye Ulemavu Imetangaza Programu ya Kukuza Ujuzi Nchini inayowezesha nguvu kazi ya Taifa kupata ujuzi na stadi za kazi stahiki ili kumudu ushindani...
Wadau ningeomba kupata muongozo wa kufanya coding from scratch . Umri 35yrs hii safari ya programming itawezekana kwa sababu nia ipo. Kama kuna forum yeyote naweza kupata instructions . Self...
Nimemaliza form four, nina ufaulu wa division 1.16
Biology A
Chemistry A
Physics C
Ninawish kusoma afya course ya clinical medicine. Je kwa hali ya ajira sasa hivi inaweza kuwa niko sahihi...
KAMISHENI YA MIKOPO TAHLISO
06/11/2023
MASWALI YANAYOULIZWA KUTOKA KWA WANAFUNZI WANAOENDELEA NA MASOMO WALIOOMBA MKOPO, ( CONTINUING STUDENTS )
1. Mimi ni mwaka wa pili nimeomba mkopo lakini...
Habari wanaJF!
Niwaombe radhi kwa kimya kirefu hapa JF tangu 2016, kwani nimiongoni mwa Wadau wakubwa wa jukwaaa hili. Awali nilikuwa natumia acc kwa jina Burhani Kassimu, ila kwasasa nina hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.